Sasa Bashe na Huyo Chegeni na JK, mbona ni mbingu na ardhi, Huyo Bashe JK ndio alimleta kwenye kalamu God father wake anayemfanya aishi mjini.
Marehemu angekuwa na nguvu hiyo sidhani kama alipaswa kumtegemea JK ili awe Rais, angeweza pia kumzunguka na kujiweka kitini.
BWM aliweza kuzungukwa JK akawa Rais na sio SAS, basi EL naye angetumia nguvu hiyohiyo kujifanya Rais baadala ya JK.
Sasa kama alikuwa superpower na hela + rafiki yake RA walishindwaje kumzidi kete JK pale Dodoma na watu wao akina Sofia, Madabida, Nchimbi, Msindayi nk?