Adui nani wakati ni wenyewe kwa wenyewe ,hayo mazara ya kuachiwa wafungwa 6000 ni makubwa mnooo ,maana wengi wa wafungwa bado Wana visasi kwa waliowafanya waingie jelaKuna wakati ni bora maadui kuungana kumpiga adui yenu wote
Ukweli thabiti ndo huu hata kama kungekuwa na majambazi Kwa kipindi hiki hawezi dili na kuiba Tena Bali kushughulikia na serikali ya kihuniHao wafungwa wametolewa kwa mission maalum na raia wenzao wao serikali iliowafunga wanaichukulia kama adui yao hivyo hamna mwenye idea ya kumdhuru raia mwenzie zaidi ya kupambana na serikali. Kumbuka kuna waliosingiziwa makosa waliobambikiwa kesi pamoja na watukutu ambao hawana cha kupoteza. Hio resistance ni ngumu sana ndio maana jeshi la magereza limezidiwa.
It's just a matter of time. Mambo mema yanakuja mkuu. Kimya kimya..SIsi tu ndo tumelala...
Walisgaongeza nguvu maana hapo sasa nao wana hasira dhidi ya serikali6000 Ni Wengi.
Chama cha hovyo kikiondoka, watakaa meza moja kumaliza tofauti zao kama Syria..Hao waandamanaj n wapuuz hao wafungwa watawarudia wao wanazid kuongeza matatizo apo