Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

off course kikwete alikuwa anasimamia mwiko wa baba wa taifa, tatizo aliyeingia nae alikuwa ndani ya mwiko!
N. B, katika kutimiza miiko huwa hatuangalii sura,tuna kata na kufunua.
-Tutazunguka mbuyu lakini hii ndiyo sababu kuu,
Mwl, Jkn, alishamnongoneza,tuongozwe na vikabila vidogovidogo, yameshapita tugange yajayo!
 
Wahka wa nafsi.

Anaonyesha ujasiri wa macho tu lakini moyo una msuta. Mauti ya Lowassa yamemkumbusha kuwa kila kitu ni cha muda tu hapa duniani.

Hawezi kukiri makosa kwa vile kaaminisha akili yake kuwa hana kosa ila nafsi yake inamsuta na nina yakini anatamani wakati ungeweza rudi nyuma arekebishe makosa yake.

Kikwete wa msiba wa Lowassa na Kikwete wa msiba wa Membe ni watu wawili tofauti. Kwa Membe Kikwete alikuwa na huzuni ya kuondokewa kwa Lowassa Kikwete ana huzuni ya matendo yake kwa Lowassa.

Inasadikika Lowassa hakuwahi kumkabili Kikwete kwa neno lolote baya na hii ni mbaya zaidi kuliko hata angemshambulia.

Binadamu wote tutakufa ila hakika jitimai ya Lowassa itamuua Kikwete very very very soon.
 
Na
Na Hali hii itamtesa JK hadi atakapoitwa mbele za haki kupewa majibu ya alichokiyendaHak
Mwanasiasa gani katika nchi hii ambaye hajawahi kufanya dhulma?
Ya huyu ni kwa alichomtenda swaiba wake ni zaidi ya wote.
 
Kwa hiyo mlotaka ampe urais kisa ni rafiki yake? Thank u kikwete uliangalia maslahi mapana ya nchi kuliko kujali uswahiba nchi itumbukie shimoni japo jpm ndo alikuwa rais mbovu sana kuwahi kutokea Dunia hii

Wewe lazima una tatizo kubwa la uelewa. Ni kwa asili yako una akili kidogo cha kushindwa kuelewa au unajifanya huna akili?

Hakuna anayemsema Kikwete ni msaliti kwa vile hakumpa Urais. Usaliti na unafiki wa Kikwete ni pale ambapo Kikwete aliweza kumhadaa Lowasa kuwa ni rafiki yake kumbe ni adui yake mkubwa.

Lowasa alichohitaji toka kwa Kikwete, hata bila ya urafiki wao, ni kutendewa haki. Kikwete alimnyima Lowasa haki yake ya kuomba kupitishwa kuwa mgombea wa CCM. Kikwete alihakikisha jina la Lowasa halimo miongoni mwa majina ya kupigiwa kura na wajumbe wa CCM.

Lowasa, bila hiyana, akaondoka CCM, akagombea Urais kupitoa CHADEMA. Lowasa akachaguliwa na mamilioni ya Watanzania, na kwa hakika ya 100% alishinda. Kutangazwa kuwa ni mshindi ilikuwa ni haki yake, hata asingekuwa rafiki wa Kikwete, lakini Kikwete kwa ushetani wake, akaamua kuzuia kutangazwa kwake, na kisha kuwakamata na kuwaseka magerezani watu wote waliokuwa wanajumlisha kura za Lowasa.

Ushetani huo wa Kikwete haukuishia kwa Lowasa, alifanya hivyo hivyo kwa Hayati Maalim Seif. Kimwete inaonekana kudhulumu haki za watu ni asili yake. Na mtu mwenye moyo wa dhuluma lazima ni zao la shetani.
 
Kweli, familia ya Mzee Lowassa haijamtaja kabisa kabisa Mzee Kikwete, watu wengi mno wamepewa shukrani za kipekee, ila Mzee JK hata kutajwa hakuna, dah

Kikubwa cha kushukuru Mzee JK nae anajua sana uvumilivu na kulinda ulimi wake..!!

Yaani mlitegemea mtu mdhulumaji wa haki za watu kwa sababu ya madaraka ashukuriwe? Huyu ndiye alidhulumu ushindi wa Maalim Seif huko Zanzibar. Alidhulumu ushindi wa Lowasa. Alidhulumu maisha ya Dr Ulimboka, hata akaponea chupuchupu.
 
Una mana Gani? Kwamba akina makamba hawana elimu ya kutisha kumpita lowasa? Kwanza lowasa kasoma fine arts.
Wapi kazungumzia elimu?kama na wewe unaamini Makamba na Amina Salum wana ushawishi kuliko Lowassa basi una matatizo makubwa.Anachozungumza hapo ni kwa nini JK hakuruhusu jina liende ili akapambane na akina Migiro,Makamba na Membe?
 
Hata kama ni wewe rafiki yangu uje unisukumie kashfa nipate ajali ya kisiasa nianguke kukulinda wewe, nijikongoje niinuke, uje tena unifyekelee mbali nisiyafikie maono yangu, huo moyo wa kukuvumilia undava wako mimi rafiki yako mkubwa nitautoa wapi?
Hatari sana mkwere yule
 
Mkuu Unaijua Tezi Dume?
Tezi dume ikishafanyiwa surgical.operation huwa haipo tena..
Kwahyo.usidanganye watu
 
taarifa za wakubwa tunazo sisi walalahoi. karibuni tuendelee kubeba tofari apa saiti. ayo ya wakubwa yatakupasueni kende mkashindwa kupeleka moto. mbele ya wanasiasa wanatuona sisi ni watwana na mapimbiroo
 
Kwann hutaki tumseme?
Kikwete hana kosa ukichungiza kiundani malalamiko yamegawika ktk chuki za kikanda chuki za kisiasa na udini kwa mbali lkn tujiulize kwann nyerere alimkataa kwa sababu zip na chama kilimkataa kwa sababu zip na kwanin kikwete alimchagu wazir mkuu anza na hayo maswali bila kusahau mfumo wa chama na serekali kiutendaji ukoje hapo utapata jawabu kikwete hana kosa lkn yy ametupiwa gunia la misumari lkn niswala la muda tu tutege skio tu
 
Kikwete ni mtu mnafiki sana, sishangai. Watu wengi wa pwani wana tabia hizo,ni watu wa kuogopa sana.

Fuata link ifuatayo uone unafiki wa Kikwete.

 
Mkapa ,magufiri, lowasa huko kote kasemwa semwa sana sijui kwa nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…