Msumbiji: Zaidi ya Wafungwa elfu 6 watoroka gerezani na silaha.

Msumbiji: Zaidi ya Wafungwa elfu 6 watoroka gerezani na silaha.

Nasikia frelimo wamepigiwa kura nyingi kuzidi mpaka idadi ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura

Mfano watu waliojiandikisha kupiga kura ni elf 40 alafu wao wameshinda kwa kura elf 70
Hilo ni tawi la CCM na mbinu zao wanachukua huko.

FRELIMO iliundwa Dar es Saalam na matawi yake ya kambi za wapigania uhuru wa msituni walijifichia na kufanyia mafunzo Morogoro.

FRELIMO wanayofanya ni mbinu zile zile za chama cha majizi.
 
Hilo ni tawi la CCM na mbinu zao wanachukua huko.

FRELIMO iliundwa Dar es Saalam na matawi yake ya kambi za wapigania uhuru wa msituni walijifichia na kufanyia mafunzo Morogoro.

FRELIMO wanayofanya ni mbinu zile zile za chama cha majizi.
Wamekwama sasa mbele ya watu wa Mozambique wao walijua bongo hapa
 
Kuna wakati ni bora maadui kuungana kumpiga adui yenu wote
Nakumbuka kwenye wwe kulikua na mechi inaitwa triple threat, mnakua 3 wote mnautaka mkanda ila baadae wawili mnaungana kumshughulikia yule mwenye nguvu kati yenu, mnamuondoa kisha mnabaki wenyewe mnaolingana nguvu kupigania mkanda.
 
Source SABC: Waandamanaji wamefanikiwa kuwafungulia zaidi ya wafungwa zaidi ya 6 000 na wametoroka na bunduki.

Maandamano yalianza Jana baada ya mahakama kutangaza ushindi wa Chama tawala.
Palikua na bunduki elfu sita gerezani?
 
Source SABC: Waandamanaji wamefanikiwa kuwafungulia zaidi ya wafungwa zaidi ya 6 000 na wametoroka na bunduki.

Maandamano yalianza Jana baada ya mahakama kutangaza ushindi wa Chama tawala.
Banana 🍌 🍌 republic
 
6000 Ni Wengi.
6000 ni takribani Brigedi+ ya askari wa miguu.

Kama wapo fit, kukabiliana nao zitahitajika Briged tatu ambazo kimuundo zinaunda Divisheni kuanza kuhangaika nao.

Sijaelewa Muundo wa jeshi la Msumbiji kama wana utayari wa kukabili issue kubwa namna hiyo.

Adui wa ndani kwa idadi hiyo ni majanga.

Watu 6000 wenye silaha ni wengi sana, wakiwa na dicsipline ya kijeshi tuhesabu kuwa Msumbiji imeshatumbukia kwenye matatizo tena kama yale ya Renamo.
 
6000 ni takribani Brigedi nzima ya askari wa miguu.

Kama wapo fit, kukabiliana nao zitahitajika Briged tatu ambazo kimuundo zinaunda Divisheni kuanza kuhangaika nao.

Sijaelewa Muundo wa jeshi la Msumbiji kama wana utayari wa kukabili issue kubwa namna hiyo.

Adui wa ndani kwa idadi hiyo ni majanga.

Watu 6000 wenye silaha ni wengi sana, wakiwa na dicsipline ya kijeshi tuhesabu kuwa Msumbiji imeshatumbukia kwenye matatizo tena kama yale ya Renamo.
Wacha frelimo iondolewe TU.
 
Back
Top Bottom