Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

Mkuu JokaKuu, with a due respect, this is a very serious allegations!, do you have any solid evidence to prove this?.
P

..angekuwa hajahusika angekanusha tuhuma za mara kwa mara toka kwa TL kwamba yeye JPM ndiye aliyeamuru auwawe.

..pia angeitisha uchunguzi ili waliohusika wakamatwe na yeye asafishwe kutokana na tuhuma hizo.

..kwangu mimi huo ni ushahidi mzito wa kimazingira kuwa JPM alihusika.
 
CCTV zile sii zake, yeye ni mpangaji tuu kaingia kwenye nyumba, kazikuta, baada ya tukio lile mwenye CCTV zake akazichukua camera zake, this has nothing to do with Kalemani!.
P

..nini kimemzuia kukanusha kwamba CCTV ni za kwake?

..maadamu amekaa kimya maana yake ni kwamba ni za kwake na anajua kilichorekodiwa.
 
Utaniulizaje mimi habari hizo wakati humu ndiyo kunasemwa kuwa Magufuli ndiye aliyeagiza shambulizi la Lissu ila mwenyewe JPM hakuwahi kuzungumzia hilo suala, nachojua ni kwamba hao wawili Lissu na Magufuli walikuwa haziivi ila kujua sababu za JPM kutaka kumuuwa Lissu siwezi kujua.

..Jpm hakuwahi kukanusha tuhuma hizo.
 
..angekuwa hajahusika angekanusha tuhuma za mara kwa mara toka kwa TL kwamba yeye JPM ndiye aliyeamuru auwawe.

..pia angeitisha uchunguzi ili waliohusika wakamatwe na yeye asafishwe kutokana na tuhuma hizo.

..kwangu mimi huo ni ushahidi mzito wa kimazingira kuwa JPM alihusika.
Kama Magufuli sio muhisika hivyo hao wahusika wenyewe ni watu wazito, muhimu we endelea kuamini kuwa muhisika ni Magu na wengine tunatoa nafasi ya kwamba muhusika anaweza kuwa mwengine pia.
 
..Jpm hakuwahi kukanusha tuhuma hizo.
Hata ningekuwa mimi ndio rais nisingekuja kuzungumzia hilo suala kwamba et nikanushe hata kama kweli najua sihusiki, yani kweli ulitaka Rais aanze kujieleza kuwa sio mimi niliyoagiza shambulizi la Lissu?
 
Hata ningekuwa mimi ndio rais nisingekuja kuzungumzia hilo suala kwamba et nikanushe hata kama kweli najua sihusiki, yani kweli ulitaka Rais aanze kujieleza kuwa sio mimi niliyoagiza shambulizi la Lissu?

..kwa suala la MAUAJI kwangu mimi nadhani ni muhimu angekanusha.

..muhimu zaidi angeitisha UCHUNGUZI yeye binafsi na hiyo ingesaidia kuonyesha kwamba amechukizwa na unyama ule.

..tukio lile limeichafua nchi yetu. Tumeonekana hatuna tofauti na nchi zenye tawala za ki.shenzi zinazoua wapinzani wake.
 
..kwa suala la MAUAJI kwangu mimi nadhani ni muhimu angekanusha.

..muhimu zaidi angeitisha UCHUNGUZI yeye binafsi na hiyo ingesaidia kuonyesha kwamba amechukizwa na unyama ule.

..tukio lile limeichafua nchi yetu. Tumeonekana hatuna tofauti na nchi zenye tawala za ki.shenzi zinazoua wapinzani wake.
Kama ni simple hivyo mbona Samia hafanyi huo uchunguzi ili kujilikana huyo muhusika na kusafisha nchi?
 
Kama Magufuli sio muhisika hivyo hao wahusika wenyewe ni watu wazito, muhimu we endelea kuamini kuwa muhisika ni Magu na wengine tunatoa nafasi ya kwamba muhusika anaweza kuwa mwengine pia.

..namtuhumu kutokana na ushahidi uliowekwa wazi mpaka sasa hivi.

..ushahidi unaomuunganisha yeye au watu wake na shambulizi lile ni kitendo cha WALINZI kuondolewa eneo na siku ambayo Lissu alishambuliwa.

..Sasa JPM kwa nafasi yake na vyombo alivyokuwa navyo alikuwa na uwezo wa kuwakamata waliohusika.

..Swali linakuja kwanini hawajakamatwa? Je, inahitaji miaka 4 toka 2017 mpaka 2021 alipofariki kumnasa aliyeondoa walinzi na ku-trace nani alimpa maagizo?

..
 
100% hii wenye akili walisema, Kalemani anatolewa pale kwanini? Kumbe wahuni wa escrow na Richmond wanerudi.
 
..namtuhumu kutokana na ushahidi uliowekwa wazi mpaka sasa hivi.

..ushahidi unaomuunganisha yeye au watu wake na shambulizi lile ni kitendo cha WALINZI kuondolewa eneo na siku ambayo Lissu alishambuliwa.

..Sasa JPM kwa nafasi yake na vyombo alivyokuwa navyo alikuwa na uwezo wa kuwakamata waliohusika.

..Swali linakuja kwanini hawajakamatwa? Je, inahitaji miaka 4 toka 2017 mpaka 2021 alipofariki kumnasa aliyeondoa walinzi na ku-trace nani alimpa maagizo?

..
Hivi Sokoine na Karume waliowaua walikamatwa eehhh?
Naomba kumbukumbu TAFADHALI...
 
..kwa suala la MAUAJI kwangu mimi nadhani ni muhimu angekanusha.

..muhimu zaidi angeitisha UCHUNGUZI yeye binafsi na hiyo ingesaidia kuonyesha kwamba amechukizwa na unyama ule.

..tukio lile limeichafua nchi yetu. Tumeonekana hatuna tofauti na nchi zenye tawala za ki.shenzi zinazoua wapinzani wake.
Sasa kwani serikali imekufa?
Samia yupo mwambieni miongoni mwa asali mnazotaka kulambishwa ni pamoja na hiyo. Mnakwama wapi?
 
Hivi Sokoine na Karume waliowaua walikamatwa eehhh?
Naomba kumbukumbu TAFADHALI...

..aliyemfyatulia karume risasi aliuawa.

..walioshukiwa kuhusika na mpango huo walishtakiwa na wengine walikaa kizuizini muda mrefu.

..sokoine hakuuwawa alikufa kwa ajali ya gari.

NB:

..hoja yako ingekuwa na mashiko kama ungehoji kilichowatokea Abdulah Kassim Hanga na wenzake waliopotelea Zanzibar.
 
Kama ni simple hivyo mbona Samia hafanyi huo uchunguzi ili kujilikana huyo muhusika na kusafisha nchi?

..hilo ni swali zuri sana la kumuuliza Rais Samia Suluhu.

..Tanzania inahitaji Tume ya Ukweli na Maridhiano ili wote waliotendewa unyama wajulikane, na watesi wao waombe msamaha.

..Haki sio kwa ajili ya Lissu peke yake. Yeye amebahatika kunusurika na jaribio la kumuua.

..Wako ambao wamepotezwa familia zao zinastahili kuambiwa ukweli, kuombwa msamaha, na kufutwa machozi.
 
"Tumbo limewafanya watu wengi nchini, kushindwa kushikilia miili yao."
 
Tangu Tanzania ipate uhuru wamepita mawaziri weeengi sana wa NISHATI
Walikuja na kuondoka.. miongoni mwao ukitoa siasa hakuna aliyefanya maajabu kumshinda mwingine. baada ya kuja kwa January imekuwa nongwa sana kama vile january siyo mtanzania?
Jamani kalemani alifanya kipi cha kujivunia hata iwe nongwa kuondolewa hapo TANESCO
January kafanya hovyo hovyo sana, hana tailent kbs ya kuwa kiongozi halafu hapo alipo anajiona wanamkubali kumbe hovyo kbs
 
Kalemani ajitokeze kueleza kilichorekodiwa ktk CCTV cameras zake siku aliyoshambuliwa Tundu Lissu.
Angalizo kwa Moderators....

Mtoa post kaweka content inayochochea mjadala mpana kuhusu kutumbuliwa bila sababu ya msingi

Lakini in moderation mnaachia posts zinazoipeleka hoja kwenye kuchocheana joto na hatimaye watu wataanza kuparurana.

Kwa nini hii post isingeanzishiwa thread yake?
 
..angekuwa hajahusika angekanusha tuhuma za mara kwa mara toka kwa TL kwamba yeye JPM ndiye aliyeamuru auwawe.
Mtu ukiwa rais wa nchi, una deal na vitu solid only, hizo tuhuma za TL kuwa mhusika ni JPM aliziwasilisha wapi?, au ulitaka rais wetu pia anze kujibu kila tuhuma za mitandaoni!.

TL alipoitisha ile press conference na kutangaza anafuatiliwa, alipaswa afanye nini ili issue ile ishughulikiwe?, alipaswa kuripoti kunakohusika na pale angeulizwa unamhisi nani, angesema!.

Na baada ya tukio yeye hakuhojiwa, but as a lawyer and a good law abiding citizen, baada ya kurejea nchini, alipaswa yeye mwenyewe kujipeleka polisi na kuroa statement yake na hapo angeeleza anamhisi nani, na kuutoa ule ushahidi, hapo ndipo angejibiwa.
pia angeitisha uchunguzi ili waliohusika wakamatwe na yeye asafishwe kutokana na tuhuma hizo.
Sio kazi ya rais wa nchi kuitisha uchunguzi wa tukio la kihalifu hiyo ni mandate ya jeshi letu makini la polisi. Uchunguzi ulishindikana kutokana na kukosekana kwa mashahidi wawili pekee wa tukio hilo, maana tunahisi hata silaha walizotumia ni silencer, hakuna mtu mwingine yoyote aliyeona chochote wala kusikia lolote zaidi ya wawili hao. Mpaka sasa wanasubiriwa!.
kwangu mimi huo ni ushahidi mzito wa kimazingira kuwa JPM alihusika.
Kwenye criminal liability kunahitajika kitu kinachoitwa solid evidence na sio circumstantial evidence. The burden of proof lies with the prosecution, kwa vile hakuna any investigation going on kuhusu tukio hili, jinai haina time frame, TL na dereva wake waje waandike maelezo uchunguzi uanze.

Kiukweli uchunguzi wa tukio hili ulikuwa ni simple tuu hata sisi waandishi wa IJ tungeweza kuufanya Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
P
 
..namtuhumu kutokana na ushahidi uliowekwa wazi mpaka sasa hivi.

..ushahidi unaomuunganisha yeye au watu wake na shambulizi lile ni kitendo cha WALINZI kuondolewa eneo na siku ambayo Lissu alishambuliwa.

..Sasa JPM kwa nafasi yake na vyombo alivyokuwa navyo alikuwa na uwezo wa kuwakamata waliohusika.

..Swali linakuja kwanini hawajakamatwa? Je, inahitaji miaka 4 toka 2017 mpaka 2021 alipofariki kumnasa aliyeondoa walinzi na ku-trace nani alimpa maagizo?

..
Hizo ni sababu tu zinazokufanya umtuhumu Magufuli ni ushahidi wa kimazingira, upo sawa ila ndio nasema kwamba na sisi wengine tunaangalia na upande mwengine wa shilingi kwa maana yawezakuwa Magufuli asiwe ndio aliyeagiza hilo shambulizi ikawa ni watu wengine na hao wahusika wakawa ni watu wazito ndio maana wakaweza hata kuondoa ushahidi.
 
Back
Top Bottom