kweli mkuu huu ushauri ni mzuri kabisa, kama ulivyosema ni mwajiriwa itakuwa ngumu kusimamia biashara yako!Fungua biashara ndogo isiyozidi nusu ya hela uliyonayo then isimamie mwenyewe... Utaona returns nzuri tuu....biashara zote in nzuri kikubwa ni usimamizi.