Msidharau BIMA za watoto wapendwa, ni muhimu sana kwa watoto zetu

Sio kweli kuwa kila ugonjwa hutibiwa bure kwa BIMA yako.
Mimi mwanangu anaumwa pumu kila ikimpanda nikienda hospital kuna baadhi ya huduma naambiwa hazipo kwenye BIMA hivyo inanilazimu kutoa pesa mfukoni.
Duh, pole mm wangu analo tatzo kama hilo alilazwa BOCHI siku 2, hakuna hata kimoja nilicholipia au inategemea na bima
 
Na gharama za mtu mzima ni kiasi gani mkuu?yaani kwa mtu mwenye shughuli zake na sio mwajiriwa(kukatwa kwny mshahara).
Vipo vya aina 3

1.192,000
2.384,000
3.587,000

Hizo ndio gharama za bima za MTU mzima mkuu NHIF
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Duh, pole mm wangu analo tatzo kama hilo alilazwa BOCHI siku 2, hakuna hata kimoja nilicholipia au inategemea na bima
bima za watoto hulipiii hata senti huwa zina cover kila kitu.
 
Asante sana mkuu, zamani nilikua Jubilee Insurance kabla sijatoka kwny ajira kwenda kupambana mtaani.

Nitaenda kuwaona NHIF.
Jubileee unatibiwa baadhi ya hospital tu sio hospital zote wanapokea wanachama wa jubilee.

Kama mtu uko serious na afya yako na hutaki mbwembwe nyingi,NHIF yako inakutosha kabisa kabisa.
 
Jubileee unatibiwa baadhi ya hospital tu sio hospital zote wanapokea wanachama wa jubilee.

Kama mtu uko serious na afya yako na hutaki mbwembwe nyingi,NHIF yako inakutosha kabisa kabisa.
Ntazingatia ushauri wako,thnxs mkuu.
 
Mkuu asante kesho nafuatilia cheti cha kuzaliwa nimkatie dogo Bima
 
Sikuiz bima 194,000 per person ,achana na hbr za 54,000/-... Nina mapacha under 1 year..
 
Hili naloo neno,Kama kipimo tu Cha kuangalia gono au kashwende wametoa iwejeee wawezee kuweka operation
Wanakwepa majukumu yao mengi tu ila wana matumizi makubwa sana ya fedha kwenye kujilipa na kununua mashangingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…