Ingia D9
unaweza kunisaidia mchanganuo wa biashara kwa 4mHuo mtaji wako ni Mzuri Kama ukiamua kufanya biashara ya duka la chakula au nafaka, mm nlianza na 4m na naendelea vyema, cha msingi ni kuwa makini pia uwe na heshima na pesa
Hongera kwa kupata Mkopo mi Niko tofauti na Mawazo ya Graduates wengi wa Humu ambao wangekushauri Ulime Matikiti bila kujua utatakiwa ulinde Ngedere/NyaniNdugu zangu naomba ushauri wenu nimekopeshwa ml 3.5 kwa miezi 6 naomba mnambie biashara gani nifanye kwa kipindi iki kigumu cha mzee wa kazi tu niweze pata Marejesho ya kla mwezi pamoja na riba ya asilimia 10
Nione inbox nikushauriHongera mkuu uko mkoa gani? ushaur wangu kwa sasa biashara chakula inalipa .
Mkuu huoni biashara ya Chakula ataanza na Kulipa Pango!Hongera mkuu uko mkoa gani? ushaur wangu kwa sasa biashara chakula inalipa .
mkuu waweza niunganisha na mnunuz wa jumla wa mchele
Kila kitu kinawezekana, Hizo picha ni huko kahama napochukua mchele na nlianza na mtaji mdogo tuu Kama wako lakini naona mambo yanaenda safi, cha msingi uwe kwenye location nzuri na mengine yatafuata ndugu yangu.
Nilikuwa mmoja wa wamiliki wakubwa wa virikuu, nilikuwa navyo virikuu vingi tu. Ila sasa sina hata kimoja. Hii ni biashara kichaa.Habari za leo,
Nahitaji ushauri zaidi. Nimepata 6m. Naam
Nikapata wazo LA kununua kirikuu used,
Ni biashara nzuri ila faida yake ni ndogo mnooo!Nunua Bodaboda MPE mkataba after 12 months itakuwa ya kwake,but within a week akuletee hebsabu kiasi,Fulani ulizia huko ulipo kwa madreva wa mabodaboda.
Kwann umuingize mkataba?
1.ataitunza pikipiki akijua akimaliza miezi,mliyokubaliana itakuwa ya kwake,so hatoitumia vibaya.
2. Utakuwa umejiwekea mazingira bora bcoz Huo mkataba mtakuwa na terms zenu.
3. Itakuoa faida ya haraka.
Take it or leave it,neno langu si sheria. But that's all I can advice for tonite.
This is for joasi,ulitaka biashara Kubwa kauze sembe la wa mexico,within a day unakamata faida yako ndefu lakini usidakwe na polisi. Do it on your own risk.Ni biashara nzuri ila faida yake ni ndogo mnooo!