Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.

Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.

Juzi kati kuna jamaa alimpeleka demu ghetto kwake so wakafanya yao kufika asubuhi jamaa anamwambia demu unaondoka saa ngapi? demu anamwambia niondoke niende wapi?

jamaa ndio ikawa kaoa hivyo bila ridhaa yake[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .

Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.

Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.


Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika


Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.



Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .

Jaribu kuwa smart and play smart.
Hivi huyo malaika ana fananaje?
 
Kuna mfumo mzazi anamtuma mtoto wake aje kwako umnunulie pipi na ukishamnunulia anakuja kukuambia kuwa unamuwinda mtoto wake.

So kilichopo ndo hicho
Unaweza kuta mtoto kaharibiwa marinda na watu wengine ikiwezekana na baba yake alafu unakuja kushtakiwa uliymnunulia mtoto pipi kwamba umelawiti.
 
Hii ndio wanaiita kukabia juu.kazi kweli kweli.zama za kina mama kua magolikipa zimeisha
Wameamua kuwa washambuliaji, maana mipira haifiki golini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom