Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.

Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.

Mim Police Zanzibar ujinga huu upo sana Tena wazee wanakuja kuhonga ela ili kijana ashikiliwe
KUna mzee mwenzangu alikuja huko kwenye mradi wa kujenga barabara akapata rafiki wa kike....siku hiyo wako ndani mlango ukagongwa ,,,,,kufungua nje kuna kundi kubwa la watu pamoja na shehe ...ubani n.k.,,,,,ikafungwa ndoa ya ghafla......
 
Kuna mmoja baada ya show, ananiambia amechoka anausingizi, nikamwambia utaenda kulala kwako, hapa tunaondoka, akasema sitoki, nikamwambie wewe hunijui vizuri, nilimbeba hadi mlangoni, mwenyewe akasema ngoja nivae.

Kuna namna wanaume below 30, wamekuwa mlenda sana.
Ila pamoja na mambo mengine, usitongeze demu ambaye familia yake imezidi matatizo famili yenu
 
Juzi kati kuna jamaa alimpeleka demu ghetto kwake so wakafanya yao kufika asubuhi jamaa anamwambia demu unaondoka saa ngapi? demu anamwambia niondoke niende wapi?

jamaa ndio ikawa kaoa hivyo bila ridhaa yake😃
Sasa mpk a nampeleka ghetto si kamuamini??
Sasa anaogopa nini kuishi nae jumla 😹
 
Hii kweli kabisa hii michezo ipo na hasa wakikuona mwanaume upo mwenyewe unavisent vya kubadilisha mboga, gheto lipo vizuri ukiwa na kausafiri hata pikipiki, uwe makini sana usizani labda unapendwa au wewe HB kumbe wenzako wanakuwimda na tena wengine wana washirikisha na wazazi.

Siku hizi mabinti na wazazi wao hawana aibu mbele ya fedha na ukijaribu useme upige jua ndio umenasa na huchomoki hapo na wengine hutumia hata ndumba.
Hii ipo siku nyingi sana sema approach ndo zinabadilika. Enzi nikiwa kijana nilikutana na hizi case, kuna mmoja tulihamia mji mmoja huko mkoani ndani ndani mm na bro wangu, tuseme kamji kadogo tuu, kiasi kwamba ukifika mgeni ndani ya siku 2 au 3 mji wote watajua kuwa kuna mgeni kaja. Kipindi hicho nimemaliza form 6 najiandaa kwenda chuo. Kwa asili mimi mchapakazi sana kazi za mikono. Ile nimekaa mwezi mmoja tu jina langu likawa linavuma sana pale kitaa. Kwanza kipindi kile miaka ya 2000s, ukimaliza form 6 na umefaulu kwenda chuo ni CV kubwa sana huko interior. Pili ninavyojishughulisha kazi watu kama hawaamini vile. Nilipata mitihani mikubwa sikuamini macho yangu. Kuna case mabinti wanne walipigana kwa ajili yangu kila mmoja anasema mm mchumba wake. Na mmoja akatengeneza mazingira akawa anaandika barua ambayo kila mtuatakayesoma lazima ajue mm nimemchumbia na nimemla, wakati hata kukutana tu sehemu hatujawahi, na wala sijawahi kumtamkia chochote, isipokuwa baba yake na kaka yangu walikuwa marafiki, so mimi nilikuwa nafika sana kwao nikitumwa na bro. Ilikuwa case ngumu hadi bro na shem walikataa kuamini kama nasingiziwa. Ila Mungu mkubwa baada ya muda kesi kuenenda ikaonekana kweli nimeonewa.

Kesi ya pili, mtaa huo huo. Kuna mama alikuwa na binti yake anasoma form 4. Mama akaja home akachonga na shemeji (wao wote ni kabila moja), kwamba mm nimsaidie binti yao tuition wakati wa likizo baadhi ya masomo kama math, Geography na mengine. Shem akanipa issue sikuona shida kumsaidia. Sasa ikawa shida, nikienda mjini kununua vitu barabara inapita mbele ya nyumba yao. Ile familia wakawa wakiniona tuu, lazima niwasalimie na nikifika naingia ndani. Nikawa nachunguza mzee na mama wanasepa fasta nabaki na binti peke yetu ananiwekea chai au maziwa. Kiufupi tulikuja kusumbuana na yule binti kwa sababu kumbe yeye alikuwa anafanya yale yote akijua anaolewa, wakati mm sikuwa na wazo lolote. Hata baada ya sisi kuondoka alitafuta kila mbinu kuwasiliana na mm tukaja kugombana sana. Visa ni vingi ngoja niishie hapo. Kuna nyingine mama mwenye binti alimfuata mzee wa kanisa amfanyie connection ya binti yake kwangu, mama alimwahidi mzee kuwa ikitokea naoa binti yake, basi hatadai mahari kabisa
 
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .

Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.

Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.


Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika


Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.



Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .

Jaribu kuwa smart and play smart.
Na walioko kwenye ndoa hakikisheni mnagegedana mara kwa mara hii itazuia kuchepuka
 
Kama nilivyodokeza hili jambo

Kuna Wamama wa Mtaani wameanza kugubikwa na hisia za uhuni ufedhuli na wizi wa kuwalaghai vijana kuwaibia n.k

Yaani Kwa sasa Single mother ni wakukaa nao mbali Sana.
 
Kanuni yangu ya kwanza ili nifanye mazoea na mtoto ni lazima niwajue Baba na Mama yake ni watu wenye akili za namna gani. Tabia huwa hazijifichi.

Nikiwa ugenini ndio kabisa hata Tiffa Dangote akacheze huko kwa Baba ake Simba la Madangote.

All in all kumuomba Mungu tu. Wanadamu wakiunda kamati ya kudili na wewe, Only God can save you.
 
Kanuni yangu ya kwanza ili nifanye mazoea na mtoto ni lazima niwajue Baba na Mama yake ni watu wenye akili za namna gani. Tabia huwa hazijifichi.

Nikiwa ugenini ndio kabisa hata Tiffa Dangote akacheze huko kwa Baba ake Simba la Madangote.

All in all kumuomba Mungu tu. Wanadamu wakiunda kamati ya kudili na wewe, Only God can save you.
Hakika
 
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .

Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.

Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.


Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika


Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.



Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .

Jaribu kuwa smart and play smart.

Ujinga tu huu, Ni upumbavu wa wanaume ndo unasababisha waingie kwenye huu Ujinga
 
Naona Sasa hivi dunia inakwenda kasi Sana, bado kidogo tu tufike katika Mfumo wa maisha ya Watu katika nchi za ughaibuni huko Magharibi ambako kila Mtu yupo nyumbani kwake amejifungia ndani ya geti lake. Hakuna kuombana chumvi, kutembeleana wala kusalimiana

Niamnaishi hivyo mwaka wa 20 hui
 
Uhuni ni mwingi sana siku hizi.. visa ni vingi huku mtaani na yote haya yanasababishwa na sababu zile zile.

1)Poverty
2)Poor infrastructures
3)High degree of illiterate people
4)Mass unemployment
5)Poor governance/policies

Nk...
 
Mkuuu nilikuwa nawapa lift watoto asbh n
Sasa kuna mfumo upo ambao sio rafiki Kwa wanaume .

Wanaweza kuja watoto wakike wanakufata fata wnakuomba pipi n.k hakikisha hauwapi na usiwajibu na wala hata umkute mtoto wa mtu anashida gani usitoe msaada wowote . hawa watoto wa hivi wanakuwa wametumwa na wazazi wao.

Ukitaka kutoa msaada Katoe vituo Vya watoto yatima.


Pia usitembee na mwanamke ambaye unakaa nae mtaa mmoja hata awe mzuri Kama malaika


Sasa Wanaume mnatafutwa kuharibiwa maisha kwa kila namna.



Na wewe usimpigie Mwanamke wala kumtafuta tofauti na issue za Kazi na kibiashara .

Jaribu kuwa smart and play smart.
awabeba nawaachia lugalo na mwenge

Sikuhio nkasikamishwa na mdada MMOJA traffick mwenge akaniulzia maswali nkamjibu hakuwa na na MBAYA akanionya kaka una huruma
Hurama Haina malexi

KUNA siku watakuitia unawapeleka SEHEMU mbaya

2. Wakipata ajali akafa HATA MMOJA
Na wewe tafuta sumu ufe YAAN utaumaliza mwendo helà ykichexa

Aisee Toka sikuhio walewatoto nkiwaona nawesha weipa kama kubamvua nawapita fyuuu wengine ne wako for two..niliwabebw miaka 3-4
 
Mkuuu nilikuwa nawapa lift watoto asbh n

awabeba nawaachia lugalo na mwenge

Sikuhio nkasikamishwa na mdada MMOJA traffick mwenge akaniulzia maswali nkamjibu hakuwa na na MBAYA akanionya kaka una huruma
Hurama Haina malexi

KUNA siku watakuitia unawapeleka SEHEMU mbaya

2. Wakipata ajali akafa HATA MMOJA
Na wewe tafuta sumu ufe YAAN utaumaliza mwendo helà ykichexa

Aisee Toka sikuhio walewatoto nkiwaona nawesha weipa kama kubamvua nawapita fyuuu wengine ne wako for two..niliwabebw miaka 3-4
Aisee! CCM hata kuandika hamjui, hivi huwa mnapitishwa vipi kwenye chaguzi kama wagombea wa nafasi mbalimbali?
 
Back
Top Bottom