Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?


Sina uzoefu sana na hii biashara ila nnachojua(nlichosoma kwnye taxation) kwnye food crops kisheria huwa hakuna ushuru...ata biashara iwe inalipa vipi sio wote waifanyayo watafanikiwa ni uwezo wa mtu tu..idea yoyte ya biashara inabid uifanyie research vzuri mwnywe kabla ya kuanza,usisklize mawazo ya watu tu ukajirizsha bila kujua uhalisia upoje..
 

Mkuu hebu funguka vizuri hapo kwenye taxation, kwamba haipo kivip,kwa wazalishaji, wachuuzi au wasafirishaji, lakini mbona belia kibao unakuta wakaguzi na gunia moja buku?
 
Mkuu hebu funguka vizuri hapo kwenye taxation, kwamba haipo kivip,kwa wazalishaji, wachuuzi au wasafirishaji, lakini mbona belia kibao unakuta wakaguzi na gunia moja buku?

Kisheria nchi yetu wanapga VAT kla goods or services kwa 18% ya thaman yake...ila kna vitu kisheria havipigwi kodi..
Special reliefs supply hii ni(government agencies such as president ,judge au kam taxable goods or service inatumika kwnye mashirika ya dini)....zero rated supply(mf;vfaa vyote vya vnavyodeal na klmo ata kam umeimport,mahindi, unga wa mahindi) yaan apa vingi vnavyodeal na kilmo...exempt supply(maji ya kunywa ya bomba,mambo/vitu vnavyodeal na afya au elimu)...kam upo interest tafuta act yke upitie mkuu..
Note;mazao ya chakula mengi hayapigwi kodi ila usafiri wa kusafirsha hayo mazao wanachkua kodi..
 
nunua dola .............uweke
 

Act ya kilimo sio? nitatafuta asante
 
angalia usije ukaingia chaka na kuanza kushika kichwa hii mikopo wabongo wengi inawapiga chenga.
 
Wazo zuri ni kueekeza kwenye miradi midogo midogo miwili au mitatu kama kununua mahundi kuweka stoo na kingine wamesahau ni mpunga ndugu nao ukiweka stoo baada ya miez kadhaa wewe ni tajiri unaweza kupata mahindi kwa gunia 35000 au 40000 baada ya miez 4 au 6 unauza 70000 mpaka 80000 mpunga nao kwa sasa ni kat ya 90000 baadae unafikaga 120000mpaka 140000 kingine kuku wa mayai na wanyama wanalipa vizuri sana ndani ya miez 3 au 6 unasahau kama ulichukua mkopo au kama unadaiwa ila usijaribu biashara ya duka/gar noah/hiace/ utajuta kukopa au kukopesha watu kwa riba utamchukia kila mtu
 
Biashara ya mahindi kwa sasa inalipa sana, tofauti na miaka mingine miezi hii hua inashuka lkn mwaka huu haijashuka, Njombe bei ya mahindi kwa Debe ni TZS 5000 dodo ni zaidi ya 8000. Pia jaribu kucheck ni biashara ya viazi so far kwa Dar inafika 75,000 kwa gunia la kilo 100 na Mtwara 96,000 kwa gunia la kilo 100 (bei ya jumla kwa dalali) wakati bei ya kununulia viazi kwa Njombe ni 50,000 - 55,000 kwa gunia la 100Kg. so unaweza piga mahesabu hapo ukisafirisha gunia 120 au 100 za kilo 100 unatengeneza sh ngapi kwa trip moja.
Ukipeleka trip 3 unalipa mkopo wote kwa mkupuo!!!!!
 
Nunua katika ma benki na hifadhi katika mabenki hayo hayo.

Ebu nielekeze vzuri juu ya hii biashara...maana exchange rate ya dollar to tshs haipo fixed inashuka na kupanda mda wowte..je inaposhuka inakuwa hasara ya nan.?ebu nipe ufanunuz mkuu faida yake ipoje hii
 
Ebu nielekeze vzuri juu ya hii biashara...maana exchange rate ya dollar to tshs haipo fixed inashuka na kupanda mda wowte..je inaposhuka inakuwa hasara ya nan.?ebu nipe ufanunuz mkuu faida yake ipoje hii
Kawaulize jamaa wa mabenki
 
Kitu ambacho watanzania wengi kinatushinda ni kicopy the way watu walipotokea.
Cha msingi fanya kitu ambacho unakipenda then kifanyie kazi kwa umakini na kujituma na sio kusema kitu furani kinalipa au kitu furani usikifanye utajuta,mtu anasema hivyo kutokana na uzoefu wake alioupata kutoka biashara usika .kila biasahara ina challenge zake na faida zake so ww chagua unayoiweza then ifanye kwa umakini na watafute watu waliwahi kuifanya hiyo biashara utajifunza mengi sana
 

Kabisa mkuu, mi lengo ni kulima na kumwagilia, kwan shamba lilipo kunamto haukauki mwaka mzima, naona biashara ya uchuuzi inaweza endelea wakati na mimi ninamazao shambani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…