Mstaafu wa Jeshi atuhumiwa kuua kwa risasi kisa mgogoro wa mipaka

Mstaafu wa Jeshi atuhumiwa kuua kwa risasi kisa mgogoro wa mipaka

Very true. Sasa yeye ataozea jela, na watoto/ndugu hawataitaka hiyo ardhi tena iliyosababisha mauaji. Kuna watu wajinga sana dunia hii. Sasa sijui kapata faida ganihuyo aliyoua. Alidhani kwenda kujificha kungemsaidia?
Ameua bila kukusudia atahukumiwa kifungo Cha nje ataendelea kukaa kwenye kiwanja chake
Hasara kwa marehemu
 
Ameua bila kukusudia atahukumiwa kifungo Cha nje ataendelea kukaa kwenye kiwanja chake
Hasara kwa marehemu
Unajua kesi za jinai Tanzania zinavyokuwa...Ametumia silaha Kaka hapo na alikuwa Ndani utampata state attorney gani aitoe kwenye murder aiweke kwenye manslaughter!!!
Upelelzi kukamilika hapo ni Mwaka
Kuanza kusilikiza kesi miaka miwili
Ardhi Tanzania bado IPO kubwa Sana...Hapo alipo anajuta sana.
Leo hii akifa anaenda kuzikwa kwenye shamba la magereza...
 
inaumiza sana aisee. Na mimi naondoka sasa ila kesho nitakuwepo.
...Inaumiza Sana. We una Miaka 71, umeishatimiza Miaka Mungu aliyomuwekea Binadamu, halafu unaua Mtu wa Miaka 48 ambaye ndio kwanza ndio NguvuKazi ya Dunia na Bado Dunia inamuhitaji Sana??? Huo Mjeshi akaozee
Jela ....!![emoji26][emoji26]
 
Jirani yangu huyu ni Askari wa Jeshi la Wananchi, nilimsimamisha ujenzi maana ameingia kwenye eneo langu. Kula juu kajenga kama alivyoweka msingi huku,hajaacha nafasi, mabati yananing’inia kwenye eneo langu. Nataka siku nimwambie atoe mabati yake kwa kuyakata au nitajenga mabada ya kuku alafu yatamwaga maji kwenye madirisha yake. Kuna watu ni wa ajabu sana hapa Duniani, unaweza kuua mtu kirahisi tu.
View attachment 2288202
We noma umeleta Mfano hai
 
Wastaafu wengi wa JWTZ huwa na mahusiano mabaya na jamii zinazowazunguka huku uraiani.
 
Jonas Ziganyige (71) mstaafu wa Jeshi la Wananchi, Mkazi wa Mbezi Juu kwa tuhuma za kumpiga risasi na kumuua Patient Romwadi (48) mfanyabiashara, Mkazi wa Wazo Mivumoni, Kinondoni katika mgogoro wa mipaka.
Unatishwaje na raia? Chomoa cha moto maliza kazi, jamaa nalo jinga mtu ana cha moto unaanza kumwomba nipige uone, unakula ya kichwa, hiki kibabu nadhani kilikuwa kibodigadi cha Nyerere moja tu jamaa chali
 
Unajua kesi za jinai Tanzania zinavyokuwa...Ametumia silaha Kaka hapo na alikuwa Ndani utampata state attorney gani aitoe kwenye murder aiweke kwenye manslaughter!!!
Upelelzi kukamilika hapo ni Mwaka
Kuanza kusilikiza kesi miaka miwili
Ardhi Tanzania bado IPO kubwa Sana...Hapo alipo anajuta sana.
Leo hii akifa anaenda kuzikwa kwenye shamba la magereza...
Mpaka anajitokeza alishaweka mambo sawa
 
Jonas Ziganyige (71) mstaafu wa Jeshi la Wananchi, Mkazi wa Mbezi Juu kwa tuhuma za kumpiga risasi na kumuua Patient Romwadi (48) mfanyabiashara, Mkazi wa Wazo Mivumoni, Kinondoni katika mgogoro wa mipaka.

Mtuhumiwa anadaiwa kufanya tukio hilo Julai 9, 2022 ambapo marehemu alifika eneo akiongozana na Recy Renso (52) kwa lengo la kuangalia mipaka ya kiwanja chake, ndipo mtuhumiwa akatoka ndani akiwa na hasira akampiga risasi Romward na baada ya tukio alikimbia kabla ya kukamatwa Julai 10, 2022 akiwa Kibaha Maili Moja, Pwani alikokuwa amejificha.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Muliro Jumanne amesema wameipata silaha aliyotumia ambayo ni Mark IV ikiwa na risasi 4, atafikishwa Mahakamani kujibu mashtaka yanayo mkabili.

Wakati huohuo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum linaendelea pia na jitihada za kuzuia vitendo vya kihalifu kwa kufanya Oparesheni kali inayoongozwa na taarifa fiche dhidi ya Uhalifu na Wahalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.

Watuhumiwa 8 sugu wa uvunjaji nyumba na kuiba vifaa vya magari akiwemo Jumanne Omary (28) Mkazi wa Mikwambe na wenzake 7 wamekamatwa wakiwa na Tv flat screen za aina ya mbalimbali 4, laptop mbili, sab ufa moja, simu aina mbalimbali tano pamoja na vifaa vya kutendea uhalifu vikiwemo mikasi miwili mikubwa ya kuvunjia, panga moja, kisu kimoja, Prize na Bisibisi, Tochi na Nyaraka mbalimbali.

Pia gari lenye namba za usajili T.787 DGW aina ya Toyota Gaia limekamatwa kwa kuhusishwa na kutumiwa kwenye vitendo vya kihalifu.

Jeshi la Polisi Kanda Maaluma ya Dar es Salaam linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na vitendo vya kihalifu kwani kwa kufanya vitendo hivyo watakamatwa na watajikuta wakiwa katika msuguano mkali wa kiseria na vyombo vya dola.
Baadhi ya wanajeshi wana tabia moja ambayo sio sawa wanapostaafu wakiingia uraiani bado wanakuwa na mawazo ya kibabe kitu ambacho sio kweli na ndio maana nimesema baadhi.Mtaani kwetu yupo mmoja alikuwa hivyo alikuwa anataka kila mtu amsujudie.Alikufa kifo cha mungu tu kuugua lakini wakati anaugua nadhani ndio aliona madhara ya matendo yake hakuna mtu alikuwa anakwenda kumsalimia amekufa kama mbwa akazikwa kama mbwa
 
Back
Top Bottom