😁😁Duh frelimo CCM waliwaingiza cha kike
Walijua hii ni ile CCM ya Mkapa na Kikwete. Wamepewa mbinu za kishamba kabisa za ushindi wa asilimia 99 na kukosea kujaza fomu kwa wingi.Duh frelimo CCM waliwaingiza cha kike
Bora kulala wataamka sisi ni marehemSIsi tu ndo tumelala...
Nasikia frelimo wamepigiwa kura nyingi kuzidi mpaka idadi ya watu wote waliojiandikisha kupiga kuraWalijua hii ni ile CCM ya Mkapa na Kikwete. Wamepewa mbinu za kishamba kabisa za ushindi wa asilimia 99 na kukosea kujaza fomu kwa wingi.
kwanzia hapa tunaeza pima kiwango cha ufala wetu watz haupimikiDuh frelimo CCM waliwaingiza cha kike
Kuna wakati ni bora maadui kuungana kumpiga adui yenu woteWamewafungilia Kisha watakuja kuwaibia wao wenyewe , elf 6 wanazani ni watu 6? Wasubili majibu watakapo ana kubakwa kama kuku