Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Kichwani nna wazo LA kufuga kuku wa mayai na kununua incubator niwe natotolesha mayai mwenyewe.hofu nlonayo je soko LA mayai linaweza kua LA uhakika kwa huku kwetu? Sasa nkaona niombe ushauri kwa watu tofauti juu biashara tofauti tofauti mana forum najua Ina watu wenye mawazo tofauti tofauti.


Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Kaka Kabla ya kufuga kuku ambao faida hautaanza kuiona kwa haraka..tafuta mashamba kwa sasa walau hekati 10 kisha lima walau miaka 2...utaona mtaji huo ukikua sana...naongea kama mkulima
 
OK
Una idea na mashine nzuri inayosifika kutoa Mchele mkali pale kyela yaani grade 1?
Inaitwaje na IPO sehemu gani kwa pale ?


!
!
Kama hela ipo mzee kikusya pale kuna mashine za maana sana, zenye viwango vya uhakika ambazo pia zinagrade mchele. Ila kama hela haipo hata hizi za kawaida ukifika pale matema engineering works jamaa anauwezo wa kukudesignia mashine Nzuri tu.
 
!
!
Kama hela ipo mzee kikusya pale kuna mashine za maana sana, zenye viwango vya uhakika ambazo pia zinagrade mchele. Ila kama hela haipo hata hizi za kawaida ukifika pale matema engineering works jamaa anauwezo wa kukudesignia mashine Nzuri tu.

Kunidesignia machine tena?
Mm nazungumzia Mchele mkuu
Ila nimekupata kuhusu kikusya
 
!
!
Nilijua una mataji mkubwa wa kutosha kujenga godown lenye mashine huko ndani ili ufurahie faida ya kutoa huduma pia
Aliyeulizia godown ni mwingine
Mm niliuzia mchele wa kununua na kupeleka dar
Ndo maana nikauliza mashine nzuri inayosifika kutoa mchele supa safi yaani ile grade 1 pale kyela
 
Waungwana habari zenu na poleni na majukumu ya kila Siku,
Kwenye mada:
Nimepata kiasi cha million 10, sasa basi kwakua imekua ni ghafla sana nikapata wazo kwamba niifanyie japo biashara ili iweze kunisaidia katika mahitaji yangu ya kipesa ya katikati ya mwezi maana ukizingatia na gharama ya maisha ilivyo juu Kwa sasa, mshahara pekee hautoshi kabisa na unapatikana mwisho WA mwezi tu,
Kilichonileta kwenu ni kusaidiwa mawazo ya biashara, maana sikujipanga Kwa hili kabisa na ukizingatia sijawahi fanya biashara yoyote ya "serious" kiasi hiki,
Niashukuru Kwa michango yenu ndugu zangu katika kutafuta.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya mitungi na majiko ya gesi inakufaa..
Sababu:
1. Mitungi haiozi, ukishindwa unaweza kuiuza urudishe pesa kwa hasara ndogo
2. Ipo sustainable, watu lazima wale kila siku, mtu akishanunua mtungi Na jiko anabaki kua mteja kwa sababa lazima aje kujaza gesi inapoisha, then wateja huongezeka Na hawawezi kupungua.
3. Ni biashara yenye uhakika, matumizi ya gesi ya kupikia yanaongezeka day by day..matumizi ya mkaa yanapigwa marufuku kila siku, kwa sasa hakuna nishati yoyote ile inayoweza kuiondoa gesi kwa kupikia kwa garama, unafuu, usafi, usalama n.k
4. Haina risk ya kuibiwa, kuharibika, kuoza, wala kupoteza mtaji, mitungi inaonekana, inahesabika wala haiozi.


Mimi nipo mwanza ,na nina watu songea wanayoifanya biashara hiyo, wakiwepo mawakala wakubwa kwa wadogo, na naweza kukuonganisha nao bure kabisa, ujiridhishe na ukaweza kufanya bila tatizo lolote.
If interested...
Hii ipo njema zaid
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Waungwana habari zenu na poleni na majukumu ya kila Siku,
Kwenye mada:
Nimepata kiasi cha million 10, sasa basi kwakua imekua ni ghafla sana nikapata wazo kwamba niifanyie japo biashara ili iweze kunisaidia katika mahitaji yangu ya kipesa ya katikati ya mwezi maana ukizingatia na gharama ya maisha ilivyo juu Kwa sasa, mshahara pekee hautoshi kabisa na unapatikana mwisho WA mwezi tu,
Kilichonileta kwenu ni kusaidiwa mawazo ya biashara, maana sikujipanga Kwa hili kabisa na ukizingatia sijawahi fanya biashara yoyote ya "serious" kiasi hiki,
Niashukuru Kwa michango yenu ndugu zangu katika kutafuta.


Sent using Jamii Forums mobile app

........hujakosea. Fungua hii maktaba ya ushauri, nina uhakika hutotoka kapa. Fanya kile kilicho ndani ya roho/mapenzi yako.

Wapo wengi hunifuata private kuniuliza nimefanikiwa na nini. Biashara si kuiga mwenzio kafanikiwa na nini. Biashara ni ile wewe binafsi uliyo comfortable zaidi kuifanya.

Mfano; kwakuwa mimi nimenufaika sana kwa biashara ya kukodisha maboti ya uvuvi, wewe usikate tamaa kwakuwa huko Ulipo ni pori tu na misitu minene, hakuna bahari.

Angalia fursa zilizokuzunguka.

Kila la kheri.
 
Simoni

Kwa matangazo zaidi inabidi upate ruksa ya wenye jamvi akina Invisible..lol

Nways, haya mambo ya stock market wadau wanasema sometimes huwa yanakuwa pata potea. Kwa jinsi ulivyoweka maelezo yako, it is like unauhakika kuwa bei za hisa zitapanda huko mbeleni which is a fallacy.

Stock market are stochastic in nature na kuna factor nyingi mno zinzaochangia bei kushuka au kupanda. Some of the factors are internal and can be internally controlled, some are external and never be controlled.

Ni vyema mhusika asichukulia maneno yako in totality.
HII KITU KWELI, SI YAKUIAMINI
 
Waungwana habari zenu na poleni na majukumu ya kila Siku,
Kwenye mada:
Nimepata kiasi cha million 10, sasa basi kwakua imekua ni ghafla sana nikapata wazo kwamba niifanyie japo biashara ili iweze kunisaidia katika mahitaji yangu ya kipesa ya katikati ya mwezi maana ukizingatia na gharama ya maisha ilivyo juu Kwa sasa, mshahara pekee hautoshi kabisa na unapatikana mwisho WA mwezi tu,
Kilichonileta kwenu ni kusaidiwa mawazo ya biashara, maana sikujipanga Kwa hili kabisa na ukizingatia sijawahi fanya biashara yoyote ya "serious" kiasi hiki,
Niashukuru Kwa michango yenu ndugu zangu katika kutafuta.


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji61] [emoji61]

Private geologist
 
Vinywaji barid na alcohol iyo hainaga kugandaa tafuta pless ya uhakika tu utanambia[emoji5][emoji5]
 
Ukitak biashara usioogope hasara hata siku moja maan huta fanya biashara kabisaaa[emoji4][emoji4][emoji4]mm nafanya ya vinywaj barid kwakweli ukiwa serious like me ahaa unatoboa
 
Back
Top Bottom