Kibali anachopaswa kuwa nacho kwa duka la dawa(sio pharmacy) ni Cheti cha Umiliki,ambacho kigezo cha kukipata ni kusoma kozi ya umiliki ya wiki moja, yenye ada ya laki moja au anaweza kutumia cha mtu.Ni sawa pia ila changamoto itakuwa kwenye vibali na nyaraka na wafanyakazi
Hii kwa Mvuti iko wapiKuna viwanda sasa hivi vinakamua mafuta toka kwenye tairi chakavu huo mchakato unaitwa pyrolysis.. Na mafuta yanayokamuliwa yanaitwa IDO(Industrial Diesel Oli) haya yana soko kubwa sana kwenye viwanda vyote vinavyotumia mfumo wa BOILERS kama chanzo cha NISHATI
Tairi moja chakavu unainunua kati ya 1000 na 2000 nawe unaenda kuuza tani moja (approximately tairi 16 kwa laki moja.. Ukitoa mtaji na usafiri hukosi 50,000 faida kwa kila tani
Tairi kwa wingi zinapatikana kwenye mayard makubwa yenye kampuni za usafri
Viwanda vyenye kuhitaji hiyo malighafi hivi hapa
Mvuti Chanika
Kibada Kigamboni
Madafu Kibaha
Bagamoyo
Tegeta Dar
Naamini nimetoa maelezo ya kutosha sana
TATIANA
aliyetegwa
Hii mara ya pili unaongea hii biashara inabidi niingize kichwani.Dili ya direct tairi chakavu kwa mtaji wa nusu ya hiyo hela.. Masoko yapo machaka ya kupata mzigo yapo
Dili nyingine ya moja kwa moja oil chafu.. Faida yake haina hasara hata siku moja
Chanika
Wanapiga ndefu sana yule wa kamari ya bonanza aliondoka Tz na 40bilion na alikuja na kibegi tuu[emoji24]Wachina wamekuja mikono mitupu nchini mwetu wanaona fursa tele, wanachuma pesa tele wanarudi kwao na mabulungutu.
Fursa nilizoweka mimi hazina hayo mambo ndio maana nikachagua kuziweka hapawadau wanaeleza biashara nyingi hapa shida ni utitiri wa kodi,vibali,tozo ukute 30% au zaidi ya huo mtaji unaishia huko.
Kwa nafasi nyingine naomba utaje majina ya viwanda wala usiwe na hofu ya soko lako kuharibika nakuhakikishia watanzania Ni wavivu na wazembe sana hakuna atakae subutu, we taja majina tuuKuna viwanda sasa hivi vinakamua mafuta toka kwenye tairi chakavu huo mchakato unaitwa pyrolysis.. Na mafuta yanayokamuliwa yanaitwa IDO(Industrial Diesel Oli) haya yana soko kubwa sana kwenye viwanda vyote vinavyotumia mfumo wa BOILERS kama chanzo cha NISHATI
Tairi moja chakavu unainunua kati ya 1000 na 2000 nawe unaenda kuuza tani moja (approximately tairi 16 kwa laki moja.. Ukitoa mtaji na usafiri hukosi 50,000 faida kwa kila tani
Tairi kwa wingi zinapatikana kwenye mayard makubwa yenye kampuni za usafri
Viwanda vyenye kuhitaji hiyo malighafi hivi hapa
Mvuti Chanika
Kibada Kigamboni
Madafu Kibaha
Bagamoyo
Tegeta Dar
Naamini nimetoa maelezo ya kutosha sana
TATIANA
aliyetegwa
Soko langu la nini na litaharibikaje sasa hapo... Niko kwenye industry lakini sio kwa level unayonifikiriaKwa nafasi nyingine naomba utaje majina ya viwanda wala usiwe na hofu ya soko lako kuharibika nakuhakikishia watanzania Ni wavivu na wazembe sana hakuna atakae subutu, we taja majina tuu
Soko langu la nini na litaharibikaje sasa hapo... Niko kwenye industry lakini sio kwa level unayonifikiria
Uko wapi?Mkuu mlozi kwa 500k nipe ABC kuhusu soko na namna ya Kupata mzigo hapa nazumgumzia Oil chafu mkuu.
Temeke mkuuUko wapi?
Nimekumanya mkuu, naomba mwongozo wa hvyo viwanda tafadhaliSoko langu la nini na litaharibikaje sasa hapo... Niko kwenye industry lakini sio kwa level unayonifikiria
Nimeshaweka location vifuatilie vinajulikana. Majina yake sinaNimekumanya mkuu, naomba mwongozo wa hvyo viwanda tafadhali
Kumbe uko center kabisaTemeke mkuu
Hatuishi Dar mzee ndiomana tunauliza majinaNimeshaweka location vifuatilie vinajulikana. Majina yake sina
Sababu jamii forum kila mtu anaishi darUkipewa ABC jitahidi ukatafute fursa zaidi wewe mwenyewe, umeelezwa matairi yanalipa na yapo kwenye yards za malori au mabasi zama mwenyewe anzia ubungo external tembea hadi mbagala, ingia yard zote tafuta connection, baada ya hapo angalia maeneo ulipoambia kuna viwanda chukua daladala shuka kama ni mvuti kituoni uliza bodaboda watakupeleka kiwandani kaongee nao yaani kazi ya siku mbili hiyo unamaliza mchezo unaanza kazi taratibu ukitaka kila kitu mtu akuwekee wewe usome tu bado wewe sio mtafutaji
Ingia google .. Hebu onesha juhudi kidogo usisubiri kufanyiwa kila kitu na kwa hatua hii hata ukiyajua sidhani kama yatakusaidia kituHatuishi dar mzee ndiomana tunauliza majina