pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Waisrael humtambua Suleiman kama Baba yao amini hilo, naona waislam mnataka kujimilikisha hyu nabii kumfanya wenu wakati wanae wapo 🤣Wayahudi wao ni wafuasi wa Torati ya Mussa sio wafuasi wa Mfalme Suleyman na enzi za Suleyman zimepitwa na wakati ikiwa wakidai hapo lilikuepo hekalu la mfalme Suleyman.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]so funnyMkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!
[emoji2960][emoji2960][emoji28][emoji28][emoji28]Waisrael humtambua Suleiman kama Baba yao amini hilo, naona waislam mnataka kujimilikisha hyu nabii kumfanya wenu wakati wanae wapo [emoji1787]
Tuko byzy tunasali skuu kwenye mskiti wa Alaqsa ww endelea kuota ndoto zako[emoji2960][emoji2960][emoji28][emoji28][emoji28]
ni eneo lao takatifu, Babu yao Suleiman mtoto wa Daudi alijenga pale na kiimani yao pale ndipo pa kuabudia. usiwapangie cha kufanya.Israel wakorofi sana, kwanini wasijenge hiyo Temple sehemu nyingine 😠😠😠
Inarudishwa sehemu yake, nyie kwann hamkujenga msikiti sehemu nyingine?Israel wakorofi sana, kwanini wasijenge hiyo Temple sehemu nyingine [emoji34][emoji34][emoji34]
Palestine ni sehemu yao ao Israel ni wavamiziInarudishwa sehemu yake, nyie kwann hamkujenga msikiti sehemu nyingine?
Unamaanisha nini kwamba "wamevamia"Palestine ni sehemu yao ao Israel ni wavamizi
Iko wazi kwamba Taifa la Israel lilishafutika Duniani hao wa sasa ni mapandikizi wa nchi za Magharibi na Ulaya.Unamaanisha nini kwamba "wamevamia"
Wamepandikizwa hapo ili wafaidi kitu gani hapo cha maana?Iko wazi kwamba Taifa la Israel lilishafutika Duniani hao wa sasa ni mapandikizi wa nchi za Magharibi na Ulaya.
Adolf Hitler alishaifuta Israel kwenye ramani ya Dunia
Ili waliue Taifa la PalestineWamepandikizwa hapo ili wafaidi kitu gani hapo cha maana?
Sibora wangepandikizwa uarabuni kwenye mafuta??
Halafu wafaidike nini, kwani taifa la palestina lina nini cha kugombaniwa?? ni ho msikiti tu au wana jingine?Ili waliue Taifa la Palestine
USA na washirika wake Watakua katikati ya waarabu kwahiyo itakua rahisi kuwapiga na kujilinda vitaHalafu wafaidike nini, kwani taifa la palestina lina nini cha kugombaniwa?? ni ho msikiti tu au wana jingine?
Kwanini waende in th first place kwanini wasingeenda Saudia au Oman au Taifa lolote lenye rasilimali za kutosha wakabanane na Palestina??USA na washirika wake Watakua katikati ya waarabu kwahiyo itakua rahisi kuwapiga na kujilinda vita
Dogo naona unatishia nyau tuu, mngekuwa mnaweza mngeshawasafisha hao wayahudi siku nyingi saaana ila tuachie tuu hapoThubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
🤣🤣🥳 boss acha hadithi za kachumbariIko wazi kwamba Taifa la Israel lilishafutika Duniani hao wa sasa ni mapandikizi wa nchi za Magharibi na Ulaya.
Adolf Hitler alishaifuta Israel kwenye ramani ya Dunia
mkitaka myahudi au makamanda wa Biden wasiwaguse au msigongwe makonzi kila siku, Korean fatboy ana siri nendeni mkazungumze naye atawapa dawa, ila mji mtakatifu mkicheza wataugeuza majivu na hakuna kitu mtafanyaNdio! ni mji mtakatifu wa waislam,Tena jina lake halisi la kiislam ni BEITUL-QUDUS! au BEITUL-MUQADAS
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anatishia watu nyauDogo naona unatishia nyau tuu, mngekuwa mnaweza mngeshawasafisha hao wayahudi siku nyingi saaana ila tuachie tuu hapo