Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Najua wewe unazungumza bila kujua haki ya kuishi na maisha kwa ujumla.ulipo sidhani kama hata hiyo 10 milion unayo.
Mwingira kachomewa mali ya 10 bilion ,ulitaka aunamaze?katishiwa kuuawa ulitaka anyamaze,anaona aliyefichua anauliwa yeye akae kimya,vipi wewe?
Inawezekana serikali ikaanza kummaliza ,ila yeye kasema kilichotoke katika kuzingayia katiba na haki ya kuishi,wapo watakaomuunga mkono bila kujali itikadi yake na pia jamii itahoji akaiuawa
 

Inaonekana hili jambo limekuumiza hadi unageuka kuwa mpotoshaji, ni wapi kasema anashindana na serikali? Yeye amesema ukweli, na ukweli huo unafahamika.
 
Unaandika Mambo yasoyokuwepo. Mtu anazungumza kuhusu hapa wewe unatoa mfano wa Kenya.
 
Who keeps the government in power? Is it itself or ourselves? So kwa nini uogope kinyago ulichochonga mwenyewe
Hii Ni sawa na mungu kuhofia shetani wakati Ni kiumbe wake mwenyewe
 
 
Kwahiyo Zitto alikuwa muongo na Mwingira hawezi kusema uwongo ??

======

Ukweli ni upi ?
 
Kweli tupu. Mwingira ana vimeo vingi sana, ndiyo maana wakati wa Mwendazake aliufyata kama mkia wa kondoo.
 
Acha wamjaze ajae alafu akutane na mkono wa dola.
Acha kusifia uovu,pensa mema ndugu yangu
Wakolosai 3
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.
1 Petro 2
1 Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote.

12 Mwe na mwenendo mzuri kati ya Mataifa, ili, iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa.
 
Chawa wa Samia uko kazini!
.
Mbona kasema pia huyo Samia wako ni mtoto wa shetani? Vipi hapo?
 
Mbona vifo vinawafinya hao Marais mpaka wanakunya hamvifanyi chochote?. Unaongea utafikiri ndiyo mliumba dunia. Mnao uwezo wa kufanya chochote na nyinyi masifanywe chochote. Majinga Kama wewe ndiyo mnatufanya Tunashukuru Mungu kwa kuweka KIFO. Na hao kina azory,saanane,kanguye kina Lisu na wengine mliowauwa ndiyo walisababisha Magu afe mapema.
 
KIFO hata wewe kinakuhusu. Hiyo ni NJIA ya kila kiumbe hai.
 
Umenikumbusha Askofu Mpemba wa hapa Mwanza. Miaka ya 2013-2015 aliletaga ishu zake, eti kwanini Waislamu tu ndio wanachinja. Akapiga promoo kupitia karedio kake ka Kwa Neema FM. Serikali ilipotaka "kumshughulikia" akakimbia nchi hadi leo. Na huyu asubiri tu.
 
Ni kweli umenena vyema, hawezi kupambana na serikali ya mama yetu mpendwa. Samiah hoyeeeee
 
Umeandika upumbavu mtupu,kwani kwa yeye kueleza yaliyomkuta ni kupamabana na dola!?

Wanawatumia wanajua kabisa kuwa nyie hamna akili lakini sijui kwa nini wanawatumia?
 
Kusema Yaliyomsibu ni KOSA? TUMIA AKILI hata za KUAZIMA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…