MSHANGAO: Hadi Uswizi watu wanapanga foleni ndefu kupokea chakula cha bure Corona imeleta maajabu

MSHANGAO: Hadi Uswizi watu wanapanga foleni ndefu kupokea chakula cha bure Corona imeleta maajabu

Hakuna Mswisi asilia hata mmoja kwenye hiyo foleni, Mswisi hawezi kupanga foleni ya chakula cha bure leo hii, itachukuwa miaka 20-50 mfululizo ya ,,lockdown” Mswisi kufikia hali hiyo, na Mswisi akifikia hapo ujue Duniani kwingine watakuwa wameanza kula watu, ...
Kwani mswisi asilia ni malaika kwamba haguswi na msuko suko wa kiuchumi?
 
A

Acha kudanganya watu mkuu, kuna kipindi pesa inakosa thamani kwa sababu vitu vinakua hazipatikani hiyo hata China ilitokea supermarket watu walikuwa wanapanga mstari wanauziwa vitu kwa kugawana. Mchele ulikua sawa na almasi ulipotea kabisa

Sasa unafananisha China na Uswisi? Uswisi ni nchi tajiri Duniani, per capital income ya Uswisi > 80 000 USD vs China < 15 000, TZ yetu < 3 000 USD, Uswisi iko mbele ya China, na China haitokaa ifikie utajiri wa Uswisi.

Hivyo usilinganishe visivyolingana!
 
Utumwa mwingine huu, kwahiyo wewe umeenda hapo ukawasachi vitambulisho vyao hao wote kwenye foleni na ukajua sio waswisi asilia? Umetumia uchawi gani?


Siyo utumwa, ni ukweli, Uswisi ni nchi tajiri Duniani kwa kipato, na mtu asiye na kazi analipwa fedha ambayo inamtosha kuishi hivyo hahitaji chakula cha bure, ...
 
Hakuna Mswisi asilia hata mmoja kwenye hiyo foleni, Mswisi hawezi kupanga foleni ya chakula cha bure leo hii, itachukuwa miaka 20-50 mfululizo ya ,,lockdown” Mswisi kufikia hali hiyo, na Mswisi akifikia hapo ujue Duniani kwingine watakuwa wameanza kula watu, ...
Duuh.. mkuu taratibu basi..

Unanitisha asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo utumwa, ni ukweli, Uswisi ni nchi tajiri Duniani kwa kipato, na mtu asiye na kazi analipwa fedha ambayo inamtosha kuishi hivyo hahitaji chakula cha bure, ...
Swali lilikuwa ni umejuaje hao sio waswisi?
 
Sasa unafananisha China na Uswisi? Uswisi ni nchi tajiri Duniani, per capital income ya Uswisi > 80 000 USD vs China < 15 000, TZ yetu < 3 000 USD, Uswisi iko mbele ya China, na China haitokaa ifikie utajiri wa Uswisi.

Hivyo usilinganishe visivyolingana!
Tofautisha utajiri wa pesa na utajiri wa chakula. Kuna muda pesa inakosa thamani kwasababu vitu vinakua havipatikani kwasababu ya lockdown, watu hawazalishi vyakula.
 
Mkuu haiwezekani nadhani serikali imewahurumia wageni ambao wengi wanafanya kazi za part time ndio maana imetangaza Kama unashida na chakula au huna waende wachukue bure kila siku wanataka kuanzia next week iwe kila mtaa kwenye mall maalum ili watu wachukulie maeneo ya karibu na walipo
Yupo mama mmoja ofc yetu imepanga mjengo wake Bunju,huyo mama anafanya kazi za ndani Uswis ..na huwa akija anatuambia kabisa," anachofanya...ila akirudi home huku taita.Waswis OG wanamaisha standard sanaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzuka wanajamvi

Kamwe usingewaza tukio kama hili kutokea Uswizi. Korona (pathetic virus) imeleta shida kwa kipindi kifupi sana. View attachment 1446109

Yani watu Uswizi wanapanga foleni ndefu tena ya zaidi kilometre moja kupewa chakula cha bure tena wanawahi kupanga mstari kwaanzia saa kumi na moja asubuhi.
View attachment 1446109View attachment 1446113
Kwa sasa hivi Uswizi imethibitisha watu 30, 305 wana maambukizi ya korona na vifo ni 1800.View attachment 1446121

Uswizi ni nchi inayoongoza kwa maisha bora na malipo mazuri ulaya na duniani hata kwa wabeba boksi.
View attachment 1446118

Hata kwenye kati ya jiji Tajiri duniani Geneva hali ya uchumi imedorora na imeleta hali ngumu ya kiuchumi kwa watu waliokuwa wanafanya kazi kwenye housekeeping, hoteli, migahawa, kilimo na ujenzi
Hapana sio wameishiwa chakula but serikali yao imesema inatoa tu kwa watu wenye uhitaji sio kihivyo hii habari nimeiona sehemu nyingi sio hari mbaya kama unavyowaza wewe
 
Hakuna Mswisi asilia hata mmoja kwenye hiyo foleni, Mswisi hawezi kupanga foleni ya chakula cha bure leo hii, itachukuwa miaka 20-50 mfululizo ya ,,lockdown” Mswisi kufikia hali hiyo, na Mswisi akifikia hapo ujue Duniani kwingine watakuwa wameanza kula watu, ...
US watu wanapanga foleni ya chakula cha bure.
Wazungu kabisa wa US na ninaona live Kila siku.
 
Ndo mjue lock down sio mchezo.
Watu HAWAFANYI kazi watapata wapi hela.?.
Na afadhari hyo serikali inawajali hao raia.
Hivi unadhani magufuli atakuwa anagawa chakula akitangaza lock down?.
museven kajitahidi kuwapa wananchi wake kilo 6 za unga na kilo tatu za maharage.
Zimepita karibia wiki 3 sasa hivi kimyaaaa hagawi tena.
Hata mimi nilipoiona hii, nimeshangaa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom