DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Good idesNatamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishes
Unaona hiyo ni aina nzuri ya recruitment?Natamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishes
Nimekupigia Ila nikuambie tu ukweli wewe kwa Asili yako itakuchukua muda mrefu Sana kupata kibarua /Kazi labda uotee serikalini.
Ushauri
Jaribu na tone ambayo MTU akikisikiliza Kwa Mara ya kwanza ajue kuwa anaongea na muhitaji wa Kazi na MTU smart .
Unaulizwa aina gani Kazi unaweza kufanya haujui jibu unajibu ilomradi , kulikuwa kuna nafasi inamuhitaji cashier na Afisa mikopo.
Then unaulizwa kiasi cha mshahara bado hautoi majibu sahihi .
So there's something wrong in ur mind
Unashindwa kuelewa kuwa Jamiiforum kuna watu wanamiliki Kampuni zaidi ya moja
Kuna ma hr n.k
So usipobadilika na kujifunza communication skills utakwama Sana.
Tunaweza ongea boss. Nahitaji nafasi hizo.Nimekupigia Ila nikuambie tu ukweli wewe kwa Asili yako itakuchukua muda mrefu Sana kupata kibarua /Kazi labda uotee serikalini.
Ushauri
Jaribu na tone ambayo MTU akikisikiliza Kwa Mara ya kwanza ajue kuwa anaongea na muhitaji wa Kazi na MTU smart .
Unaulizwa aina gani Kazi unaweza kufanya haujui jibu unajibu ilomradi , kulikuwa kuna nafasi inamuhitaji cashier na Afisa mikopo.
Then unaulizwa kiasi cha mshahara bado hautoi majibu sahihi .
So there's something wrong in ur mind
Unashindwa kuelewa kuwa Jamiiforum kuna watu wanamiliki Kampuni zaidi ya moja
Kuna ma hr n.k
So usipobadilika na kujifunza communication skills utakwama Sana.
Au Australia,Faroe Island,IcelandGood lucky na fikiria safari uingie Canada au US kutafuta maisha
Kazi yoyote ?Hello watanzania naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Shusha nondo mkuuNatamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishes
Hapa alichomaanisha ni kuwa Kama unatafuta kazi umetoka chuoShusha nondo mkuu
Utapata kila la kheri usiwe moyoHello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Pole, utafanikiwa.Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Kama utaweza, japo si kwa lazima, naomba urekebishe kichwa cha habari, kisomeke " NATAFUTA KAZI" badala ya "NAFUTA KAZI"Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Kwa dsm tu??Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
NAFUTA KAZI.!Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Vinahusiana nn 😂NAFUTA KAZI.!
Kuwa makini maana kàma makosa kama haya huyaoni huko kazini utaborongà sàna.