Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Afrika tu ambapo haitoi nafasi Kwa viongozi wake watangaze kujihudhuru huku wakimlikwa na vyombo vya habari na kuelezea kila kimewasibu!

Kwa Africa na Tanzania, hiyo ni dhambi kubwa na adhabu yake yaweza kuwa ni kuuwawa Kwa amri ya viongozi wa juu!

Ilikuwa vigumu sana endapo ungeling'ang'ania hiyo nafasi ya Uwazari wa Nishati,

Nadhani ilikupa wakati mgumu saana, ila mwishowe uliamua Kwa hekima nyingi mno

Watanzania tunafahamu, wewe ni miongoni mwa mawaziri mliotumbuliwa pasina kufahamu sababu za kutolewa kwenye nafasi zenu

Ulifanya Kwa juhudi kubwa, kama kiatu, basi wizara hiyo ilikuenea vema! Ulienda Kwa kasi ya ajabu kiutendaji,

Ilikuwa vigumu sana kuelewaka kwetu ikiwa ungelikubali kuendelea kuongoza wizara hiyo Kwa mabadiliko yaliyoletwa na uongozi huu

Nafahamu, ugumu uliojitokeza kwako ni pale ulipoambiwa, utoke ukawaambie wananchi bei mpya ya kuwaingizia umeme majumbani mwao, kutoka 27,000 hadi 310,000,

Uliwaza mbali sana, na hatimaye ukamweleza mkuu wako kuwa, hautaeleweka, ni bora awekwe mwingine, na ndipo watanzania tukapata waziri wa hovyo kuwahi kutokea

Mungu akubariki sana Mh Kalemani

Hekima na busara zako, tunakuombea uendelee kuitumikia nchi yako Kwa juhudi hizo hizo bila kuchoka

Kawaida ya chama chako, huwa hakipendi watu wenye kujitambua kama wewe, na ukiona vema, piga hesabu za kuzidisha ili upate jibu

Mungu akutunze mkuu!
 
Mavi tu wewe huna lolote! Kila nikimsikia au kumsoma umbwa anayedharaulisha ule ufidhuli aliofanyiwa TAL ninashindwa kuvumilia. Narudia tena wewe ni Mavi tu!
Matusi yako haya, hayabadili chochote Kwa kilichotokea! Kitabaki vile vile na hata ikitokea vinginevyo, bado itabaki vilevile!

Tukana uwezavyo, Ila bado kile kilichotokea hutakibadirisha na hakiwezi kubadirika,

Wenzako wenye akili timamu, husahau yaliyopita na kupiga mwendo kuendelea mbele,

Pumbavuu!
 
Afrika tu ambapo haitoi nafasi Kwa viongozi wake kusema hadharani kuachia ngazi, (kujihudhuru nafasi zao)

Ilikuwa vigumu sana endapo ungeling'ang'ania hiyo nafasi ya Uwazari wa Nishati,

Nadhani ilikupa wakati mgumu saana, ila mwishowe uliamua Kwa hekima nyingi mno

Watanzania tunafahamu, wewe ni miongoni mwa mawaziri mliotumbuliwa pasina kufahamu sababu za kutolewa kwenye nafasi zenu

Ulifanya Kwa juhudi kubwa, kama kiatu, basi wizara hiyo ilikuenea vema! Ulienda Kwa kasi ya ajabu kiutendaji,

Ilikuwa vigumu sana kuelewaka kwetu ikiwa ungelikubali kuendelea kuongoza wizara hiyo Kwa mabadiriko yaliyoletwa na uongozi huu

Nafahamu, ugum.u uliojitokeza kwako ni pale ulipoambiwa, utoke ukawaambie wananchi being mpya ya kuwaingizia umeme majumbani mwao, kutoka 27,000 had I 310,000,

Uliwaza mbali sana, na hatimaye ukamweleza mkuu wako kuwa, hautaeleweka, ni bora awekwe mwingine, na ndipo watanzania tukapata waziri wa hovyo kuwahi kutokea

Mungu akubariki sana Mh Kalemani

Hekima na busara zako, tunakuombea uendelee kuitumikia nchi yako Kwa juhudi hizo hizo bila kuchoka

Kawaida ya chama chako, huwa hakipendi watu wenye kujitambua kama wewe, na ukiona vema, piga hesabu za kuzidisha ili upate jibu

Mungu akutunze mkuu!
Hahahaha eti waziri wa ovyo kuwahi kutokea!! So JM ni waziri wa ovyo sana eeh??
 
Afrika tu ambapo haitoi nafasi Kwa viongozi wake kusema hadharani kuachia ngazi, (kujihudhuru nafasi zao)

Ilikuwa vigumu sana endapo ungeling'ang'ania hiyo nafasi ya Uwazari wa Nishati,

Nadhani ilikupa wakati mgumu saana, ila mwishowe uliamua Kwa hekima nyingi mno

Watanzania tunafahamu, wewe ni miongoni mwa mawaziri mliotumbuliwa pasina kufahamu sababu za kutolewa kwenye nafasi zenu

Ulifanya Kwa juhudi kubwa, kama kiatu, basi wizara hiyo ilikuenea vema! Ulienda Kwa kasi ya ajabu kiutendaji,

Ilikuwa vigumu sana kuelewaka kwetu ikiwa ungelikubali kuendelea kuongoza wizara hiyo Kwa mabadiriko yaliyoletwa na uongozi huu

Nafahamu, ugum.u uliojitokeza kwako ni pale ulipoambiwa, utoke ukawaambie wananchi being mpya ya kuwaingizia umeme majumbani mwao, kutoka 27,000 had I 310,000,

Uliwaza mbali sana, na hatimaye ukamweleza mkuu wako kuwa, hautaeleweka, ni bora awekwe mwingine, na ndipo watanzania tukapata waziri wa hovyo kuwahi kutokea

Mungu akubariki sana Mh Kalemani

Hekima na busara zako, tunakuombea uendelee kuitumikia nchi yako Kwa juhudi hizo hizo bila kuchoka

Kawaida ya chama chako, huwa hakipendi watu wenye kujitambua kama wewe, na ukiona vema, piga hesabu za kuzidisha ili upate jibu

Mungu akutunze mkuu!
Tangu Tanzania ipate uhuru wamepita mawaziri weeengi sana wa NISHATI
Walikuja na kuondoka.. miongoni mwao ukitoa siasa hakuna aliyefanya maajabu kumshinda mwingine. Baada ya kuja kwa January imekuwa nongwa sana kama vile January siyo mtanzania?
Jamani Kalemani alifanya kipi cha kujivunia hata iwe nongwa kuondolewa hapo TANESCO
 
Inaonekana unajua mkuu embu tueleze badala ya best yako Kalemani. Si mlikuwa wote. Acha kumsumbua mstaafu. Vipi ilikuwaje Risasi zaidi ya 30 zisiue hata Dereva na Bosi wake?

..CCTV za Kalemani zitajibu maswali yako na mengine mengi.
 
Back
Top Bottom