Msumbiji: Zaidi ya Wafungwa elfu 6 watoroka gerezani na silaha.

Msumbiji: Zaidi ya Wafungwa elfu 6 watoroka gerezani na silaha.

Bado maiti za Tanzania kuamka soon.

Vcm wajiandae,maana japo maiti ni nyingi ila Kuna wagonjwa wapo ICU wanapambania Kombe.

Japokuwa hospitali kuu inasimamiwa na madaktari feki,ila Kuna mahara nao wanajisahau.
 
6000 Ni Wengi.
Kwa sample tu hawa chini ni picha ya watu elfu 1.
IMG_1084.jpeg
 
Back
Top Bottom