Nitafanya hiviMtoa maada omba msamaha kwa wanajukwaa, huoni wote wako tofauti na mtizamo wako...kama bado roho inakuuma mtafute dada ake na mshikaji nae umtie mimba na umuoe hapo itakuwa ngoma droo
Acha ujinga wewe ungemuoa wewe?Huyo usiongee naye maisha yako yote.
Pumbavu zake
Unajua maana ya rafiki?Amelipa fadhira maana Dada yako angeburuzwa na wajuba bila kuolewa, huyo ni rafiki mwema mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hutaki dada yako aolewe basi nenda ukamuoe wewe.PumbavuuuHili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
acha wivu wewe, basi muoe wewe huyo dada yako maana unaona kama jamaa ana faidi
CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI.Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ulitaka aoelewe na nani?Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kisa cha kweli mkuuCHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI CHAI.
Well said.Kamtia mimba na kamuoa inakuuma..Angemkataa je.?
Yote aliyotenda baba yako ilikua sehemu ya msaada tu kama inavyotakiwa binaadamu yoyote kusaidia wengine. Kusaidia hakuhalalishi undugu wa damu hadi kuwe na miiko. Jamaa kafanya vyema kaamua kulipa fadhila kwa kuimarisha undugu daima (kama ni wakristo) mwa ndoa.
Unaelewa maana ya rafiki?We jamaa vp dada yako kaolewa we unanuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa unaelewa maana ya rafiki lazima msielewane.mm pia sielewani na shemeji yangu kisa kama hiki hiki hadi nashindwa kuelewa kuna kosa gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuoa dada wa rafiki sio jambo baya kabisa, ila kwangu mim nafikir busara ni kumjulisha rafiki yako kwanza kabisa kabla hujaamua kujilipua, kumpa dhamira, kupata ushauri na kusikia nin maoni yake ili kulinda urafiki wenu pia....ila tu challenge ni pale ukigombana na dada yake,urafiki unaweza yumba pia!
Sent using Jamii Forums mobile app