Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Kwanini?tukianza mjadala wa CBC hatutamaliza humu,ni ngumu sana kutenganisha CONTENT BASED na COMPETENCE BASED Kwa wanafunzi wa primary na SEKONDARI ,Kwa vyuo vya kati na vikuu inawezekana.
Hii ni professional yangu braza, naipenda ila naangushwa na watendaji wasio na sifa, Mwalimu ni mtu muhimu katika jamii hivyo asikilizweKumbe na wewe ni mwalimu? Ondoka huko sio kuzuri
Umemjibu vyema sanaa.Hii ni professional yangu braza, naipenda ila naangushwa na watendaji wasio na sifa, Mwalimu ni mtu muhimu katika jamii hivyo asikilizwe
Kwani hao Walimu wanaishi kwenye kisiwa cha peke yao mpaka kila anae changia hili andiko akoselewe na kutajwa kuwa ni Mwl?Najitetea wapi? Kwa sababu zipi? Najitetea ili iweje?
Yes yes, walizoea kitonga!!!Huyu mwamba Msonde mnamwanzishia nyuzi hapa naamini ndiye mtu sahihi kwa sasa.
Hatuwezi kwenda kama tulivyozoea(business as usual).
Lazima apatikane mtu kama huyu mwenye uwezo wa kuchukua maamuzi kubadilisha mambo.
Tayari tumeona ndio watu waliosaidia kuondoa vitabu vya hovyo huko mashuleni.
Ninaanza kuwa na wasiwasi huenda ninyi mmetumwa na watu wa upinde kuleta fitna za kipuuzi hapa.
Acheni madhaifu ya elimu yetu yafanyiwe kazi.Vinginevyo mje na mapendekezo ya nini kifanyike na si kupinga tu ili mpunguziwe kazi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Yeye naye ni sampuli za akina msonde humu jamvini, hakuna anachoelewa kwenye sekta ya Elimu lakini kanajifanya kama vile ni muelewaUmemjibu vyema sanaa.
ππππππ Si tu hivyo,eti Mwl yuko darasani awe anachungulia kwenye lesson plan ili ajue ni tendo gani lifuate?Walimu saiz wanaandika kuliko hata mwanafunzi, imagine mwalimu wa physics uko peke ako shule nzima na kwasiku vipindi vya F. 1 mpaka 4 ni kama nane hivi tena kila darasa lina mikondo sasa niambie huyu mwalimu anawezaje kuandika lesson plan nane kila siku, ila hawa ni robot halo yani yanaweza eti [emoji23]
Umeandika nini. Chuki na mahaba punguza.Kueaondoa kina Prof Riziki wame roba step
Mi ni mmoja kati ya watu ambao wanaunga mkono COMPETENCE BASED EDUCATION 100% ndio tunayoihitaji lakini kiukweli hiyo hatuwezi kukurupuka bila kujiandaa hasa katika mazingira ya utoaji wa elimu kiujumlaKwanini?tukianza mjadala wa CBC hatutamaliza humu,ni ngumu sana kutenganisha CONTENT BASED na COMPETENCE BASED Kwa wanafunzi wa primary na SEKONDARI ,Kwa vyuo vya kati na vikuu inawezekana.
Kuna vitu ilitakiwa vifanyike ndo tuanze kuhimiza competence based Kwa shule za vijijini.
Nimesoma post yako sijaona hata solution moja zaidi ya malalamikoYupo sahihi, wewe sio Mwalimu braza, hata msonde huyo anaelewa hili, ebu acheni ujinga kama nchi sekta ya Elimu inahitaji mabadiliko makubwa, hawa viongozi wetu hawajui chochote kwenye Elimu nyadhifa hizi za kina msonde wanapeana tu but kichwani hawana lolote
Nchi tunatakiwa tusimame na moja hasa medium of instructions in our schools both primary and secondary inatakiwa iwe moja, ili ninapo mpokea mwanafunzi from std vii hasiangaike jamani
Kufaulisha anavyotaka kamsonde huyo haiwezekani, labda hatuambie mwanaye anasoma kweli government school hapa au yeye ni miongoni mwa mchungaji asiyeamini kanisa lake?
Una uhakika kiasi gani kuwa ni Mwl?Tatizo wanataka mgeuza mwalimu awe mungu Yani hata mtoto mwenye uelewa mdogo awe na uelewa mkubwa Yani mtoto wanapasisha kimagumashi uko akifika sekondari wanataka apate arama B somo la hesabu wakati ufauru wake uelewa wake magumashi
HUYU NDIO MWALIMU WANGU!!!
mgeuza-kumgeuza
mungu-Mungu
Yani-yani
uko-huko
arama-alama
ufauru-ufaulu
Huyu ni mwalimu, hahahahaaa
Sina kabisaUmeandika nini. Chuki na mahaba punguza.
Tena sio ndogo, ni kubwa haswa.Nazani= nadhani, tuna kazi humu ndani..
Unayo.Sina kabisa
Sio-siyo ndogoTena sio ndogo, ni kubwa haswa.
Kweli dearUnayo.
Huku ndo kukurupuka, uwa shida yenu ni akili samahani lakini if nimekukwaza, kwani tunashida na hizo ajira za mkataba? Mara ngapi tunaomba tuajiiriwe kimkataba? Tena hizi ajira za kufungana kwa welding haya anayataka nani?Nimesoma post yako sijaona hata solution moja zaidi ya malalamiko
Hamtaki kuwajibishwa, hamtaki kutoa taarifa,
Time sasa Kwa kila civil servant kuwa na ajira za mikataba and based on performance
Umenena UKWELI.Mi ni mmoja kati ya watu ambao wanaunga mkono COMPETENCE BASED EDUCATION 100% ndio tunayoihitaji lakini kiukweli hiyo hatuwezi kukurupuka bila kujiandaa hasa katika mazingira ya utoaji wa elimu kiujumla
1.Walimu wa hiyo kitu waandaliwe na waliopo wanolewe kisawasawa (wengi wa sasa ni CONTENT BASED)
2.Madarasa vitabu na miundombinu yote ya shule iwe katika standard ya hali ya juu pamoja na upatikanaji wake.
3. Mitaala iboreshwe zaidi. Ni lazima tuweke vipaumbele kama nchi tuwe na dira yetu, utoaji wa elimu uendane na falsafa za nchi yetu na mahitaji ya falsafa hiyo.
4. Jamii ilazimishwe kupeleka watoto shule utake usitake, haya mambo ya kuelimishwa yamepitwa na wakati.
5. Muhimu kabisa, maslahi ya walimu ambao ndio watendaji wakuu wa shughuli hii yaboreshwe ifikie hatua kila mtu atamani kuwa mwalimu ππππ