Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Kwanini?tukianza mjadala wa CBC hatutamaliza humu,ni ngumu sana kutenganisha CONTENT BASED na COMPETENCE BASED Kwa wanafunzi wa primary na SEKONDARI ,Kwa vyuo vya kati na vikuu inawezekana.
Kuna vitu ilitakiwa vifanyike ndo tuanze kuhimiza competence based Kwa shule za vijijini.