Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Inaumiza sana aisee. Na mimi naondoka sasa ila kesho nitakuwepo.Nimetoka hapo muda sio mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaumiza sana aisee. Na mimi naondoka sasa ila kesho nitakuwepo.Nimetoka hapo muda sio mrefu
YeeeahInawezekana kabisa walikuwa na ugomvi wa mipaka kwa muda mrefu.
Na ndo kinachotakiwa tuu...Kuna ndugu yangu mmoja anasemaga hawez kugombania inshu za mipaka kama jirani atasogeza atamwambia kistarabu kama asipoelewa basi anamwachia
Nakutaka weweHasira hasara
Ameua bila kukusudia atahukumiwa kifungo Cha nje ataendelea kukaa kwenye kiwanja chakeVery true. Sasa yeye ataozea jela, na watoto/ndugu hawataitaka hiyo ardhi tena iliyosababisha mauaji. Kuna watu wajinga sana dunia hii. Sasa sijui kapata faida ganihuyo aliyoua. Alidhani kwenda kujificha kungemsaidia?
Unajilisha upepoAmeua bila kukusudia atahukumiwa kifungo Cha nje ataendelea kukaa kwenye kiwanja chake
Hasara kwa marehemu
Unajua kesi za jinai Tanzania zinavyokuwa...Ametumia silaha Kaka hapo na alikuwa Ndani utampata state attorney gani aitoe kwenye murder aiweke kwenye manslaughter!!!Ameua bila kukusudia atahukumiwa kifungo Cha nje ataendelea kukaa kwenye kiwanja chake
Hasara kwa marehemu
...Inaumiza Sana. We una Miaka 71, umeishatimiza Miaka Mungu aliyomuwekea Binadamu, halafu unaua Mtu wa Miaka 48 ambaye ndio kwanza ndio NguvuKazi ya Dunia na Bado Dunia inamuhitaji Sana??? Huo Mjeshi akaozeeinaumiza sana aisee. Na mimi naondoka sasa ila kesho nitakuwepo.
Aliua bila kukusudia halafu akaenda kujificha kibaha. Risasi tatu ni za kuua bila kukusudia?Ameua bila kukusudia atahukumiwa kifungo Cha nje ataendelea kukaa kwenye kiwanja chake
Hasara kwa marehemu
Hata hivyo anaenda fia jelaLeo nilienda kwenye huu msiba nimeona na mpaka waliokuwa wanagombania kifupi huyo mzee akijitoa akili acha akafie jela, kesho tunaenda kuzika!
Huo ni unyonge ...ni kwenda kumshtaki tuKuna ndugu yangu mmoja anasemaga hawez kugombania inshu za mipaka kama jirani atasogeza atamwambia kistarabu kama asipoelewa basi anamwachia
Hawa wazee waliotumikia Jeshi wanakuaga na PSTD yani wakikorofishwa wanaona kama bado wako vitani...!!!Leo nilienda kwenye huu msiba nimeona na mpaka waliokuwa wanagombania kifupi huyo mzee akijitoa akili acha akafie jela, kesho tunaenda kuzika!
We noma umeleta Mfano haiJirani yangu huyu ni Askari wa Jeshi la Wananchi, nilimsimamisha ujenzi maana ameingia kwenye eneo langu. Kula juu kajenga kama alivyoweka msingi huku,hajaacha nafasi, mabati yananing’inia kwenye eneo langu. Nataka siku nimwambie atoe mabati yake kwa kuyakata au nitajenga mabada ya kuku alafu yatamwaga maji kwenye madirisha yake. Kuna watu ni wa ajabu sana hapa Duniani, unaweza kuua mtu kirahisi tu.
View attachment 2288202
Unatishwaje na raia? Chomoa cha moto maliza kazi, jamaa nalo jinga mtu ana cha moto unaanza kumwomba nipige uone, unakula ya kichwa, hiki kibabu nadhani kilikuwa kibodigadi cha Nyerere moja tu jamaa chaliJonas Ziganyige (71) mstaafu wa Jeshi la Wananchi, Mkazi wa Mbezi Juu kwa tuhuma za kumpiga risasi na kumuua Patient Romwadi (48) mfanyabiashara, Mkazi wa Wazo Mivumoni, Kinondoni katika mgogoro wa mipaka.
Mpaka anajitokeza alishaweka mambo sawaUnajua kesi za jinai Tanzania zinavyokuwa...Ametumia silaha Kaka hapo na alikuwa Ndani utampata state attorney gani aitoe kwenye murder aiweke kwenye manslaughter!!!
Upelelzi kukamilika hapo ni Mwaka
Kuanza kusilikiza kesi miaka miwili
Ardhi Tanzania bado IPO kubwa Sana...Hapo alipo anajuta sana.
Leo hii akifa anaenda kuzikwa kwenye shamba la magereza...
Baadhi ya wanajeshi wana tabia moja ambayo sio sawa wanapostaafu wakiingia uraiani bado wanakuwa na mawazo ya kibabe kitu ambacho sio kweli na ndio maana nimesema baadhi.Mtaani kwetu yupo mmoja alikuwa hivyo alikuwa anataka kila mtu amsujudie.Alikufa kifo cha mungu tu kuugua lakini wakati anaugua nadhani ndio aliona madhara ya matendo yake hakuna mtu alikuwa anakwenda kumsalimia amekufa kama mbwa akazikwa kama mbwaJonas Ziganyige (71) mstaafu wa Jeshi la Wananchi, Mkazi wa Mbezi Juu kwa tuhuma za kumpiga risasi na kumuua Patient Romwadi (48) mfanyabiashara, Mkazi wa Wazo Mivumoni, Kinondoni katika mgogoro wa mipaka.
Mtuhumiwa anadaiwa kufanya tukio hilo Julai 9, 2022 ambapo marehemu alifika eneo akiongozana na Recy Renso (52) kwa lengo la kuangalia mipaka ya kiwanja chake, ndipo mtuhumiwa akatoka ndani akiwa na hasira akampiga risasi Romward na baada ya tukio alikimbia kabla ya kukamatwa Julai 10, 2022 akiwa Kibaha Maili Moja, Pwani alikokuwa amejificha.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Muliro Jumanne amesema wameipata silaha aliyotumia ambayo ni Mark IV ikiwa na risasi 4, atafikishwa Mahakamani kujibu mashtaka yanayo mkabili.
Wakati huohuo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum linaendelea pia na jitihada za kuzuia vitendo vya kihalifu kwa kufanya Oparesheni kali inayoongozwa na taarifa fiche dhidi ya Uhalifu na Wahalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.
Watuhumiwa 8 sugu wa uvunjaji nyumba na kuiba vifaa vya magari akiwemo Jumanne Omary (28) Mkazi wa Mikwambe na wenzake 7 wamekamatwa wakiwa na Tv flat screen za aina ya mbalimbali 4, laptop mbili, sab ufa moja, simu aina mbalimbali tano pamoja na vifaa vya kutendea uhalifu vikiwemo mikasi miwili mikubwa ya kuvunjia, panga moja, kisu kimoja, Prize na Bisibisi, Tochi na Nyaraka mbalimbali.
Pia gari lenye namba za usajili T.787 DGW aina ya Toyota Gaia limekamatwa kwa kuhusishwa na kutumiwa kwenye vitendo vya kihalifu.
Jeshi la Polisi Kanda Maaluma ya Dar es Salaam linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na vitendo vya kihalifu kwani kwa kufanya vitendo hivyo watakamatwa na watajikuta wakiwa katika msuguano mkali wa kiseria na vyombo vya dola.
Mtu unajua ni mjeda, anachomoa chamoto anakoki upo tu, mjinga sana, na hiki kibabu siajabu alishakitishia maisha, kikamfanyia timing kama kako vitani darfurHawa wazee waliotumikia Jeshi wanakuaga na PSTD yani wakikorofishwa wanaona kama bado wako vitani...!!!
Wamegawana majengo ya serikali.Leo nilienda kwenye huu msiba nimeona na mpaka waliokuwa wanagombania kifupi huyo mzee akijitoa akili acha akafie jela, kesho tunaenda kuzika!