Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

Pengine alikua amebanwa na mkojo kwa muda mrefu.
 
Kwa hiyo ulitaka awe anatabasamu mje mseme mzee wa msoga kafiwa na rafiki yake kipenzi ila anacheka cheka tu. au ulitaka atajwe ili nini?.

Tujifunze wakati mwingi kufanya mambo bila kutaka umma usikie, laylow kwenye mambo mengi itakusaidia sana.

Wewe hujui kuwa wanaosimamia mienendo ya hii nchi wangeweza kuhoji na kidadisi kutajwa kwa JK kama ambavyo sasa hivi wanahoji na kudadisi kutokutajwa kwake. Sasa kipi bora hapo?.

Usishangae ukakuta ni JK wenyewe kaomba asitajwe popote na familia kwenye shukrani, kwani sadaka haihitaji kutajwa kwa wanadamu.

Ukijifunza mfumo wa maisha wa JK na wa EL uka mix pamoja ukapata hybrid utafanikiwa sana mambo yako iwe biashara, siasa au kuishi na jamii na hautashangaa kwanini hajatajwa.
 
Ngoja niitafute utube
 
Kilichomuangusha Mwanangarash ni tuhuma mbaya za ufisadi.
Hata Kikwete alishawahi kulisemea hili siku ile ya mwisho ya Kampeni.
Alisema chama kingepata shida sana kwenye kumtetea na kumnadi.
 
Hakuna kitu kama hiki. Wana ccm ndio walifanya JK awe Rais.
Ni kweli. Nakumbuka zile kampeni za Kikwete awamu ya kwanza ya Urais zilipendeza na dunia nzima ilijua kuwa Tanzania kuna demokrasia na kwa mara ya kwanza nilisikia usemi wa "Chaguo la Mungu". Watanzania kumbukumbu zetu ni fupi sana!
 
Jitahidi ujifunze, upate maarifa. Hakuna Rais anaejiweka Kitini.
 
Sawa ila tusioneane haya na kuacha upuuzi uendelee kisa kujenga ushwahiba.

Hata hivyo kwani Kikwete amekosea nini kwa Lowassa?
 
Mwenyekiti ndiye anateua watu wanaounda kamati kuu

Na lazima ateue wanaimtii
 
Mwenyekiti ndiye anateua watu wanaounda kamati kuu

Na lazima ateue wanaimtii

Unajua Kuna kitu kinaitwa CCM inner circle aka CC ya CCM wanakaa kwanza wazee kujadili?
Unajua Kuna kitu kinaitwa system ambayo imeweka macho yake CCM kuhakikisha anapatikana mtu sahihi?
 
Kilichomuangusha Mwanangarash ni tuhuma mbaya za ufisadi.
Hata Kikwete alishawahi kulisemea hili siku ile ya mwisho ya Kampeni.
Alisema chama kingepata shida sana kwenye kumtetea na kumnadi.
Uwongo wake tu. Huo ufisadi wa Lowassa unatajwa tu kuwa ni ufisadi lakini hatuambiwi ni wapi aliiba hizo hela. Kaa mfano ufisadi wa JK kwenye ESCROW account ya TAMESCO JK alichukua pesa Stanbic kupitia kwa Harbinder Singh
 
Lowasa alitaka kumuingiza chata JK kwenye makundi ya wezi (ingawa Lowasa mwenyewe alikuwa muadilifu ila makundi ya nyuma yake yalikuwa ya wezi).
 
Ilikuwaje waziri mkuu Kubabaika sana kutamka, "Jina la Bwana lihimidiwe" πŸ€”
 
Ulichoandika Ni sawa na kusema Yesu ndio kampa Mungu umaarufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…