Hapa umetumia akili vyema big upHakuna Mswisi asilia hata mmoja kwenye hiyo foleni, Mswisi hawezi kupanga foleni ya chakula cha bure leo hii, itachukuwa miaka 20-50 mfululizo ya ,,lockdown” Mswisi kufikia hali hiyo, na Mswisi akifikia hapo ujue Duniani kwingine watakuwa wameanza kula watu, ...
Wanawasaidia kumbuka hata kazi za usafi kwenye ma Zara na H&M hazipo maana nchi ni Lockdown. Hapo kuna watu warabu,weusi na wa ulaya mashariki .Besti hata kama ni hivyo mbona kabla ya korona hawakuwa wanapanga mstari hivyo
Utumwa mwingine huu, kwahiyo wewe umeenda hapo ukawasachi vitambulisho vyao hao wote kwenye foleni na ukajua sio waswisi asilia? Umetumia uchawi gani?Hakuna Mswisi asilia hata mmoja kwenye hiyo foleni, Mswisi hawezi kupanga foleni ya chakula cha bure leo hii, itachukuwa miaka 20-50 mfululizo ya ,,lockdown” Mswisi kufikia hali hiyo, na Mswisi akifikia hapo ujue Duniani kwingine watakuwa wameanza kula watu, ...
Kweli mkuu hiyo habari ni kweli kabisa, serikali imetangaza wanaohitaji chakula wakachukue yaani kwa wale wasiokuwa na chakula
Umewasachi wote vitambulisho vyao? Umetumia uchawi gani?Hao ni waarabu na wa l'Europe de l'est. Hakuna mswiss OG hapo.
Kwani wewe unaishi uswizi mpaka utafute ligiUtumwa mwingine huu, kwahiyo wewe umeenda hapo ukawasachi vitambulisho vyao hao wote kwenye foleni na ukajua sio waswisi asilia? Umetumia uchawi gani?
Hizi data zako tunaomba source tafadhaliPoor ni relative term, kwa maana ya kwamba mtu anayeitwa ,,poor” Uswisi pesa anayolipwa kwa mwezi na Serikali kwa TZ yetu ni upper middle class, isitoshe, wana vigezo tofauti kabisa na vyetu vya kupima umaskini, na hao wanaoitwa masikini > 85% siyo Waswisi asilia ni wageni/wahamiaji kutoka third World na Ulaya ya Mashariki, ...
Vipi, unapiga ramli siku hizi?Hao wengi watakuwa jamii za watu wa asia wanaofanya kazi za vibarua, wazungu wenyewe orijino walishaweka mitego yao kitambo sana...na ukikutana nao mara nyingi wanapiga misele tu town...
Mkuu haiwezekani nadhani serikali imewahurumia wageni ambao wengi wanafanya kazi za part time ndio maana imetangaza Kama unashida na chakula au huna waende wachukue bure kila siku wanataka kuanzia next week iwe kila mtaa kwenye mall maalum ili watu wachukulie maeneo ya karibu na walipoBasi sawa sasa mtoa mada katoa habari kinafiki sana ...utadhani uswizi imekuwa na hali ngumu kama ya Tz .
Hahahah, good answerBesti hata kama ni hivyo mbona kabla ya korona hawakuwa wanapanga mstari hivyo
Angalia utaawajua tu. Hapo kuna waarabu,weusi na wa ulaya mashariki.Kama uliwahi kuishi ulaya magharibi utawajua vizuri tena kwa kuangalia tu. Kwamba hapo Swiss ni wa kuja.Umewasachi wote vitambulisho vyao? Umetumia uchawi gani?
Swali mbona simple sana?Kea
Kwani wewe unaishi uswizi mpaka utafute ligi
Mkuu haiwezekani nadhani serikali imewahurumia wageni ambao wengi wanafanya kazi za part time ndio maana imetangaza Kama unashida na chakula au huna waende wachukue bure kila siku wanataka kuanzia next week iwe kila mtaa kwenye mall maalum
Duuh, kama ndio style yako hiyo, tuishie hapaAngalia utaawajua tu. Hapo kuna waarabu,weusi na wa ulaya mashariki.Kama uliwahi kuishi ulaya magharibi utawajua vizuri tena kwa kuangalia tu. Kwamba hapo Swiss ni wa kuja.
Kwakweli waje wajifunze kwenye shamba darasa namna ya kuishi na corona kama malari, taifodi na kichocho. Saf kabisa bila tashwishwi yoyote ili waendelee kuchapa kazi na kuendeleza uchumi wao ulio imara na bora kabisa duniani.Waje huku tuwafundishe namna ya kuishi naye huyo Corona..
Picha inajieleza. Kusoma hujui hata kutafasiri picha jamani ?Duuh, kama ndio style yako hiyo, tuishie hapa
Wamefunga.Kweli mkuu hiyo habari ni kweli kabisa, serikali imetangaza wanaohitaji chakula wakachukue yaani kwa wale wasiokuwa na chakula