Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Kwa hiyo unapanga kumminyafasta kummnyamazosha sio, basi kama hivyo hauta kosa kuwapo kundi la badluck&co.
 
Uliulizwa swali dogo tu hukujibu unakuja na ngonjera.

Ni wapi amesema anashindana na serikali.
 
..Mwananchi anayetaka kupambana na Serikali huku akisahau kuwa yeye ni laghai na tapeli wa sadaka za wengine akishughulikiwa kama mhuni kwa sababu tofauti na genge la wahuni basi ninyi wahuni wenzake msipige kelele
Serikali haina mandate ya kushughulikia watuhumiwa kuna makahama..., Serikali iende kumshitaki huko na sheria ifuate mkondo..., Kukosoa Serikali sio kupambana nayo ni kutimiza wajibu wako kama mlipa kodi
 
Pitia video ya Mwingira hapo juu akisifu kwa nyimbo na mapambio halafu ujipe jibu wewe na yeye mjinga zaidi ni nani.

Kuhusu Utakatifu huo Mwingira hana!

Angekuwa na chembe ya uchaji wa Mungu angetapeli ardhi ya wale Wafipa?!

Lile ni laghai la imani na nufaikaji la sadaka za wasiojielewa.
 
Acha nikuheshimu tu kwa sababu tayari umeshasema askofu na si Askofu.

Naheshimu sana utofauti baina ya askofu na Askofu!
Sukuma gan'g mtapata tabu sana aisee,mnapewa vidonge vyenu mwisho wa siku mnasema anapambana na dola are serious
 
Ipo video ya Mwingira hapo juu akionyesha kile ulichokiita ujinga sasa ukishamsikiliza ndiyo jijibu wewe na yeye nani mjinga zaidi
Mjinga wewe unayetaka Mwingira afungwe mdomo na serikali, awamu hiyo ya kufungana midomo ilizikwa 17th March, 2021! Awamu ya hovyo kabisa, mtu kuhoji tu Phd ya Shetwani akauawa!!!
 
Kwahiyo huko Kenya na Marekani wanatawala malaika ?

Anyway, ingia barabarani basi uandamane kuunga mkono maneno ya Mwingira, shabiki zuzu.
Kwahiyo unataka watu wakifanyiwa mambo ya hovyo wakae kimya
 
Sukuma gan'g mtapata tabu sana aisee,mnapewa vidonge vyenu mwisho wa siku mnasema anapambana na dola are serious
Samia zao la Sukuma gang.

Mpango pia.

Majaliwa pia.

Hussein pia.

Sasa utatukwepa wapi?!

Usisahau wanaokufanya uamke salama ni Sukuma gang pia namaanisha CDF Mabeyo & co.
 
Angesifia ungeongea huu upuuzi wako?
 
Wewe unajua alichopitia?...punguza mdomo...wewe kwa Mwingira mchumba tu...
Wapi kainanga serikali?...mtu ameumizwa unaleta porojo?
Muache aseme mdomo ni wake hii inaweza kumpunguzia maumivu aliyopata.
Kweli tupu
 
Hivi tz KILA msema ukweli anakua adui KWa mamlaka
 

Suzy Elias. Jibu maswali yangu niliyokuuliza na uache kuruka ruka.
 
wewe kama sio polepope sijui maana si kwa povu hili
 
Nyie nani hadi msiambiwe ukweli? Kama vipi mpigeni risasi kwani ndiyo uwezo wenu ulipoishia. Kama kuna attempt ya kumuua ilifanywa kwa nini asiseme?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…