Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
mdogo wangu
Njia nzuri ya kuomba kazi ni kuweka CV yako pia,
Elezea skills zako,
Na uzoefu wako.

Kule ulikofanya field ndio uzoefu wenyewe
Elezea ulifanya kipi na kipi.
Na sasa una skills zipi na zipi.

All the best.
Kuwa ke hujui tayAri ni skills. Yaani mwanamke ana advantage ya kutumia mwanaume for her own benefits kimaisha while men are paid sex only which lasts for few minutes.
Anajua yeye ana kidonda so nzi lazima watatua na hapo alipo ameshapata sms ama calls ambazo hazipungui alfu kumi ama hata laki moja.
Kuna mmoja aliniambia 50k as he hbd gift nikamwambia mbona hii biashara ni nzuri Mana akiomba watu buku ni 50M hajapata mtaji akatoka.
Mwanamke yeyote Yule anazo namba nyingi mno za wanaume kuliko wanawake Mana hao ndio akiamua kutuma sms Moja tu kwa wote at once ama anawaunga kwa group Moja la normal sms ' dia mambo, naomba basi 6k Nina njaa tokea jana sijala' akituma kwa watu buku lazima watatuma 400 hajapata 2.4M. na ndio mana mwanamke yeyote Yule anataka awe karibu na mwanaume mwenye uwezo.
Yaani kuwa mwanamke ni mtaji hapa duniani labda asijue kutumia skills alizopewa na muumbaji
 
Naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es Salaam Naombeni msaada wenu 0713776534
Hii namba yako watakusumbua wenye maradhi kwenye mioyo yao binti, Mungu akusimamie inshaallah
 
Back
Top Bottom