Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
Natamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishes
Good ides
 
Natamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishes
Unaona hiyo ni aina nzuri ya recruitment?
 
Nimekupigia Ila nikuambie tu ukweli wewe kwa Asili yako itakuchukua muda mrefu Sana kupata kibarua /Kazi labda uotee serikalini.

Ushauri

Jaribu na tone ambayo MTU akikisikiliza Kwa Mara ya kwanza ajue kuwa anaongea na muhitaji wa Kazi na MTU smart .

Unaulizwa aina gani Kazi unaweza kufanya haujui jibu unajibu ilomradi , kulikuwa kuna nafasi inamuhitaji cashier na Afisa mikopo.

Then unaulizwa kiasi cha mshahara bado hautoi majibu sahihi .


So there's something wrong in ur mind

Unashindwa kuelewa kuwa Jamiiforum kuna watu wanamiliki Kampuni zaidi ya moja

Kuna ma hr n.k

So usipobadilika na kujifunza communication skills utakwama Sana.

Nimekupigia Ila nikuambie tu ukweli wewe kwa Asili yako itakuchukua muda mrefu Sana kupata kibarua /Kazi labda uotee serikalini.

Ushauri

Jaribu na tone ambayo MTU akikisikiliza Kwa Mara ya kwanza ajue kuwa anaongea na muhitaji wa Kazi na MTU smart .

Unaulizwa aina gani Kazi unaweza kufanya haujui jibu unajibu ilomradi , kulikuwa kuna nafasi inamuhitaji cashier na Afisa mikopo.

Then unaulizwa kiasi cha mshahara bado hautoi majibu sahihi .


So there's something wrong in ur mind

Unashindwa kuelewa kuwa Jamiiforum kuna watu wanamiliki Kampuni zaidi ya moja

Kuna ma hr n.k

So usipobadilika na kujifunza communication skills utakwama Sana.
Tunaweza ongea boss. Nahitaji nafasi hizo.
 
Natamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishes
Shusha nondo mkuu
 
Unafuta kazi?

Mdogo wangu futa hiyo namba utapata usumbufu bure.

Kama unatafuta kazi na elimu yako ni ya uhakika mtaji wako wa kwanza ni imani

Itumie imani yako kufanya maombi mwili wako na nafsi yako vitakate watu wakupende jina lako linga're popote utakapokwenda kuomba kazi wakupe.

Anza na kanisani kwenu piga maombi mambo yaende

Ikishindikana rudi kijijini kwenu kamtafute babu yako
 
Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Kama utaweza, japo si kwa lazima, naomba urekebishe kichwa cha habari, kisomeke " NATAFUTA KAZI" badala ya "NAFUTA KAZI"
 
Back
Top Bottom