Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Duuuu
 
CHADEMA WATAZIDI KUUMIZWA SANA HIVI KWANN WASINGEENDA KUCHUKUA FOMU SIKU YA KWANZA SAA 1 NA NUSU ASUBUHI WAMEJICHELEWESHA WEEEE MPK BASI

HAPO CHA KUFANYA KATIBU WA CHAMA AWASILISHE MIHTASARI YA MCHAKATO MZIMA WA KUMTEUA YEYE NA APEWE FOMU SIKU YA UTEUZI YULE AMBAE HANA UTHIBITISHO ASITEULIWE MBONA TARATIBU ZINAJULIKANA HUYO NAE MGOMBEA ANAENDA KUONGEA MANENO TU NA KUNA TETESI KUNA WATU FOMU ZITANYANG'ANYWA NJIANI WAKIWA WANAENDA KUREJESHWA
 
Mm nafikiri kama kweli kamamtukachukua hiyo form huyo nimwizi anataka kuwekadosari uchaguzi viongozi wachadema mgombea namtoa form waende mahakamani wakaapishwe baada yahapo awape form nyingine alafuakijamtu mungine naform akamatwe
 
Halafu mama anaongea kijeuri sana...na hii si mara ya kwanza nakumbuka alipopokea barua feki ya Meya wa Ubungo.
 
Huyu anataka kuiingiza nchi matatizoni Sasa ili kuepusha wengi kuumia kwa upuuzi wake mnaitia nyumba yake kiberiti itakuwa fundisho kwa wengine Kama hawa.
 
Imeisha hio.
Kumbe tume ya chato haishirikiani na vyama husika inatoa to a fomu kiholela.
 
Huyu anataka kuiingiza nchi matatizoni Sasa ili kuepusha wengi kuumia kwa upuuzi wake mnaitia nyumba yake kiberiti itakuwa fundisho kwa mandezi wengine Kama hawa.
Huyu mama sidhani kama watu watamuacha salama.
 

NEC wao wanasemaje kuhusu hiyo sintofahamu? Ni vyema katibu mkuu akapata ufafanuzi wa NEC.
 

Mosi, Tume kwa sasa katika ngazi ya jimbo au Halmashauri ina Msimamizi wa Uchaguzi (Returning Officer) ambaye ni mkurugenzi wa halmashauri husika na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi (Assistant Returning Officers) tu, hakuna cheo cha Mwanasheria wa uchaguzi aliyepo katika ngazi ya jimbo ama Halmashauri, ni makosa kutaka ushauri wa mwanasheria wa halmashauri kwa masuala yahusuyo uchaguzi wakati wa kipindi cha uchaguzi. Ushauri wa huyo mwanasheria hapo bila ya kujali usahihi wake au upotofu wake, ni batili maana unatolewa na mtu asiye na cheo hicho ki-Tume ya Uchaguzi. Kama ni ufafanuzi, Msimamizi wa Uchaguzi alipaswa kuuliza na kupkea maelekezo kutoka TUME.

Pili, jambo kama hilo lilitokea katika jimbo la Iringa mjini kwa fomu kutolewa kwa mtu kutoka Chadema ambaye hakushinda kura za maoni (udiwani) na baadae akaja mtu aliyeshinda kura za maoni na kutambulishwa na chama. Baada ya Chadema kuwasilisha nyaraka zote za uthibitisho, Msimamizi wa Uchaguzi, aliandika barua kwa yule wa awali akimtaka arudishe fomu hizo ili awakabidhi Chadema, jukumu hilo alilibeba yeye na sio kuwapa CHADEMA.

Kwa weledi zaidi, Msimamizi wa Jimbo la Iringa mjini aliweka utaratibu mzuri awali kabla ya fomu kuanza kutolewa, alivitaka vyama kuwasilisha barua zitazoelekeza kuwa ni ngazi ipi itayokuwa inawatambulisha wagombea wake ndani ya jimbo ili kuepusha lawama na vurugu mechi kama hizo, bahati mbaya Chadema walichelewa kuipeleka kwa Msimamizi wa Uchaguzi, wakawahiwa na huyo aliyechukua fomu.
 
Nataka kujua kama amejiwekea ulinzi wowote kwake,wazazi wake na familia
 
NEC ndio huyo DED(Mwanachama wa CCM) kashatoa ufafanuzi kwamba fomu hawatoi tena.

Hapana boss, mkurugenzi ni 3rd party, kuna tume kabisa ndio yenye maamuzi ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…