Uchawi nguvu roho isiyohitaji kujidhihiri kama unavyotaka wewe ...uchawi upo ni juu yako kuamini ama laNatafuta mtu wa kuniroga ili nijue kuwa kweli uchawi upo.Binafsi naamini sana ktk Imani yangu ya Kikristo.Naamini Mungu ndio master wa kila kitu.
Ukitaka kumjua mchawi mchana jua kali unafanyeje?(for education purposes)kama una nia njemaPower !! Mchawi mwenye level ana nguvu sn na sio rahis kunasa kwenye mitego midogo na huwa hawafi mapema maana riho zao ni ngumu wanajua dawa nying za mitishamba kuliko ata profesa pia kuna signal za kumjua mchaw na level yke hii ni siri maana ata mchana wa jua kali wachaw wanajuana ata wakitembea apo kariakoo na wanajuana vyeo vyao pia na ndio maana hawa wachaw wanaoanza wanaponasa sehemu wanachofanya ni kupiga simu kwa mkubwa wao ili aje awanasue hiz simu ntakuja kuziandikia thread
Njia rahic kuwa mchaw nyingine ni ngumu ila kuna dawa unaweza kuwaona ila ni hatar maana nao watajua unawaonaukitaka kumjua mchawi mchana jua kali unafanyeje?(for education purposes)kama una nia njema
Mi naulizia hiyo ya ishara wanayotumia kujuana...nambie hvo hvo hata kama ngumuNjia rahic kuwa mchaw nyingine ni ngumu ila kuna dawa unaweza kuwaona ila ni hatar maana nao watajua unawaona
Please dont try
Ok isiwe kesi mchana akitembea mchana kuna taa inawaka ktk ya paji la uso izo wanaweza kuziona wao tu ivo wanajuana ata wakipishana njianmi naulizia hiyo ya ishara wanayotumia kujuana...nambie hvo hvo hata kama ngumu
Kwahyo cheo wanajuanaje? Au cheo kidogo ana chemli alafu cheo kikubwa ana Taa kama zile za barabaran?Ok isiwe kesi mchana akitembea mchana kuna taa inawaka ktk ya paji la uso izo wanaweza kuziona wao tu ivo wanajuana ata wakipishana njian
Hpn tofaut ni intensity of light mwenye cheo mwanga wake unamg'aa zaidKwahyo cheo wanajuanaje? Au cheo kidogo ana chemli alafu cheo kikubwa ana Taa kama zile za barabaran?
Vyeo vya wachawi vinapatikana kwa kumwaga damu nyingi na ile inayouma (ya familia au ndugu)Braza Mshana Jr ni kwel?
Ahahaha Kuna adi simuPower !! Mchawi mwenye level ana nguvu sn na sio rahis kunasa kwenye mitego midogo na huwa hawafi mapema maana riho zao ni ngumu wanajua dawa nying za mitishamba kuliko ata profesa pia kuna signal za kumjua mchaw na level yke hii ni siri maana ata mchana wa jua kali wachaw wanajuana ata wakitembea apo kariakoo na wanajuana vyeo vyao pia na ndio maana hawa wachaw wanaoanza wanaponasa sehemu wanachofanya ni kupiga simu kwa mkubwa wao ili aje awanasue hiz simu ntakuja kuziandikia thread
Umewahi kushuhudia au kuuthibitisha uchawi?Hili weng hawalijui uchaw ni km vile shule kuna primary.secomdary.certifacate.diploma.degree.masters .phd & professor uchaw ambao umefika degree ni ngumu kuuzuia uamin usiamin otherwise ni MUNGU ndio anaweza kukuepusha so usiache KUSALI
Duh!!Ulivyosema ni too professional utadhani uchawi ni proffesion..kuna wachawi wasomi?Vyeo vya wachawi vinapatikana kwa kumwaga damu nyingi na ile inayouma (ya familia au ndugu)
Utambuzi wake kwa wasiojua ni mabangili na pete za shaba
Kila Pete moja inawakilisha nafasi moja na bangili vilevile
Kwa baadhi ya makabila utambuzi ni mavazi au shanga na wengine ni idadi ya chale mwilini ama makovu ya moto na visu mwilini
Utambuzi kwa njia ya mwanga ni too professional na ni kwa high ranks
Duh!!Ulivyosema ni too professional utadhani uchawi ni proffesion..kuna wachawi wasomi?Vyeo vya wachawi vinapatikana kwa kumwaga damu nyingi na ile inayouma (ya familia au ndugu)
Utambuzi wake kwa wasiojua ni mabangili na pete za shaba
Kila Pete moja inawakilisha nafasi moja na bangili vilevile
Kwa baadhi ya makabila utambuzi ni mavazi au shanga na wengine ni idadi ya chale mwilini ama makovu ya moto na visu mwilini
Utambuzi kwa njia ya mwanga ni too professional na ni kwa high ranks
Ni ujuzi kwenye kaliba yake..ujuzi si lazima uwe wa shule lakini vilevile kuna vyuo vya uchawi na kuna elimu ya uchawi hutolewa huko vilingeniduh!!Ulivyosema ni too professional utadhani uchawi ni proffesion..kuna wachawi wasomi?
Yeah there is professionalism in witchcraftduh!!Ulivyosema ni too professional utadhani uchawi ni proffesion..kuna wachawi wasomi?
Hii wewe mkuu na renamaizo naomba mnijibu.(muhimu)Yeah there is professionalism in witchcraft
Kila kitu duniani kina upande wa pili ama kina kinyume chake ....Hii wewe mkuu na renamaizo naomba mnijibu.(muhimu)
Katika story za mtaani tunasikia ni kuwa Rank za juu za wachawi huwa wanawasiliana na shetani..Je ni kweli?Unaamimi uwepo wa shetani?Je uchawi/wachawi ni watumishi wake?
Na vipi kuhusu freemasons?wanahusiana vipi na uchawi?
Unataka shilingi ngapi?Toa offer kwa mkataba kabisa una sh ngap maana hatuwez kufanya kaz za kipuuz ili tu watu waona kitu fulan weka dau Mshana Jr we have the work to do lile duguli la kashabakenge lipo ngojea aweke dau mtu tumchezeshe titi for tat afu tumrudishe alete ushuhuda