Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Chadema hamjielewi, huyo tundu Lissu aliwaambia msindikizeni mgombea kuchukua fomu mbona hamkumsindikiza?Hapo ukisema Chadema wasubiri mpaka arudishe form watakuwa wanajidanganya kamwe hatorudisha na hapo ndio lengo la Msimamizi na Mgembea wa CCM litakuwa limefanikiwa,Yaani msimamizi wa uchaguzi yeye akipelekewa barua tu anakubali pasipo hata kujiridhisha kama aliyekuja ni mtu sahihi au lah.
Hizi issue aambiwe Tundu lissu tu ndio dawa yake atatoa ufafanuzi kitu gani kifanyike.
Wapinzani ni vilaza sana, yani mother kawazidi hoja na akili... Yaani hata kama kuna ujanja chadema hawawezi kuukwepa hapo.
Yaani kama wanataka namba ya simu kwa msimamizi mbona hawakumuomba ya Boni
Mkuu kwa mujibu wa sheria za uchaguzi ni kwamba Autamatically DED anakuwa mfanyakazi wa NEC(Msimamizi wa Uchaguzi) kwahiyo hapo anawakilisha NEC ndio maana anatoa fomu na anatoa maelekezo ya process zote za mgombea kufanya kwa mujibu wa sheria/taratibu/kanununi za NEC.Hapana boss, mkurugenzi ni 3rd party, kuna tume kabisa ndio yenye maamuzi ya mwisho.
Chadema hawakuchukua form jimbo la kibamba ,huyo aliyechukua ni MUHUNI kutoka LUMUMBA.Chadema hamjielewi, huyo tundu Lissu aliwaambia msindikizeni mgombea kuchukua fomu mbona hamkumsindikiza?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mbona figisu za kitoto sana hizo, unachoshindwa kuelewa hao NEC ni ccmIla Chadema watoto kwenye Siasa. Anayejua chuo cha Figisu cha CCM anitajie, jamaa wanajua.
Chadema wanaishia kusema sawa 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Wewe DED kumbuka maneno haya ya Uzima: HAKI huinua Taifa Bali DHAMBI ni Aibu Kwa Watu watu Wote. Mpe mtu HAKI yake. Be nice to People on your Way Up. You Might Meet them Climbing on your Way Down. Miaka 60 Ofisi itakutema.Mkurugenzi anayehusika na uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi kutoa fomu mara mbili. Hivyo amewataka CHADEMA washirikiane na polisi kumsaka muhusika.
Huyu mwanasheria ni hovyo, tena atalaaniwankwa kutoa ushauri wa kipumbavu, ni mdogo wangu lakini kwa hili bora undugu ufe.Binafsi sioni kama kuna ugumu wowote hapo. Ningemshauri na kumsihi msimamizi atoe form nyingine mana kimsingi yeye ndio katapeliwa.
Then kama wagombea wote wawili watarudisha form si Tume itachambua hizo form za maombi na kumtoa mgombea aliyefanya utapeli?
Kukataa kutoa form nyingine Kwa wagombea halali ni dosari isiyo ya lazima mana kama nchi mzima wakifanya uhuni kama huo si itakuwa ni chanzo cha vurugu?
Pia ushauri wa Mwanasheria unapotosha. Anaonyesha kama vile mgombea akirudisha form automatically anakuwa mgombea rasmi. Hiyo ni form ya maombi ya kuteuliwa/kupitishwa na Tume kuwa Mgombea rasmi, na kwenye maombi kuna kukubaliwa au kukataliwa/kuwekewa pingamizi. So hapo hakuna ugumu wowote, Mkurugenzi anatengeneza tension isiyo ya lazima.
Kwann form iwe mojamoja? Kwan zinashushwa toka Mbinguni?
Ulitakiwa uji ulize pia udiwani wa kibamba alishinda vipi hakuna mtu asie mkubali Mgawe siku Fanya utafiti njoo kibamba ulizia sifa zake ndo utamuelewa Mgawe ni mtu peace sana na asilimia kubwa ya wana kibamba wana muelewa sanaHuyo mgombea wa chadema mbona hajui hata kujieleza? Hizo kampeni atafanyaje?
Huyo mama anatisha sana chadema wamuweke kwenye list ya wahujumu Demokrasia TanzaniaHuyu mama hata akitoa barua hawezi kumtangaza mgombea wa chadema kama atashinda anaoneka mbabe na mkorofi sana
Kosa ni la CCM hawajatoa form yeyote Lakini mama kajitoa fahamu zote, wamekaa wametengeneza kisingizio cha kibwege wakizani watanzania ni wajingaFomu imetolewa kabla ya majina ya wagombea wa Chadema kutangazwa na halmashauri kuu.
Fomu hawajakabidhiwa mkononi iweje kosa liwe la makamanda wa Chadema.
Mungu anamuona ushetani wake utafika mwishoHuyu mama sidhani kama watu watamuacha salama.