I wish itokee.....Waandamanaji wamefanikiwa kuwafungulia wafungwa zaidi ya 6 000 na wametoroka na bunduki.
Maandamano yalianza Jana baada ya mahakama kutangaza ushindi wa Chama tawala.
Source: SABC
View attachment 3185240
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I wish itokee.....Waandamanaji wamefanikiwa kuwafungulia wafungwa zaidi ya 6 000 na wametoroka na bunduki.
Maandamano yalianza Jana baada ya mahakama kutangaza ushindi wa Chama tawala.
Source: SABC
View attachment 3185240
Naunga hojaKuna wakati ni bora maadui kuungana kumpiga adui yenu wote
Moja kati ya comment ya kipuuzi sana hi wallah. Kuna wezi wengi mno wapo ofisini wanaliibia taifa lakini sio tu hawajafungwa lakini bado wanaendelea kulipwa na kutunzwa na kodi za wananachi, wanapewa magari, makazi na huduma bora kabisa za afya, wanafirisi taifa na wapo. Bora kipi? Kufungulia hao walioiba ili wapate chakula cha siku moja au hao wanao iba hadi wasivo vihitaji?Wamewafungilia Kisha watakuja kuwaibia wao wenyewe , elf 6 wanazani ni watu 6? Wasubili majibu watakapo anza kubakwa kama kuku
Siyo kila mfungwa aliiba silaha na kutoroka nayo.Btbsio watu elf 6 na silaha elf 6 jiii ni exaggerating issued
Mbowe aione kwenye jaladaHao waandamanaj n wapuuz hao wafungwa watawarudia wao wanazid kuongeza matatizo apo
Sana!CCM wapate funzo.Na sisi tuko mbioni kuukataa uhuni wanaotufanyia Kila mwaka kwenye uchaguzi
Wewe nawe kwahiyo hao elf sita wamesingiziwa Kwa makosa ganiKwahiyo walioko jera wote ni wezi na wabakaji?😂
Kwahiyo wewe akili zako zimeishia kwenda kuvunja gereza la ukonga au segerea ndiyo maana sisiem inatawala miaka yote kwasababu ya wajinga kama wewe!Moja kati ya comment ya kipuuzi sana hi wallah. Kuna wezi wengi mno wapo ofisini wanaliibia taifa lakini sio tu hawajafungwa lakini bado wanaendelea kulipwa na kutunzwa na kodi za wananachi, wanapewa magari, makazi na huduma bora kabisa za afya, wanafirisi taifa na wapo. Bora kipi? Kufungulia hao walioiba ili wapate chakula cha siku moja au hao wanao iba hadi wasivo vihitaji?
Jera hawaendi hao tu uliowataja wewe yaani wezi na wabakaji that means the average of crimes in the street haitakuwa hivyo kama ulivyosema kwenye comment yako ya kwanza. You should think before proceeding your thoughts in here.Wewe nawe kwahiyo hao elf sita wamesingiziwa Kwa makosa gani
Kwahiyo ulitaka nianze kutiririka makosa ambayo anaweza mpeleka mtu jela?Jera hawaendi hao tu uliowataja wewe yaani wezi na wabakaji that means the average of crimes in the street haitakuwa hivyo kama ulivyosema kwenye comment yako ya kwanza. You should think before proceeding your thoughts in here.
Ht sijasherehekea hiyo mi ni birthday yangu so huwa busy na ya kwangu🤣Merry chrismass
Pole yao Wana Mozambique
WowHt sijasherehekea hiyo mi ni birthday yangu so huwa busy na ya kwangu🤣
🙏🙏🥰
Hao wafungwa wametolewa kwa mission maalum na raia wenzao wao serikali iliowafunga wanaichukulia kama adui yao hivyo hamna mwenye idea ya kumdhuru raia mwenzie zaidi ya kupambana na serikali. Kumbuka kuna waliosingiziwa makosa waliobambikiwa kesi pamoja na watukutu ambao hawana cha kupoteza. Hio resistance ni ngumu sana ndio maana jeshi la magereza limezidiwa.Unaamini wafungwa wote 6000 wageuke kuwa wezi Tena? Kwenye hao 6000 hata 100 hawatafika kuwa wezi Tena!
Overhaul gani utakayoifanya CCM ili iwe na tija? Kama ni engine basi jua imefikia mwisho inatakiwa ivuliwe iwekwe nyengine tu😁 overhaul ni kupoteza muda tu.Ccm ni chama kizuri ila viongozi wa juu ndio wamekitia doa inapelekea hadi kuweka chuki kubwa miongoni mwa wanachama na wananchi kwa ujumla ila kikifanyiwa overhaul kinaweza kuwa bora