Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Wahka wa nafsi.Leo nimemuona Kikwete pale kwenye msiba Monduli. Hali yake haikuwa ya kawaida kabisa na mwishowe aliondoka na sijui hata alipoenda.
Sasa sijui alikuwa na tatizo la kiafya au ni kitu gani? Alikuwa hawezi kukaa kwa utulivu kwenye kiti chake. Na sura yake ikionyesha kama vile alikuwa na maumivu flani.
Mwili wake ulikuwa una swing back and forth akiwa amekaa kwenye kiti. Na ni jambo ambalo naona kama alikuwa akishindwa kuji control. Baada ya muda kile kiti chake kilikuwa wazi kabla hata Rais hajaondoka. Kwasababu kiitifaki, hakuna anayeruhusiwa kuondoka kabla ya rais.
Na Hali hii itamtesa JK hadi atakapoitwa mbele za haki kupewa majibu ya alichokiyendaHakMkuu, hivi umewahi kumsaliti rafiki yako, rafiki aliyejitoa maisha yake kukusaidia kwa kila namna kutimiza ndoto yako? Ni mambo ya kawaida sana kibinaadamu kusalitiana ila maumivu yake ni pale rafiki yako anapotangulia kufa na hamkuwa vizuri sana au hamkuwahi kuombana msamaha.
Kibinadamu, hata kwa kujikaza vipi, Jk hawezi kuwa na amani tena. Na inaonekana kama wale marafiki zake wote wamemtema, ulimsikia Rostam akimzungumzia Lowassa na sababu ya kuondoka kwake CCM?
Ya huyu ni kwa alichomtenda swaiba wake ni zaidi ya wote.Mwanasiasa gani katika nchi hii ambaye hajawahi kufanya dhulma?
Kwa hiyo mlotaka ampe urais kisa ni rafiki yake? Thank u kikwete uliangalia maslahi mapana ya nchi kuliko kujali uswahiba nchi itumbukie shimoni japo jpm ndo alikuwa rais mbovu sana kuwahi kutokea Dunia hii
Kweli, familia ya Mzee Lowassa haijamtaja kabisa kabisa Mzee Kikwete, watu wengi mno wamepewa shukrani za kipekee, ila Mzee JK hata kutajwa hakuna, dah
Kikubwa cha kushukuru Mzee JK nae anajua sana uvumilivu na kulinda ulimi wake..!!
Wapi kazungumzia elimu?kama na wewe unaamini Makamba na Amina Salum wana ushawishi kuliko Lowassa basi una matatizo makubwa.Anachozungumza hapo ni kwa nini JK hakuruhusu jina liende ili akapambane na akina Migiro,Makamba na Membe?Una mana Gani? Kwamba akina makamba hawana elimu ya kutisha kumpita lowasa? Kwanza lowasa kasoma fine arts.
Hatari sana mkwere yuleHata kama ni wewe rafiki yangu uje unisukumie kashfa nipate ajali ya kisiasa nianguke kukulinda wewe, nijikongoje niinuke, uje tena unifyekelee mbali nisiyafikie maono yangu, huo moyo wa kukuvumilia undava wako mimi rafiki yako mkubwa nitautoa wapi?
Mkuu Unaijua Tezi Dume?sikia rafiki yawezekana wewe hujui,jk kwenye issue ya lowassa alifanya sawasawa na wala hana baya lolote alilofanya,sasa kuhusu haiba yake,wajihi wake,jk anaumwa kansa ya tezi dume hivi unategemea awe na nguvu vipi?,umri pia umekwenda hawezi kuwa mkakamavu,hebu tumwache jk please
mimi pia kanishangaza na erimu yangu ya ra saba ccm d najua ikishaondolewa mtu anakua hana tezi tena.Mkuu Unaijua Tezi Dume?
Tezi dume ikishafanyiwa surgical.operation huwa haipo tena..
Kwahyo.usidanganye watu
Tatizo kubwa la watu siku hizi ni Elimu ndogo..mimi pia kanishangaza na erimu yangu ya ra saba ccm d najua ikishaondolewa mtu anakua hana tezi tena.
Mwenzio zuckerburg anaingiza pesa chungu mzima kupitia hiyo facebook je wewe kutwa jamii Forum unapata nini?Nenda Facebook huko mkaongelee makalio ya wanawake
Kikwete hana kosa ukichungiza kiundani malalamiko yamegawika ktk chuki za kikanda chuki za kisiasa na udini kwa mbali lkn tujiulize kwann nyerere alimkataa kwa sababu zip na chama kilimkataa kwa sababu zip na kwanin kikwete alimchagu wazir mkuu anza na hayo maswali bila kusahau mfumo wa chama na serekali kiutendaji ukoje hapo utapata jawabu kikwete hana kosa lkn yy ametupiwa gunia la misumari lkn niswala la muda tu tutege skio tuKwann hutaki tumseme?
Kikwete ni mtu mnafiki sana, sishangai. Watu wengi wa pwani wana tabia hizo,ni watu wa kuogopa sana.Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.
Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.
Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.
Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.
Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
Mkapa ,magufiri, lowasa huko kote kasemwa semwa sana sijui kwa niniHakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.
Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.
Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.
Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.
Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.