Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

uuuuuuuuwi kwa mfano tu awe ni mwanaume kapata 20ml hajui chakufanya jaman hivi mtoa mada uko serious au unawaza endapo utapata

Nadhani ingekua vema kama tungempa mawazo ya kumjenga na yeye ameona hapa ndio mahali sahihi ambapo anaweza pata msaada dada
 
1.Naunga mkono hoja ya kuhifadhi fedha kwa U.S dollar, kwa sababu shilingi yetu inayumba sana. Hivyo ukiweka ktk tsh. Itapungua thamani,
Yaani mil. 10. Ya miaka 2 iliyopita si ya leo.
Wakati dollar hata kama imehama ni kidogo sana!
(Kama ikibidi kuhifadhi fedha).
2.kama hujawahi kabisa kufanya biashara hata ya 1. Mil. Ni lazima uihifadhi kwanza ili pia saikolojia iendane na mil. 10. Vinginevyo utapiga mzinga!
3. Kuna mtaalamu wa masuala ya fedha na uwekezaji anaitwa roberty kiyosaki.
Unaweza kusachi kwa google usome kidogo madarasa yake kabla hujaaingiza hiyo pesa ktk chochote!!
Naanim utanufaika nae sana.
 
Kanunue hisa kwenye soko la hisa au UTT huku ukiendelea na kazi yako. Baada ya muda itazaa na kukupa faida bila jasho
 

nitaftie shamba na mimi mkuranga, japo acre moja
 

Mkuu kama hautamind, ntakuuliza zaidi kuhusu biashara yako hii karibuni, nafikiria kuingia huko
 
shamba kiwanja

Kama ni shamba kiwanja chukua Vigwaza pale kijiji cha Buyuni, njia ya kwenda bara.Tsh 350,000/ kwa eka moja. Na dongo lake zuri. Huku Mkuranga bei iko juu, ila urahisi uko ktk kujenga.
 
Una umri gani? Na huna familia? Ulikuwa na wazo gani la kibiashara lilikuwaga ndoto yako kabla hujapata hela?
 
Every business has ups and down so kwa 10m inategemeya na haraka yako ya kutaka kuzungusha na biashara utakayo Fanya.BT! Biashara ni ww mwenyewe.kwa mwingine only a million kwake ni mtaji tosha, tokana na mipangilio yake na malengo. So kabla sijakueleza ushauri wowote huna vitu vya kujiuliza huko juu.hela ni issue nyingine na inaweza kukuvuruga with in a sec.ukishanijibu maswali yangu nitakupa kitu kidogo coz no one knows what's on ur mind.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…