Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
Hello watanzania naitwa Jenipha. Nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es Salaam, natafuta kazi jamani maisha ni Magumu😭😭😭😭

Naombeni msaada, 0713776534.
Degree holder usiwe desperate kiasi hiki ni hatari
 
Naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
 
Hello naitwa jenipha natafuta kazi ya uhasibu Nimemaliza degree ya accounting chuoo kikuu cha Dar es salaam naombeni msaada wenu Jaman nipo mtaani nateseka 071377

Hello naitwa jenipha natafuta kazi ya uhasibu Nimemaliza degree ya accounting chuoo kikuu cha Dar es salaam naombeni msaada wenu Jaman nipo mtaani nateseka 0713776534
Hili tangazo lipo kilasiku
 
Samahani dada Jennifer naomba kuuliza.

Mimi nafanya kazi, mshahara wangu ni laki moja (100k) kwa mwezi.

Hebu nipangie mahesabu nitumieje tumieje ili nisiwe na madeni dukani?

Nakaa bunju kazini kkoo. Niko peke yangu.
 
Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es Salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
 
Inawezekana make tangazo huwa limekaa kimtego....

Hadi linanikumbusha zile sms za whatsapp "hello sorry nimekuja inbox tuwe marafiki for status view nikusave nani" bla bla bla na emoji kibao, zinakera
Nikilionaga hilo tangazo napiga block fasta
 
Hii January hii ukicheza unaliwa kimasihara
Mungu atufanyie wepesi wote wenye changamoto ya hela
 
Naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es Salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Kwasababu ni jenipha tutakupa kazi ila kama ni wakiume atumie hiyo degree yake kuhesabu hela zake
 
Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es Salaam natafuta kazi😭naombeni msaada wenuu ndugu watanzania 0713776534
 
Back
Top Bottom