Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Ni sawa pia ila changamoto itakuwa kwenye vibali na nyaraka na wafanyakazi
Kibali anachopaswa kuwa nacho kwa duka la dawa(sio pharmacy) ni Cheti cha Umiliki,ambacho kigezo cha kukipata ni kusoma kozi ya umiliki ya wiki moja, yenye ada ya laki moja au anaweza kutumia cha mtu.

Kupata vibali vya kuendesha duka ni rahisi kama atapata hicho cheti cha umiliki(kamchakato ka muda mfupi) na wafanyakazi wenye vyeti kuwapata sio ngumu.
 
Kuna viwanda sasa hivi vinakamua mafuta toka kwenye tairi chakavu huo mchakato unaitwa pyrolysis.. Na mafuta yanayokamuliwa yanaitwa IDO(Industrial Diesel Oli) haya yana soko kubwa sana kwenye viwanda vyote vinavyotumia mfumo wa BOILERS kama chanzo cha NISHATI

Tairi moja chakavu unainunua kati ya 1000 na 2000 nawe unaenda kuuza tani moja (approximately tairi 16 kwa laki moja.. Ukitoa mtaji na usafiri hukosi 50,000 faida kwa kila tani

Tairi kwa wingi zinapatikana kwenye mayard makubwa yenye kampuni za usafri
Viwanda vyenye kuhitaji hiyo malighafi hivi hapa
Mvuti Chanika
Kibada Kigamboni
Madafu Kibaha
Bagamoyo
Tegeta Dar

Naamini nimetoa maelezo ya kutosha sana
TATIANA
aliyetegwa
Hii kwa Mvuti iko wapi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna viwanda sasa hivi vinakamua mafuta toka kwenye tairi chakavu huo mchakato unaitwa pyrolysis.. Na mafuta yanayokamuliwa yanaitwa IDO(Industrial Diesel Oli) haya yana soko kubwa sana kwenye viwanda vyote vinavyotumia mfumo wa BOILERS kama chanzo cha NISHATI

Tairi moja chakavu unainunua kati ya 1000 na 2000 nawe unaenda kuuza tani moja (approximately tairi 16 kwa laki moja.. Ukitoa mtaji na usafiri hukosi 50,000 faida kwa kila tani

Tairi kwa wingi zinapatikana kwenye mayard makubwa yenye kampuni za usafri
Viwanda vyenye kuhitaji hiyo malighafi hivi hapa
Mvuti Chanika
Kibada Kigamboni
Madafu Kibaha
Bagamoyo
Tegeta Dar

Naamini nimetoa maelezo ya kutosha sana
TATIANA
aliyetegwa
Kwa nafasi nyingine naomba utaje majina ya viwanda wala usiwe na hofu ya soko lako kuharibika nakuhakikishia watanzania Ni wavivu na wazembe sana hakuna atakae subutu, we taja majina tuu
 
Ukipewa ABC jitahidi ukatafute fursa zaidi wewe mwenyewe, umeelezwa matairi yanalipa na yapo kwenye yards za malori au mabasi zama mwenyewe anzia ubungo external tembea hadi mbagala, ingia yard zote tafuta connection, baada ya hapo angalia maeneo ulipoambia kuna viwanda chukua daladala shuka kama ni mvuti kituoni uliza bodaboda watakupeleka kiwandani kaongee nao yaani kazi ya siku mbili hiyo unamaliza mchezo unaanza kazi taratibu ukitaka kila kitu mtu akuwekee wewe usome tu bado wewe sio mtafutaji
 
Ukipewa ABC jitahidi ukatafute fursa zaidi wewe mwenyewe, umeelezwa matairi yanalipa na yapo kwenye yards za malori au mabasi zama mwenyewe anzia ubungo external tembea hadi mbagala, ingia yard zote tafuta connection, baada ya hapo angalia maeneo ulipoambia kuna viwanda chukua daladala shuka kama ni mvuti kituoni uliza bodaboda watakupeleka kiwandani kaongee nao yaani kazi ya siku mbili hiyo unamaliza mchezo unaanza kazi taratibu ukitaka kila kitu mtu akuwekee wewe usome tu bado wewe sio mtafutaji
Sababu jamii forum kila mtu anaishi dar
 
Back
Top Bottom