Msiangalie Kombe la dunia chukueni tahadhari

kwahio TZ dini yetu niipi ukiacha zakuletewa?
"UPENDO" ndiyo dini yetu, tena si TZ pekee, utaishi popote pale duniani kwa amani ya kutosha haijalishi utakuwa pamoja na Wapagani, wenye dini za Hinduism, Budhaa n.k maana yote kwa yote Binadamu tumeumbwa na Mungu muumbaji wa viumbe vyote, pia kuna maisha baada ya hapa duniani.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]weee nisije nikawa mimi ndio kafara yenyewe
Mimi mwenyewe nataka nijikabidhi kwako unifanye utakavyo...pili mimi huko sio mshirika bali mimi mshirika wa Kristo🤣
 
Hadi umejua kuwa linaanza leo, wewe nnimfatiliaji mzuri sana na utakuwa umeandaa mzigo wa kubet kwa mwezi mzima ili upige hela! Leo unampa nani mkuu?
 
Mimi mwenyewe nataka nijikabidhi kwako unifanye utakavyo...pili mimi huko sio mshirika bali mimi mshirika wa Kristo[emoji1787]
Me pia mshirika wa kristo hivyo niende huko kutafuta nini?
 
huna lolote. hio dini yenu yaupendo mnakunyika wapi ili muihubiri mana watanzania hawaijui unaijua wewetu.
 
Naona haupo sawa wahi matibabu haraka,umetaja mitandao mengi halafu bado unawasilisha hayo madai yako kwa kutumia mtandao!
 
huna lolote. hio dini yenu yaupendo mnakunyika wapi ili muihubiri mana watanzania hawaijui unaijua wewetu.
"Imani bila matendo imekufa" kama matendo yako hayaakisi wema mbele za Mungu na hata Binadamu wenzio ni heri tu uanze mapema kutubu hiyo dhambi na kumwomba Mungu akurehemu ili uishi jinsi anavyopaswa kuishi Mcha Mungu.

Moja ya tabia isiyoakisi tabia za Mungu ni chuki kwa Binadamu mwenzio unayemwona ilihali unampenda Mungu asiyeonekana isipokuwa kwa imani tu, huo ni unafki ambao hata shetani anakushangaa...[emoji16]
 

Tatizo huelezei wanatumiaje kuingiza watu mkenge. Umeishia tu kuonya
 
Eeh kwa hiyo turudi kusafiri na punda
Hata kipindi kile Yesu alijua kuna magari ya kukokotwa na punda ambayo wafalme na matajiri ndio walikua wanayatumia, na ukuu wake wooooote na ufalme wake woooote aliagiza PUNDA TU, ndipo alipo haramisha magari hapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…