Msibani: Mama mzazi wa marehemu Said azuiwa mlangoni na familia ya Swalha kuingia nyumbani kwa mwanae kuweka msiba

Huyo Said wako ana matatizo ya Afya ya akili. Kisa cha kumuua mke na yeye kujiua amepata faida gani?
 
We
Wala hakuwa mume wake. Alikuwa boyfriend tu
Sikiliza vizuri mama mzazi wa saidi anasema walifunga ndoa 30 dec.2021 na ndoa yao ina miezi mitano tu na sherehe walisherehekea nyumbani kwao kwa kina saidi ila hawakuwa na mtoto.
 
Wanaume bana yaani akajihamishia ukoo hapo na bado hakupendwa!
 
Yule mwamba kakosea, angempa talaka tu, yule sal.. uzuri na kupenda starehe.
Angempa taraka bado mke angekuwa na haki kwenye kugawana mali,na pia angempa taraka bado angekuwa anaumia rohoni kila amuonapo ama asikiapo story za mkewe mtaraka
 
Huyo Said wako ana matatizo ya Afya ya akili. Kisa cha kumuua mke na yeye kujiua amepata faida gani?
akili wameharibu warangi ndo maana akamua kulipua system ya kurushia makombora naye kujilipua, hakuna alichopoteza, huyo malaya hayupo tena na SIDE hayupo, hivo SIDE katuokoa sisi wananaume wengine ambao tungeangushiwa kitu kizito, uliona wapi ndoa ya miezi mitano tayari familia nzima imeamia kwa shemeji, wameshajifundisha gari na kuendesha wanajua, alafu mwenye hela zake analalia jamvi huko kisiwani na ajisaidia porini kama Ngedere alafu machawa wanakula na kulala na bado hawamheshimu.
Angesema ampe talaka angeumia zaidi na huyo mwanamke angeendelea kuleta shida kwa wanaume wengine. Dawa ya chawa ni kunyoa kipara cha wembe, shwain
 
Kuna jamii sio za kuoa kabisa na ukioa kakae nae mbali huko.Unaoa Lindi halafu unaenda kuishi Kalema huko Mkoa wa Katavi.Kwa hiyo msibani hata ubwabwa hawajampa ale kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…