Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Mkuu ujue pia, kilichoandikwa kwenye QURAN TUKUFU(MSAHAFU MTAKATIFU)hakiwezi kupadilika na itatokea kama kilvyo bainishwa na ALLAH. kwa vile Quds(Jerusalem) ni mji wa kiislam na AL-AQSA ni pahala takatifu na msikiti mtakatifu wa waislam!
Kwahiyo baada ya kuja Mo ndio u kageuka kuwa wa kiislamu??? Mo atoke zake jangwani saudia akajimilikishe Miji ya watu[emoji23][emoji23][emoji23] daaa!! Elimu Elimu
 
Mi sijauliza kama naweza kukijua au nitakijuaje....Mimi nimeuliza simple Tu
Wewe unajua Nini?
Kuna kafiri mmoja enzi za mtume Muhammad (s.a.w) jina ABILAHAB, alkuwa haabilki wala haamini na afariki na uhahili, waarabu wakampa jina la ABUJAHIL(baba wa majahili) nadhani kisa hiki kitakusaidia kwa namna fulani mkuu
 
Kuna kafiri mmoja enzi za mtume Muhammad (s.a.w) jina ABILAHAB, alkuwa haabilki wala haamini na afariki na uhahili, waarabu wakampa jina la ABUJAHIL(baba wa majahili) nadhani kisa hiki kitakusaidia kwa namna fulani mkuu

Hiki ndo unachoringia kukijua?
Haya
haabiliki maana yake Nini?
Uhahili maana yake Nini?
 
Al Aqsa imejengwa baada ya mskoti original wa Suleiman kuvunjwa na Warumi mwaka 70 AD. Warumi walifanywa nini?
 
Mndengereko mwenzangu tulia tafuta ugali wa wanao wale washibe usubiri siku ya kufa upumzike unajitunisha hapa wakati hata wakibomoa leo passport ya kusogea hapo Somalia huna huoni unapoteza muda wako?
 
Pia usisahau kama na Uislam ulianzishwa na hao wa Roma ili kuyateka maeneo yote hayo na hata kuubomoa huo msikiti ni baraka kutoka kwao ili kusimamamisha kile wakitakacho. Kinacho tengenezwa saivi ni dunia yote iwe na dini moja.
 
Mndengereko mwenzangu tulia tafuta ugali wa wanao wale washibe usubiri siku ya kufa upumzike unajitunisha hapa wakati hata wakibomoa leo passport ya kusogea hapo Somalia huna huoni unapoteza muda wako?
Mdegereko mwenzangu vipi tena umelewa na tokomile? Mwanakwetu tupo Israel, huko unakotupeleka Somalia kunani tena?
 
Wayahudi wao ni wafuasi wa Torati ya Mussa sio wafuasi wa Mfalme Suleyman na enzi za Suleyman zimepitwa na wakati ikiwa wakidai hapo lilikuepo hekalu la mfalme Suleyman.
Wayahudi Ni wafuasi wa Mungu wao...waislam Ni wafuasi wa Muhammad...Hence the difference
 
Mkuu tafautisha Msikiti wa AYODHYA uliovunjwa na makafiri wa kihindu na msikiti mtakatifu wa Al-Aqsa wapili kwa utakatifu kwa waislam. Al-Aqsa ukivunjwa wallahi Israel itachimbika!
Hahaha kumbe misikiti inatofautiana ubora?
 
mzee acha kuwachukulia israel kiivo
 
Mkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!
uislam umtawale nan?
 
Huu msikiti ni the second holliest place in islam, litambue hilo kabla hujapost thread yako.
Hilo linawahusu vipi Wayahudu wenye eneo lao ambalo lilivamiwa na kujengwa huo msikiti?
Kwamba Mjerumani aje kudai lile jrngo pale Magogoni au Sultani aje adai mji mkongwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…