Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Umeshamsamehe kwa kurudi amelewa na kukuletea chipsi kavu???ameshakuonyesha kibunda umebadilika gafla mnoo,,,kama sio wewe!!
 
Uchawi tena🤣🤣🤣🤣
 
Mshana Jr atabaki kuwa Mshana Jr ,HaweZi kuwa Mimi ,HaweZi kuwa wewe,HaweZi kuwa yule ,HaweZi kuwa wao.Kila mtu ni unique na ana jambo zuri la kipekee katika maisha haya.Kila mtu ana jambo linalofanya maisha yafurahiwe na wamzungukao Kwa namna ya tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…