Msimamo mkali wa Lisu ndio uliomfanya Mbowe atoke gerezani

Hayo ni malidhiano ni kuwa chawa, watu wanatekwa, wanakufa,alafu unaita malidhiano, huo ni usaliti kwa taifa
Kwani hao wanaofanya hivyo mtawafanya nini?.Lissu mwenyewe kaishia kubweka tu pembeni bila kuchukua hatua yoyote ngumu ili apate haki kwa waliomdhuru wawajibishwe.sana sana atapanda ndege akalalamikie kwa wazungu ambao wala hawana masaada wowote.Njia sahihi ilikua hiyo hiyo ya mazungumzo kwasababu chadema haina nguvu yoyote ya dola yakupambana na wadhalimu wenye dola inayopokea kila amri yakuumiza watu.
 
Mkuu kila jambo linamwisho wake, haki ya mtu hajai kipotea ila chelewa tu
 
H
Huo ndio ukweli ulio wazi....kukutana kwa lissu na Samia ubelgiji ndo kulipelekea mbowe kutoka
 
Kweli πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ™πŸ™πŸ™ Asante kwa hii Archive
 
Kuna ambao wanakwambia kaletwa na Mungu wakati ata anayoyaongea hayathibitishwa popote.ni porojo za kawsida tu kwenye siasa.yaani sisi ni taifa la vilaza sana.nikama wadumafu wa fikra.
 
Kuna ambao wanakwambia kaletwa na Mungu wakati ata anayoyaongea hayathibitishwa popote.ni porojo za kawsida tu kwenye siasa.yaani sisi ni taifa la vilaza sana.nikama wadumafu wa fikra.
Anayoyaongea yapi hayajathibitishwa popote?

Nimetaja baadhi hapo mambo ya haki za binadamu, uwazi, usawa, hizi ni universal principles, watu wameweka mpaka Universal Declaration of Human Rights tangu December 10 1948.

Wewe unasema Universal Declaration of Human Rights haijathibitishwa popote?

Unaelewa hata Universal Declaration of Human Rights ni nini?
 
Acha kujizima data kijana, watesi wa Lissu walikuwa wamejipanga vilivyo kuhakikisha anapotea hapa duniani
je unajua flight ya kumpekeleka Nairobi ilipatikanaje? Kwa kibali gani, kwa finance zipi? Au ndiyo kuchongoa mdomo.
Hayo mambo yanahusiana vipi na ulaji rushwa wa sultan Mbowe, kupitia Abdul na Mama yake?
 
Haki HUINUA taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…