Ukitaka kuchomoka, watakuita kichaa!!Inajulikana hivyo na itaendelea kuwa hivyo na hakuna wa kubadirisha mfumo huo.
Tayari tulishalishwa dawa za kizungu, kiharabu nk, so kuchomoka ni nadra that's why unaona tupo hivi, Afrika tina utajiri wa namna zote kuliko hao waliotutawala but tupo chini yao as makoloni japo wanatutawala kisasa kupitia mikopo, dini na misaada.
As he said, ukitaka kupanda as Gaddaf au Jiwe huchukui round, wanatumia hao hao ndg zako for wrongdoing then unarejesha funguo kwa maulana.
Na huo ndio ukweli wenyewe !!!
Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni muhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically Sub-saharan iwe
Marakani, Ulaya au china hayo ndio malengo makuu.
Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.
Amesema Africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu kama hicho bila mapambano makali.
Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi Waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni matokeo ya uzembe wao.
Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.
Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.
Kwani hatujui? Tunajua Sana ila tunakabiliwa na vikwazo vya kubadili Hali.Huyu siyo adui. Anatusaidia kuelewa. Ni juu yetu kuchukua hatua!
Au DIKTETA !! NA SISI WOTE TUTAITIKIA KWELI DIKTETA, DIKTETA DIKTETA !! MIFANO IPO MINGI TU KILA ALIYEJARIBU KUJITOA KWENYE HUO MNYORORO ALIISHIA NJIANI !! WAO WANAWAPENDA WANAOSEMA YES SIR !!!Ukitaka kuchoma, watakuita kichaa!!
Hatukumbani na vikwazo, ni kuwa sis ni wavivu na waoga wa kufanya maamuzi magumu. Tunapenda ya dezo tu: misaada na mikopo. Utasikia eti kingozi anjidai kuwa na akili timamu akisema kuwa tusifanye uamuzi fulani wa muhimu kwa vile eti tutanyimwa misaada na mikopo.Kwani hatujui? Tunajua Sana ila tunakabiliwa na vikwazo vya kubadili Hali.
Ndio wanavyofanya.Ukitaka kuchomoka, watakuita kichaa!!
Huo fisadi uliuprove?Umenena vyema mkuu
Mabotu alijenga mahekalu kwake, akatumia fedha anavyotaka. Tuachane na mambo ya Congo, tuje hapa hapa Bongo.
Ufisadi wote wa kutisha mpaka watu wanamfukuza kazi CAG, mzungu amesababisha vipi? Mzungu ndiye alienyoosha risasi kumtwanga Lissu? Mzungu ndie anayekufanya ununue ndege pasipo ridhaa za Bunge? Mzungu anahusika vipi na watu wasiojulikana?
Watu wapumbavu ndio ambao wanapenda kutupa mzigo wa lawama kwa wengine.
Huu ni ukweli mchungu..Hatukumbani na vikwazo, ni kuwa sis ni wavivu na waoga wa kufanya maamuzi magumu. Tunapenda ya dezo tu: misaada na mikopo. Utasikia eti kingozi anjidai kuwa na akili timamu akisema kuwa tusifanye uamuzi fulani wa muhimu kwa vile eti tutanyimwa misaada na mikopo.
Umepotelea wapi uliyesema historia ilianza mwaka 3100bc?We mjinga nimekujibu tayari na mpaka pages ulizotaka na nakukumbusha tena umeamua kuingia Katika historical field ni too deep jitahidi kujisomea.....So far hujanijibu chochote katika niliyokuuliza sasa nikikutaka ujibu na unipe ref utajiweza kweli? Ama utawalalamikia wazingu pia.
Sasa Nakupa homework
👇👇👇
Historians mark the "historicity" of a culture by the presence of coherent texts in the culture's writing system(s).
Ref; Shotwell, James Thomson. An Introduction to the History of History. Records of civilization, sources and studies. New York: Columbia University Press, 1922.
NB; Ujinga Sio tusi Ni Hali.
Hakuna kitu mzungu, muhindi au mwarabu anachukia kama sisi waafrika weusi kuwazidi kwa chochote!
Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni muhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically Sub-saharan iwe
Marakani, Ulaya au china hayo ndio malengo makuu.
Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.
Amesema Africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu kama hicho bila mapambano makali.
Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi Waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni matokeo ya uzembe wao.
Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.
Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.
Sijui kwanini race zingine wanamhofia mwafrica.Hakuna kitu mzungu, muhindi au mwarabu anachukia kama sisi waafrika weusi kuwazidi kwa chochote!
Niliwahi kununua kiatu cha mtumba maimoria pale moshi! Nikakivaa siku nimeenda huko uzunguni! Niliulizwa swali eti nimefanyajefanyaje mpaka nimeweza kumudu kununua kiatu hicho! Kuchinguza kinauzwa kwao €500 alafu mimi nilikiopoa kwa elfu ishirini na moja! Ikabidi niwajibu kuwa ni aina ya viatu navyopendelea tokea nikiwa mdogo baba yangu alinizoesha kuvaa brand hiyo ! Nikaongezea kuwa nilijaribu kuvaa viatu vingine nikateguka hivyo navaaga hiyo brand tu!
Too late ni hatua gani tutaka,o chukua mkuuHuyu siyo adui. Anatusaidia kuelewa. Ni juu yetu kuchukua hatua!
Finaly somebody amesema ukweli ambao wabongo wengi hawataki kuusikia.Shida ya Africa ni African leaders wazungu tuna wa tumia kama scapegoat tu, to hide our weakness
Hicho kiatu kilitengenezwa kiwanda cha mitaa gani hapo memorial.maana usikute ulikutana na wazungu wajinga mkaanza kujadili ujinga.Hakuna kitu mzungu, muhindi au mwarabu anachukia kama sisi waafrika weusi kuwazidi kwa chochote!
Niliwahi kununua kiatu cha mtumba maimoria pale moshi! Nikakivaa siku nimeenda huko uzunguni! Niliulizwa swali eti nimefanyajefanyaje mpaka nimeweza kumudu kununua kiatu hicho! Kuchinguza kinauzwa kwao €500 alafu mimi nilikiopoa kwa elfu ishirini na moja! Ikabidi niwajibu kuwa ni aina ya viatu navyopendelea tokea nikiwa mdogo baba yangu alinizoesha kuvaa brand hiyo ! Nikaongezea kuwa nilijaribu kuvaa viatu vingine nikateguka hivyo navaaga hiyo brand tu!
Watembee kifua mbele bila huo utajiri kuakisi maisha ya hao wanaotembea vifua mbele.ili iweje sasa?Kuna mzee mmoja alisikika akisema hii nchi ni tajiri watanzania tembeeni kifua mbele na kisha kufa papo hapo.
Mnaingia mikataba ya kijinga wenyewe alafu mnataka kukurupuka kuivunja.Kabla hujakurupuka kumsema lissu jiulize kilichotokea ni nini?Wakati mwenda zake alikuwa anapambana kuichomoa Tanzania [emoji1241] kutoka kwenye mikataba ya kinyonyaji wa madini,Lissu aliwatetea na kusema tutanyolewa bila maji. Africa imejaa vibaraka wengi wa wazingu.
Ukiaminishwa ujinga nawewe ukauamini hapo mwenye matatizo ni wewe uliyekubali kuaminishwa ujinga na ukauamini.Tungekua werevu kiasi chakutosha huo ujinga kamwe usingekuwepo.Wazungu ndio wamekufanya uamini kwamba wewe ni maskini wa akili tangu hawajakutawala, lakini kiukweli ni kwamba akili unayo, lakini wamecheza na sayansi kuweza kukufanya uamini kuwa huwezi kufanya kitu.
Ukiweza amka mkuu, maana hii ni vita.