Msibani: Mama mzazi wa marehemu Said azuiwa mlangoni na familia ya Swalha kuingia nyumbani kwa mwanae kuweka msiba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukioa familia ya kimaskini wao wanachoangalia ni Mali utakazowaachia ndugu wa Mke siku ukifa ukiona hivyo ujue hiyo familia ya mke wanamatatizo na hawafai kabisa, vijana ambao hamjaoa muwe mnachunguza familia za kuvuta jiko
 
Tabia za hawa wazazi ndizo zilizopelekea mtoto wao kuuawa. Sasa kama wanataka kung'ang'ania Mali ambacho ndicho kitu kinachojidhihirisha hapa, wataambulia risasi nyingi kutoka Kwa baba wa Said.

Polisi ingilieni Kati hapo mauaji mengine yananukia!!
Naona watu wanazusha, nimeona video Milladayo kapost, baba Salha kaenda msibani kwa Said na kuwapa mkono wa pole. Sijaona vurugu yoyote pale
 
Kwa jinsi nilivyo huu ujinga mwingine ama wengine wawili wangekuwa wameshakufa. Huyo danga alichangia nini zaidi ya kujiuza tu na amepelekea mpaka Kaka yangu kufariki.

Yaani basi tu Ila haya mambo ndio maana niliyajua tokea nikiwa mdogo nilijuaga hapendwi mtu bali alicho nacho. Waarabu wanaoana ndugu ili Mali izunguke ndani ya Koo hiyo sio unaleta mtu kisa amekuona uko pazuri. Ukisaidia ndugu anaumia na huku hajui ulivyokuwa.

Yaani Kuna muda niliwaomba ndugu nioe MTT wa shangazi. Wakagoma Ila bado nilioa karibukaribu yaani baba zetu ni binamu sie ukoo ama undugu unaishia kwa binamu so huku chini mnaoana kawaida yaani bana watu wana tamaa Sana na mali.
 
Chonde chonde wanaume wenzangu ACHENI kabisa kuwajengea wanawake, mahawala na kuandikisha majina yao kwenye kwenye hati za nyumba huku familia zenu zikiishi maisha ya ufukara wa kutupwa. Unamjengea mwanamke/hawala kweli una akili?.
 
Tabia za hawa wazazi ndizo zilizopelekea mtoto wao kuuawa. Sasa kama wanataka kung'ang'ania Mali ambacho ndicho kitu kinachojidhihirisha hapa, wataambulia risasi nyingi kutoka Kwa baba wa Said.

Polisi ingilieni Kati hapo mauaji mengine yananukia!!
Mimi Namlaum said kwa kuwa alishaamua angemchukuwa mke na hao shemeji zake mpaka kwa wazazi wao halafu kawafumua bongo wote halafu ndio akajimaliza na yeye kama yule mjeshi wa Mbezi, aliyemchukuwa yule mtangazaji mpaka kwa mamake akafika akawafumua wote
Mimi namlaumu Side kama alishaamua kujilipua alipaswa kuwabeba wote kwenye gari mpaka kwao akijifanya mshikaji halafu kufika tu pale kwao anawalipua wote nyumba nzima halafu ndo yeye. Kama ilivyokuwa kwa yule MJESHI alivomfanya yule dada wa ITV
 
Hapo ilikuwa wazike kila mtu akalilie kwake, kiumeni wabaki kiumeni upande wa kike waende kikeni.
Watu wenye busara na hekima wangefanya hivyo!
Upande wa mke wangeenda kwao, mume kwao!
Hiyo nyumba ni crime scene!
Bado inaongezewa na drama scenes!

Tunavyopenda drama waswahili, hapo upande wa ke, ndiyo utaona Una haki miliki ya kila kitu!
 
Umenena
 
Mgawanyo wa mali hapo utaleta shida hasa kama yule boya hakuandika wosia. Watu dhaifu kama yule tako ni hasara kwa jamii.
Yule dada ndani ya miezi 5 kwenye ndoa tayari alishaleta mama yake na wadogo zake wawili kwenye nyumba,kuna makabila ukioa unaoa ukoo shwaini
 
Yule mwamba kakosea, angempa talaka tu, yule sal.. uzuri na kupenda starehe.
 
Kuna mtangazaji wa Itv aliwahi pigwa risasi ya bega na mumuwe kwa mtindo huohuo mama wa mke ndio alikuwa kinara wa game likawageukia
 
Yule mwamba kakosea, angempa talaka tu, yule sal.. uzuri na kupenda starehe.
Kanda maalumu hawanaga kuremba, umesikia huko Serengeti mke katoka kuliwa papuchi mwenye mke kachomeka panga huko kunako, ila kuna watu na akili zao. Yaana jamaa kaingiza panga kwenye utamu sijui kesho ataomba tena endapo makarao watamwachia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…