Msiangalie Kombe la dunia chukueni tahadhari

NBA ni tamu sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] me twitter na WhatsApp natumia kama nimeingizwa kuwa mwanachama mbona kwenye account yangu sioni mtonyo wowote? AU NDIO NITUMI AFUTATU YA KUJIUNGA
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] me twitter na WhatsApp natumia kama nimeingizwa kuwa mwanachama mbona kwenye account yangu sioni mtonyo wowote? AU NDIO NITUMI AFUTATU YA KUJIUNGA
Ohooo njoo nikuelekeze namna ya kuingiziwa mzigo
 
Hivi hawatuingizi mkenge kupitia kupumua? Nataka kujua ili nichukue tahadhari mapema..!!
 
😂😂Daaah mkuu uko sawa kweli mbona usiende nyumbani upumzike kidogo.
Ha ha haa,huenda yupo sahihi lakini ndo yupo kwenye mfumo anataka tusifanye yote hayo....tutaishije sijui
 
Pia wamekuingiza mkenge kupitia jamii forum
 
Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.
Shida ni kuwa hujui kujenga hoja. Elezea watu wanaingizwaje mkenge ili wakuelewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…