ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nimeyasikia na Serikali haijakataa kuyatatua.Madai umeyasikia au unaongea kama yuke muhehe anayevaa mashati ya kung'aa kama wakongoman
Km TRA njaa ikiwauma wanatuma hao kikosi kazi wanafatilia mizigo hadi store. Halafu wanakomalia uwape pesa ya kuwapooza yani hiyo haingii serikalini ni yao wanaweka mifukoni mwao.!!Nchi hii tuna viongozi majuha kuliko maelezo, wao ni kufikiria kupiga pesa tu, kila sehemu ni fursa kwao.
Kuna gumashi kadhaa zinafanyika, shehena zinaingizwa kwa njia ya chocho, bila kulipa ushuru, wakiambia watoe docs za malipo zinaanza kelele!, nunua bidhaa yoyote kariakoo dai risiti, zitaanza sound, wakupe risiti isiyolingana na bei au wakuzingue EFD mashine mbovu.....Kwani nani kakataa kulipa ushuru
Huyu kaminywa pu-mbu?.Sawa endeleeni kukaza,itafika pointi tutajua ni Mali ya Umma au ya nani 😂😂😂😂
Kuna watu walitupa pesa walizodai wametafuta wao enzi za Nyerere,hata Sasa unaweza pewa Jamba Jamba na ukajikuta wewe ni mjinga mmja tuu ila unajifanya una akili.
Tanzania ni Nchi ya kijamaa sio ya kibepari.Msitumie huruma ya mama vibaya.
View: https://www.instagram.com/reel/C8pC2OoKAJB/?igsh=b3g4cmtkeDVmNjdu
Dogo tulia wewe sio mfanyabiashara na hauna pesa upo upo tu kama mkojo wa kondooHuyu kaminywa pu-mbu?.
Wewe kachoka umejulia wapi biasharaKuna gumashi kadhaa zinafanyika, shehena zinaingizwa kwa njia ya chocho, bila kulipa ushuru, wakiambia watoe docs za malipo zinaanza kelele!, nunua bidhaa yoyote kariakoo dai risiti, zitaanza sound, wakupe risiti isiyolingana na bei au wakuzingue EFD mashine mbovu.....
We kweli mat-ako....unadhani biashara unafanya peke yako.Wewe kachoka umejulia wapi biashara
Wewe sio mfanyabiashara toa kelele hapaWe kweli mat-ako....unadhani biashara unafanya peke yako.
Hapa kuna mandezi yanajifanya kujua biashara mtu nilianza busy na mtumba wa viatu natoa karume na sido kwenda Kwa madiba, nabeba maharage ya mbalizi napeleka angola madogo hawajazaliwa, leo wanipige biti mimi wasenge hao,Risiti wanakamatwa Tanzania tuu ni kama wauza Bangi wa Ngarenaroo kwa bidhaa walizozifata wao China hao wasaka kodi ni wahuni fulani..
Fck themTatizo wananchi tumekubali kuongozwa na watu wasio na sifa ya kutuongoza. Na madhara yake ndiyo haya sasa.
Haiwezekani mtu ahangaike mwenyewe kwenye kutafuta usiku na mchana, halafu unataka mgawane pasu kwa pasu huku ukiwa umeweka tumbo lako kwenye kivuli.
Analiagiza jeshi la polisi kama nani?Na wewe mtiaada endelea kukaza 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C8pC2OoKAJB/?igsh=b3g4cmtkeDVmNjdu
I miss Mr. Jiwe. Upuuzi huu wa migomo tusinge ushuhudia.Nimeyasikia na Serikali haijakataa kuyatatua.
Na yote hayo yamesababiahwa na ukwepaji mkubwa wa Kodi wa wafanyabiashara.
Wewe hapo umewahi pewa hata risiti ya efd kwenye mgahawa uliosajiliwa.kulipa VAT? Je hiyo ni hela ya mfanyabiashara au ni Kodi niliyolipa Mimi consumer? Huoni unafanya wizi?
Wajibu kwanza Haki ndio inafuata