Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Hili ni kwel, nakubaliana na wewe, watoto wangu ndio udhaifu wangu mkubwa
Wewe unatakiwa upigwe vibao vya shavu kama vitatu ubongo ukukae sawa.....mimi ni ke ila kuna siku baba watoto aliniletea pigo za kuondoka na akachukua mtoto.....wallahi naapa sikumzuia, sikupiga simu, sikushtakia ndugu....yani niliendelea na life langu kama hamna kilichotokea, na mtoto nimemzaa kwa shida uzazi wa nusu kifo na kisu juu.....ila sikukohoa, haikumaliza siku 3 alirudi na msamaha aliomba.
Sa wewe mwanaume hata labour huijui, unatishiwa watoto?
 
Wanakuja kwa kasi ya mwanga


Magumu ila yatapita, kula vizuri, Fanya kazi vizuri, mpe talaka mapema! Tatizo lako hutaki muacha, ungetaka muacha angeshatulia!
 
Wasinipige tu mawe, maana hawatakawia kuniita mwanaume dhaifu
Sasa unauliza makofi polisi. Kwani wewe huoni ulivyo dhaifu?

Unadhani kuna mwanamke wa kumchezea hivyo mwanaume serious na asiyetabirika. Mwanamke wako hakuogopi bali unamuogopa wewe mpaka unaenda kujificha lodge unaacha nyumba yako. Kisha unakuja hapa ukiamini wewe ni shupavu.

Wewe ni Khadija mmoja hivi, hamna kitu.
 
Ahahahahah...umenichekesha sana mkuu, ila umeni lift up my soul.
Kosa langu kubwa ni kuanza kufuata protocols
 
Mkuu kwa wakristo ,talaka ya namna hii inawezekana?? Nifundishe zaidi
Wewe mwite akifika mpe ushahidi wa maandishi na akuambie anataka nini hasa achukue kama ni nyumba Mali akae nazo na wewe hutamfuatilia!!!!

Na wewe nenda kaoe kienyeji hukooo vijijini!

We jaribu hiyo !utaona ataikubali TU hivyo hivyo!anachotaka huyo ni umiliki was Mali!we andika kwamba umemuachia Kila kitu alee watoto!
 
Nilisha hama, mwezi huu kwenda ku chill mwanza nihamishe harakat huko, alipo jua hilo ndio moto wa police ukaanza, nahisi hataki na mimi ni move on
Sasa ukimove on atamchezea nani na wewe ndo mnyonge wake 😅?? We mng'ang'anie tu mana mmezaa watoto mlazimishe mrudiane na mama si hakumtukana? We fosi fosi hapo mama nae apate tusi ! Ukitoka hapo lazimisha muishi pamoja akuchomee ndani.. safi kabisa! Braza wewe yani una moyo mwema sana kaza acha kusikiliza hawa watu wanaokushauri ubaya ubwela
 
Ahahaha dah mwanangu usifanye hivyo bwana 🤣🤣
 
Piga chini haraka sana, mwanaume unakuwa mlaini laini kiasi hicho, huyo sio mke wako tena ana wanaume nje wanamla sana hana hisia na wewe tena na wana msupport, kuwa na roho ngumu mwambie sitaki kukuona usoni mwangu na koma, tena mwambie una oa mke mwingine mkali sana, akae mbali kabisa na wewe, acha urojo urojo, mwanaume kuna wakati unaamua maamuzi magumu ili kusonga mbele, huyo mkeo alikuwa analiwa nje hana hisia wala hafuati akili zako tena, yaani hadi anamtusi Baba yako mzazi umesema? Weeeeee, ana bahati sana, wengine sie angekula karate na kibao kimoja tu hapo na atakojoa na haja kubwa kwa pamoja hapo hapo na atakata pumzi au akiamka hapo hatadhubutu kukuona tena, huyo shetani tayari, piga chiniiii haraka plse
 
Nakufuata pm
 
Mi nashangaa skuizi watu wanapenda maushauri! Baba zetu walikua wanajua wao wanaume maisha popote mama akizingua anaachiwa mji kimya kimya mnasikia tu baba enu anafamilia amenzisha Makambako amejenga huko. Wala mzee haongei ni watu tu wamekutana nae huko
 
Nimekuelewa japo umeongea kinyume nyume 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…