Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

Inajulikana hivyo na itaendelea kuwa hivyo na hakuna wa kubadirisha mfumo huo.

Tayari tulishalishwa dawa za kizungu, kiharabu nk, so kuchomoka ni nadra that's why unaona tupo hivi, Afrika tina utajiri wa namna zote kuliko hao waliotutawala but tupo chini yao as makoloni japo wanatutawala kisasa kupitia mikopo, dini na misaada.

As he said, ukitaka kupanda as Gaddaf au Jiwe huchukui round, wanatumia hao hao ndg zako for wrongdoing then unarejesha funguo kwa maulana.
Ukitaka kuchomoka, watakuita kichaa!!
 


Huyo ni lecture;

Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.

Sub saharan countries ni muhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.

Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically Sub-saharan iwe

Marakani, Ulaya au china hayo ndio malengo makuu.

Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.

Amesema Africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu kama hicho bila mapambano makali.

Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi Waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni matokeo ya uzembe wao.

Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.

Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.

Na huo ndio ukweli wenyewe !!!
 
Ukitaka kuchoma, watakuita kichaa!!
Au DIKTETA !! NA SISI WOTE TUTAITIKIA KWELI DIKTETA, DIKTETA DIKTETA !! MIFANO IPO MINGI TU KILA ALIYEJARIBU KUJITOA KWENYE HUO MNYORORO ALIISHIA NJIANI !! WAO WANAWAPENDA WANAOSEMA YES SIR !!!
 
Hilo linajulikana mkuu.No means ,viongozi wenyewe ndo hawa ,chamsingi we angalia namna ya kurefusha kamba yako,ikiwezekana kata kamba kabisaaaa,Ila tu wasikushtukie.
 
Kwani hatujui? Tunajua Sana ila tunakabiliwa na vikwazo vya kubadili Hali.
Hatukumbani na vikwazo, ni kuwa sis ni wavivu na waoga wa kufanya maamuzi magumu. Tunapenda ya dezo tu: misaada na mikopo. Utasikia eti kingozi anjidai kuwa na akili timamu akisema kuwa tusifanye uamuzi fulani wa muhimu kwa vile eti tutanyimwa misaada na mikopo.
 
Umenena vyema mkuu

Mabotu alijenga mahekalu kwake, akatumia fedha anavyotaka. Tuachane na mambo ya Congo, tuje hapa hapa Bongo.

Ufisadi wote wa kutisha mpaka watu wanamfukuza kazi CAG, mzungu amesababisha vipi? Mzungu ndiye alienyoosha risasi kumtwanga Lissu? Mzungu ndie anayekufanya ununue ndege pasipo ridhaa za Bunge? Mzungu anahusika vipi na watu wasiojulikana?

Watu wapumbavu ndio ambao wanapenda kutupa mzigo wa lawama kwa wengine.
Huo fisadi uliuprove?
Hao maagent wa CIA wanavyokili kabla ya kifo kuhusika na mauaji ya watu huwa huwaoni?
 
Hatukumbani na vikwazo, ni kuwa sis ni wavivu na waoga wa kufanya maamuzi magumu. Tunapenda ya dezo tu: misaada na mikopo. Utasikia eti kingozi anjidai kuwa na akili timamu akisema kuwa tusifanye uamuzi fulani wa muhimu kwa vile eti tutanyimwa misaada na mikopo.
Huu ni ukweli mchungu..
 
We mjinga nimekujibu tayari na mpaka pages ulizotaka na nakukumbusha tena umeamua kuingia Katika historical field ni too deep jitahidi kujisomea.....So far hujanijibu chochote katika niliyokuuliza sasa nikikutaka ujibu na unipe ref utajiweza kweli? Ama utawalalamikia wazingu pia.

Sasa Nakupa homework
👇👇👇
Historians mark the "historicity" of a culture by the presence of coherent texts in the culture's writing system(s).

Ref; Shotwell, James Thomson. An Introduction to the History of History. Records of civilization, sources and studies. New York: Columbia University Press, 1922.

NB; Ujinga Sio tusi Ni Hali.
Umepotelea wapi uliyesema historia ilianza mwaka 3100bc?
Njoo uprove sio kuita watu wajinga.
 


Huyo ni lecture;

Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.

Sub saharan countries ni muhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.

Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically Sub-saharan iwe

Marakani, Ulaya au china hayo ndio malengo makuu.

Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.

Amesema Africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu kama hicho bila mapambano makali.

Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi Waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni matokeo ya uzembe wao.

Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.

Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.

Hakuna kitu mzungu, muhindi au mwarabu anachukia kama sisi waafrika weusi kuwazidi kwa chochote!
Niliwahi kununua kiatu cha mtumba maimoria pale moshi! Nikakivaa siku nimeenda huko uzunguni! Niliulizwa swali eti nimefanyajefanyaje mpaka nimeweza kumudu kununua kiatu hicho! Kuchinguza kinauzwa kwao €500 alafu mimi nilikiopoa kwa elfu ishirini na moja! Ikabidi niwajibu kuwa ni aina ya viatu navyopendelea tokea nikiwa mdogo baba yangu alinizoesha kuvaa brand hiyo ! Nikaongezea kuwa nilijaribu kuvaa viatu vingine nikateguka hivyo navaaga hiyo brand tu!
 
Hakuna kitu mzungu, muhindi au mwarabu anachukia kama sisi waafrika weusi kuwazidi kwa chochote!
Niliwahi kununua kiatu cha mtumba maimoria pale moshi! Nikakivaa siku nimeenda huko uzunguni! Niliulizwa swali eti nimefanyajefanyaje mpaka nimeweza kumudu kununua kiatu hicho! Kuchinguza kinauzwa kwao €500 alafu mimi nilikiopoa kwa elfu ishirini na moja! Ikabidi niwajibu kuwa ni aina ya viatu navyopendelea tokea nikiwa mdogo baba yangu alinizoesha kuvaa brand hiyo ! Nikaongezea kuwa nilijaribu kuvaa viatu vingine nikateguka hivyo navaaga hiyo brand tu!
Sijui kwanini race zingine wanamhofia mwafrica.
 
Hakuna kitu mzungu, muhindi au mwarabu anachukia kama sisi waafrika weusi kuwazidi kwa chochote!
Niliwahi kununua kiatu cha mtumba maimoria pale moshi! Nikakivaa siku nimeenda huko uzunguni! Niliulizwa swali eti nimefanyajefanyaje mpaka nimeweza kumudu kununua kiatu hicho! Kuchinguza kinauzwa kwao €500 alafu mimi nilikiopoa kwa elfu ishirini na moja! Ikabidi niwajibu kuwa ni aina ya viatu navyopendelea tokea nikiwa mdogo baba yangu alinizoesha kuvaa brand hiyo ! Nikaongezea kuwa nilijaribu kuvaa viatu vingine nikateguka hivyo navaaga hiyo brand tu!
Hicho kiatu kilitengenezwa kiwanda cha mitaa gani hapo memorial.maana usikute ulikutana na wazungu wajinga mkaanza kujadili ujinga.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la afrika ni mwafrika mwenyewe.mengine ni story tu.ingekua miafrika ni binadamu wanaojitambua hakuna ujinga au propaganda yoyote ingefanya kazi afrika.ila kwavile sisi ni watu duni tusiojielewa ndo maana huu ujinga wote umefanyika kwetu na bado tupo tupo tu.Na bado pamoja nakujua matatizo yetu bado hatutaweza kuyapatia ufumbuzi kwasababu sisi ni wajinga.Hadi tusubiri tena mizungu ije itutatulie.alafu ikitunyonya tunalalamika.Dunia ya leo kama hina matumizi mazuri ya akili zako utageuka kua nguvu kazi kwa wajanja.Tatizo la mwafrika ni miafrika yenyewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwenda zake alikuwa anapambana kuichomoa Tanzania [emoji1241] kutoka kwenye mikataba ya kinyonyaji wa madini,Lissu aliwatetea na kusema tutanyolewa bila maji. Africa imejaa vibaraka wengi wa wazingu.
Mnaingia mikataba ya kijinga wenyewe alafu mnataka kukurupuka kuivunja.Kabla hujakurupuka kumsema lissu jiulize kilichotokea ni nini?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mimi ndio maana wachina na waelewa sana style yao ya kuendesha nchi yao na ndio maana kila siku wana chanja Mbuga. Hii demokrasia tulio ichagua mzungu kama akiona kiongozi aliyepo madarakani anazuia maslahi yake lazima awavuruge na kumweka mtu atakaye tetea maslahi.
 
Wazungu ndio wamekufanya uamini kwamba wewe ni maskini wa akili tangu hawajakutawala, lakini kiukweli ni kwamba akili unayo, lakini wamecheza na sayansi kuweza kukufanya uamini kuwa huwezi kufanya kitu.
Ukiweza amka mkuu, maana hii ni vita.
Ukiaminishwa ujinga nawewe ukauamini hapo mwenye matatizo ni wewe uliyekubali kuaminishwa ujinga na ukauamini.Tungekua werevu kiasi chakutosha huo ujinga kamwe usingekuwepo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom