Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Pole yako.Nilidhani pana Taifa kubwa hata moja lililofunga ubalozi wake, kumbe ni hao tu.Netanyahu hana hata habari nao watajirudisha wenyewe.
Pole yako.tunachojiuliza sisi wengine ni kwamba, iran ilisema kama Israel wangeingia Gaza, Iran ingeingilia kati, ila sasaivi Israel keshaingia kitambo kweli Gaza na irani kabana makalio harufu mbaya isitoke. nilikuwa sijui kama iran ana nidhambi kiasi hiki.
Endelea kutabasam ila nadhani unaelewa kwanini USA anaipigia kelele Iran.Imebidi nitabasamu tu hapo pa Iran akiamua [emoji4][emoji4]
hawajaidhuru Israel kwa lolote, kati ya watu israel anawea kulala usingizi bila kuwafikiria ni waasi wa Huth wa Yemeni. kidogo sana anawafikiria Hezbollah ambao akimalizana na Hamas tu ana ratiba ya kuwafuta pia. jiandaeni kuanza kulia lia tena kwamba israel asitishe mashambulizi Lebanon kwasababu raia wanakufa. mnakuwaga wa kwanza kushangilia ila mwishoni mnajua kweli kweli kulialia. Israel alishaiambia Lebanon kama haitaidhibiti hezbullah ataichukulia kama ni failed state hivyo Israel atakuwa na sababu ya msingi kuingia Lebanon kufuta kikundi cha hezbollah, magorofa mengi yatadondoshwa, kipindi kile walikula hasara kweli hao hezbollah walipoteza majengo mengi waliyokuwa wanamiliki na biashara nyingi, na ndicho kinachoend akutokea muda si mrefu. just stay tuned. Israel hawezi kuimaliza hamas kama tishio akaliacha tishio lingine kaskazini likiwahai. wameshaapa hilo. na kwa Yemen, hao haiwezi kuchukua hata wiki,watakuwa wameshaisha.Pole yako.
Houthi wanafyatua drones na makombora kwa amri ya Iran,Hizbollah wanashambulia Kaskazini mwa Israel na mfadhili silaha ni Iran.
We ulitaka aingiliaje???
Unadhani gaza ni sehemu ambayo unaweza toka tu kwenda nchi nyinhine kirahisi?hayo ni matokeo ya vita, subiri tuone hadi mwisho. sasa mbona hamas wameshaanza kutoa video za mateka wakiomba israel isitishe mapigano, kama wangekuwa hawajakamatika kwanini wanatamani vita iishe? si kwasababu hawana pa kutokea, israel amesema vita hiyo kwake ni ngumu na ni ya muda mrefu, Gaza ni eneo lililozungukwa, pande, na jana Israel wameshazunguka na kufunga njia toka kusini wakiwatenganisha wapalestina waliokimbilia kusinina upande wa gaza wa kaskazini, hivyo Gaza ya kaskazini ambako hamas wamejificha kumeshazungukwa, hawana pa kutokea, na hawawezi kukaa pale mwaka mmoja, wataishiwa chakula, silaha, maji, mafuta ya kuendeshea mitambo na magari, na watakamatwa kama panya tu. its just a matter of time. ingelikuwa hawajazungukwa, wangeweza kukimbia nchi, ila hawana pa kutokea israel amezunguka kote wenyewe wapo katikati, upande wowote wakichomoza kichwa watafyekwa.
kama umesoma comment yangu, jichunguze uone ulichoandika.Unadhani gaza ni sehemu ambayo unaweza toka tu kwenda nchi nyinhine kirahisi?
UNAONGEA KWA MIHEMKO,WACHA NIKUFUNDISHE KIJANA UACHE MIHEMKO.hawajaidhuru Israel kwa lolote, kati ya watu israel anawea kulala usingizi bila kuwafikiria ni waasi wa Huth wa Yemeni. kidogo sana anawafikiria Hezbollah ambao akimalizana na Hamas tu ana ratiba ya kuwafuta pia. jiandaeni kuanza kulia lia tena kwamba israel asitishe mashambulizi Lebanon kwasababu raia wanakufa. mnakuwaga wa kwanza kushangilia ila mwishoni mnajua kweli kweli kulialia. Israel alishaiambia Lebanon kama haitaidhibiti hezbullah ataichukulia kama ni failed state hivyo Israel atakuwa na sababu ya msingi kuingia Lebanon kufuta kikundi cha hezbollah, magorofa mengi yatadondoshwa, kipindi kile walikula hasara kweli hao hezbollah walipoteza majengo mengi waliyokuwa wanamiliki na biashara nyingi, na ndicho kinachoend akutokea muda si mrefu. just stay tuned. Israel hawezi kuimaliza hamas kama tishio akaliacha tishio lingine kaskazini likiwahai. wameshaapa hilo. na kwa Yemen, hao haiwezi kuchukua hata wiki,watakuwa wameshaisha.
asingedungua marekani yalikuwa yanaenda kudunguliwa na iron dome za israel. unawezakuwa hauzijui hizo. na wakijaribu kurusha maeneo ya karibu hayatafika kwenye miji, yatafika jangwani ambako wanaishi waisrael wenye imani ya kiislam kama wao. kama hujui, kule kusini mwa israel kuna aina fulani ya waarabu wanaitwa "MABEDUI", hawa ni takribani 150,000, wafugaji wanahamahama kama wamasai, though kuna kipindi israel iliwapa haki ya kuwa na vijiji. wanaishi kusini mwa israel, na kama huth watarusha roket zikapita bila kudunguliwa na meli za marekani, itaenda kuathiri ndugu zao wa kiarabu na israel hawezi kuona hasara hiyo. though ni kitu kibaya. hawa mabedui ndio hata hapa tanzania wapo kibao tu, ni hao waarabu wengine kama machotara fulani, wamesambaa kuanzia kusini mwa israel, maeneo ya yemen, oman, sudan na maeneo ya elitrea hadi misri. hao ndio watadhurika.UNAONGEA KWA MIHEMKO,WACHA NIKUFUNDISHE KIJANA UACHE MIHEMKO.
Kipindi houthi anarusha drones na makombora aliyeyadungua ni USS,iliongeza tension na meli zaidi ya 5 ziliongezwa Mediterranean sea.
Kutoka Yemen mpaka ghuba ya Israel ni mbali sana nadhani unaelewa kwanini tension iliongezeka na meli zikaongezwa zikiwa na missile interceptor maana IDF Haina missile interceptor Ina rocket interceptor.
Vita ya hizbollah ya 2006 ilichofanya Israel no kuharibu Miundombinu kupunguza hasira za kupigea bint jubeir kuburutwa mpka shebah farms.
Halafu usisahau hizbollah ina military radar kijana Toka 31 October drone 5 za IDF zilidunguliwa na makombora ya hizbollah.
Pia hizbollah Ina mpk long range ballistic missiles ambazo Leo zimepiga military post 4 za IDF na kuharibu miundombinu na kuua raia mmoja na wanajeshi watatu.
Hizbollah ana guided missile ambazo zinaweza fika popote ndani ya Israel na hilo IDF spokesperson alikiri mwenyewe mnamo tarehe 9 October.
Houthi sio Hamas.
Kama Houthi ameweza kumtikisa Saudi Arabia ambae alikua akilindwa na silaha za US usidhani ni mtu mdogo.
Pima umbali kutokea Yemen mpaka Israel ni umbali Gani na drone pamoja na missiles walizorusha Houthi zilifika japo US navy walizidungua.
HIZBOLLAH NA HOUTHI SIO HAMAS WANA KILA AINA YA ZANA ZA VITA KIJANA NDIO MAANA USA ANAPIGA KELELE KWA IRAN,USA SIO CHIZI ANAELEWA UWEZO WA SILAHA ZA IRAN NDIZO ZINAZOMUUMIZA KICHWA UKRAINE ZIMITUMIWA NA RUSSIA .
Unachekesha wewe.asingedungua marekani yalikuwa yanaenda kudunguliwa na iron dome za israel. unawezakuwa hauzijui hizo. na wakijaribu kurusha maeneo ya karibu hayatafika kwenye miji, yatafika jangwani ambako wanaishi waisrael wenye imani ya kiislam kama wao. kama hujui, kule kusini mwa israel kuna aina fulani ya waarabu wanaitwa "MABEDUI", hawa ni takribani 150,000, wafugaji wanahamahama kama wamasai, though kuna kipindi israel iliwapa haki ya kuwa na vijiji. wanaishi kusini mwa israel, na kama huth watarusha roket zikapita bila kudunguliwa na meli za marekani, itaenda kuathiri ndugu zao wa kiarabu na israel hawezi kuona hasara hiyo. though ni kitu kibaya. hawa mabedui ndio hata hapa tanzania wapo kibao tu, ni hao waarabu wengine kama machotara fulani, wamesambaa kuanzia kusini mwa israel, maeneo ya yemen, oman, sudan na maeneo ya elitrea hadi misri. hao ndio watadhurika.
kwani iron dome inakamata makombora ya aina gani wewe mburukutu? kama issue ya kuwa guided misile ni kwamba kombora halidondosheki kwani hata hao marekani wangeweza kulitungua? una ubongo kweli wewe? au shida ni elimu dunia?Unachekesha wewe.
Kumbuka hayo makombora ni guided missiles sio roketi zinazorushwa bila muelekeo na kutua popote
Zile kombora na drone kama zingepita zingeathiri katikati mwa Israel sio jangwani acha kujidanganya.
Pia IRON DOME NI ROCKET KNTERCEPTOR SIO MISSILE INTERCEPTOR KIJANA NDIO MAANA MPAKANI NA LEBANON IRON DOME ZIPO ILA ZIMESHINDWA KUDUNGUWA MAKOMBORA YALIYORUSHWA NA HIZBOLLAH VIJIJI VYA MPAKANI NDIO MAANA IDF IKAAMUA KUHAMISHA WANAKIJIJI KWENDA CENTRAL ISRAEL.
Kijana Kuna roketi na Kuna kombora.kwani iron dome inakamata makombora ya aina gani wewe mburukutu? kama issue ya kuwa guided misile ni kwamba kombora halidondosheki kwani hata hao marekani wangeweza kulitungua? una ubongo kweli wewe? au shida ni elimu dunia?
una uhakika gani kwamba hicho walichofanya wamarekani kudungua hayo makombora kisingeweza kufanywa na waisrael? we una miaka mingapi? kama guided misile haiwezi kudondoshwa na waisrael, mbona imedondoshwa na wamarekani? that means kile walichokifanya wamarekani kama kombora lisingedunguliwa lingeenda kudungulliwa na waisrael. ndio hoja.Kijana Kuna roketi na Kuna kombora.
Na Kuna aina nyingi ya makombora .
Uwezo wao pia unatofautiana.
Nitakuja kuelezea hapa
Iron Dome haidungui kila kombora, inadungua yale yatakayo leta madhara pekee yale yanayoenda anguka sehem salama yanaachwa yanapitaUnachekesha wewe.
Kumbuka hayo makombora ni guided missiles sio roketi zinazorushwa bila muelekeo na kutua popote
Zile kombora na drone kama zingepita zingeathiri katikati mwa Israel sio jangwani acha kujidanganya.
Pia IRON DOME NI ROCKET INTERCEPTOR SIO MISSILE INTERCEPTOR KIJANA NDIO MAANA MPAKANI NA LEBANON IRON DOME ZIPO ILA ZIMESHINDWA KUDUNGUWA MAKOMBORA YALIYORUSHWA NA HIZBOLLAH VIJIJI VYA MPAKANI NDIO MAANA IDF IKAAMUA KUHAMISHA WANAKIJIJI KWENDA CENTRAL ISRAEL.
Kumbuka mashambulizi alofanya houthi dhidi ya Saudi Arabia katika oil plant za Saudia,oil plant za Saudia zilikua zikilindwa na mfumo wa anga wa USA ila ukafelishwa oil plant ya Saudia ikalipuliwa sip chini ya mara tatu na houthi na kusababisha hasara kubwa ya kiuchumi.
WATU HUMU WANAJUA KAMA NADANGANYA WANISUTE.
Iron dome ni missile interceptorkwani iron dome inakamata makombora ya aina gani wewe mburukutu? kama issue ya kuwa guided misile ni kwamba kombora halidondosheki kwani hata hao marekani wangeweza kulitungua? una ubongo kweli wewe? au shida ni elimu dunia?
Nani shoga mkuu waarabu au wayahudiMda wa MASHOGA kulia pale GAZA utafika
Ingekua ni missile interceptor Inge intercept makombora ya hizbollah.Iron dome ni missile interceptor
Lkn kuna mifumo kama David's Sling haichi hata punje ya mchele ipite
Kawaulize USS kwanini wamesema iron dome haina uwezo wa kudungua guided missiles?una uhakika gani kwamba hicho walichofanya wamarekani kudungua hayo makombora kisingeweza kufanywa na waisrael? we una miaka mingapi? kama guided misile haiwezi kudondoshwa na waisrael, mbona imedondoshwa na wamarekani? that means kile walichokifanya wamarekani kama kombora lisingedunguliwa lingeenda kudungulliwa na waisrael. ndio hoja.
Meanwhile, tupo sisi wa Dar na Dodoma, tuna uchungu zaidi kwa madhila ya wapalestina kuliko hata viongozi wa kipalestina...
... Hayo yote yakitokea Gaza, kule ukanda wa magharibi na mashariki, kiongozi wa PLO ndio kabisa amepiga kimya kama kwamba ni mgonjwa huku walowezi wa kiyahudi wakiwaua wapalestina na kuwafukuza kwenye majumba na mashamba yoa.
Sambamba na walowezi jeshi la IDF limekuwa likipiga kutoka angani kama linavyofanya kule Gaza....
Mzigo ndo umeingia Israel toka USA .Iran anasubiriwa aanze wampe za usoTangu jeshi la IDF liweke vifaru vyake pembezoni mwa Gaza ikitishia kuingia ndani ya Gaza kuwasaka Hamas,Iran imekuwa ikitoa maonyo makali kwa Israel isithubutu kufanya hivyo kwani itakuwa ni kuvuka mstari mwekundu katika mzozo huo ikiashiria na wao wataingilia kati kupambana kuwatetea wapalestina.
Tangu Ijumaa iliyopita jeshi hilo La IDf limetangaza kuvusha vifaru vyake kuingia Gaza. Ijapokuwa vifaru hivyo vimekuwa vikipata upinzani mkali na kulazimika kurudi nyuma kutoka kwa Hamas, hata hivyo ni kweli vimevuka mpaka na vimeuvuka huo mstari mwekundu uliochorwa na Iran.
Kinyume na kurudisha mapigo kwa kasi Iran imeendelea kutoa matamko ya kubembeleza na kulalamika na kuonya zaidi kwa kusema wao wameambiwa wasiingilie vita hivyo lakini mbona Marekani inazidi kuiunga mkono Israel.
Uungaji mkono huo wa Marekani na washirika wake hasa UK ni kweli upo na uko kwa maneno na vitendo.Bado tu Iran inaendelea kushuhudisha watu kuwa hao walioamrisha wakae kimya wanavunja makubaliano.
Muda huo huo Israel ikiwa imevuka mpaka na ndege zinadondosha mabomu ikiwemo aina mpya ya Iron sitng, nchi kama Saudia zina ratiba ya kukutana na viongozi wa Marekani wiki ijayo kuzungumzia masuala ya Gaza na uwezekano wa kusitisha vita. Inawezekana wanachokusudia kukizungumza sio kusitishwa vita bali wana ajenda nyengine tofauti .
Hayo yote yakitokea Gaza, kule ukanda wa magharibi na mashariki, kiongozi wa PLO ndio kabisa amepiga kimya kama kwamba ni mgonjwa huku walowezi wa kiyahudi wakiwaua wapalestina na kuwafukuza kwenye majumba na mashamba yoa.
Sambamba na walowezi jeshi la IDF limekuwa likipiga kutoka angani kama linavyofanya kule Gaza.
Kuhusu yanayowakuta wapalestina wa upande huo,raisi Biden ametoa tamko jepesi la kutaka walowezi waache kuwapiga wapalestina na upande wa Shinbet, shirika la ujasusi la Israel wametoa matamko kama hayo bila kutaka jeshi la IDF kuacha mashambulizi yake.
Kila mmoja kati ya wale walioonekana kuwa wangekuwa watetezi wakali na wenye sababu za kufanya hivyo kwa wapalestina katika muda ambapo misaada yao ni ya lazima, watakuwa wana sababu zao ambazo hawajaweza kuzidhihirisha.Kubwa linalofanana kwa wote ni kuhofia madaraka na mipango yao kwa hofu kuwa Marekani na Israel zitawapiga au zitawavunjia mipango yao hiyo.
Kwa mfano Saudia wana mradi wa kuigeuza nchi hiyo kuwa pepo ya dunia ambao wasingependa urudi nyuma na hasa kwa vile wameshatumia gharama kubwa sana mpaka hapo walipofika.Watu watasemaje ikiwa miradi hiyo haitokamilika.
Wakati watu wanakufa kwa njaa na kiu Gaza, Misri imetoa sababu za kilemavu za kutokufikisha misaada Gaza ikiilaumu Israel wakati kumbe mpaka wa Rafah wala haujapakana na Israel, ni baina yake na Gaza tu na pia upekuzi wa malori ya misaada hufanyika kilomita 62 ndani ya Misri kabla ya hata kufika huko Rafah.
Iran kwa upande wake iko karibu kukamilisha kurutubisha silaha zake za nyuklia na sijui zikikamilika wanakusudia kumpiga nani.
Kimya cha Mahmoud Abbas na viongozi wenzake wa PLO ni ahadi ya kumilikishwa Palestina pamoja na Gaza kitu ambacho baada ya Israel kufanikiwa kuikamata Gaza kama watafanikiwa wala hakitotekelezwa.
Maelezo na sababu ni kama hizo kwa Syria na Jordan.Kila mmoja akiwa na hofu ya kitu fulani alichonacho mkononi.
Kilichobaki ni Hamas wapigane kwa nafsi zao kwa silaha hafifu walizonazo wakitegemea msaada wa Allah mwenye nguvu za kweli na ambaye rehema zake huenea kote na huja wakati usiotegemewa.