Unajua kutofautisha kati ya ndugu na rafiki?Mm imenitokea na jamaa yupo humu, tumejenga karibu. Tunaishi kwa amani kabisa, hapa familia yangu ilienda kushinda Kwake leo ndo natoka kuichukua. Sio issue mkuu, waombee tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupenda bureAnatafuta kiki mseleleko. Tumpuuze
Sent From Galaxy S9
Njoo hadi ubongo, uliza kwa Usher-smithVyote ulivyotaja vinanifaa
Nipe address bwa shemeji 😊😊😊
Hata kama!Mbona haina shida mkuu.Huyo jamaa ni ndugu yako sasa sio rafiki tu.
Vipi kama dadako angepigwa mimba na majamaa hapo mtaani afu wangemtelekeza?Kipi bora?
Njoo hadi ubongo, uliza kwa Usher-smith
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo umekuja huku kunidhalilisha! Sasa nyumbani kwangu kutakuwa hakuna uzazi wa mpango....Sijui utachukia na wajomba zako.
Koo kupitia hicho tu Roho ikakuuma kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Karibu getto saUnajua kutofautisha kati ya ndugu na rafiki?
Rafiki yako mnaweza kuambiana jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni, shemeji yako mtajadili hayo?
Huyo siyo rafiki tena ni shemeji
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣 🤣 🤣 🤣 JF bhanaacha wivu wewe, basi muoe wewe huyo dada yako maana unaona kama jamaa ana faidi
Inauma mnoKoo kupitia hicho tu Roho ikakuuma kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Karibu getto sa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Mkuu kuna ubaya gani hapo?Huyo usiongee naye maisha yako yote.
Pumbavu zake
Jamaa ana akili sana, amefanya jambo jema.Kamtia mimba na kamuoa inakuuma..Angemkataa je.?
Yote aliyotenda baba yako ilikua sehemu ya msaada tu kama inavyotakiwa binaadamu yoyote kusaidia wengine. Kusaidia hakuhalalishi undugu wa damu hadi kuwe na miiko. Jamaa kafanya vyema kaamua kulipa fadhila kwa kuimarisha undugu daima (kama ni wakristo) mwa ndoa.
Mkuu trust me rafiki yako hawezi kumpa shida Dada yako, Ni MTU ambaye anamuelewa Dada yako na maelewano yao yalianzia toka akiwa hapo home.Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa.
Baba yangu alikuwa anamlipia ada, nguo za shule kuanzia form 3 mpaka form 4 amenunuliwa na baba yangu cha ajabu baada ya kumaliza chuo na kupata kazi amemuoa na kumtundika mimba Dada yangu wa mwisho kweli hii ni sawa!
Niende kwenye harusi yao au nisiende? Nimsalimie au nisimsalimie?
Cha ajabu baba yangu na mama yangu wamekubali umuoe Dada eti kisa wewe ni Dr ataishi maisha mazuri!
Kwa hili rafiki yangu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi .
Sent using Jamii Forums mobile app