Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Wewe hujanahatika kuniona tuu,wake za watu hawaishi kujigonga gonna ,na mimi nawapelekea moto ,juzi tuu nimetumiwa 600,000ya sikukuu
 
Hii point ya mwisho ina ukweli,hata mie nilishawahi kukutana uso kwa uso na Mshana Jr Mshana Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana Jr naona umepewa pass za Msonda anakupa pass harafu yeye anasimama asiwe offside na zingine anakwita kabisa Mayele jamaa sio mchoyo yule hili swala la pass kwa forward ukikosa kama yule mshambuliaji wa Bayern vs Man u 1999 aligongesha mwamba akiwa yeye na kipa ilibidi kocha amfanyie sub...
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…